Mambo 10 ya kufanya kabla hujafika miaka 28

Mambo 10 ya kufanya kabla hujafika miaka 28

Uwe na uwezo wa kuhoji Mambo Sio kufuata mkumbo.!
 
duh hizo zote zinatakiwa kabla ya mtu hajafika 25 miaka 28 mtu bado upo home?
 
Nilivyo-highlight ndio vinanihusu kiaina. Nilivyoviacha havinihusu. atoto kumbe mkorofi eh?

Havikuhusu maana bado starehe kwa sanaaaaa(mtoto wa mama flani hivi ameizing), alafu bado unaishi home si ndio? Teh teh teh teh, mie sio mkorofi bwana
 
Last edited by a moderator:
Havikuhusu maana bado starehe kwa sanaaaaa(mtoto wa mama flani hivi ameizing), alafu bado unaishi home si ndio? Teh teh teh teh, mie sio mkorofi bwana


Hahaha dah! Haya bana. Naona mpaka huu uchaguzi uishe, tutakuwa tumeshazoea hizi siasa za kuchafuana. And yeah, we mkorofi.
 
Back
Top Bottom