Mambo 10 ya kufanya kabla hujafika miaka 28

Mambo 10 ya kufanya kabla hujafika miaka 28

Hahaha dah! Haya bana. Naona mpaka huu uchaguzi uishe, tutakuwa tumeshazoea hizi siasa za kuchafuana. And yeah, we mkorofi.

Hahahaaaaaa! Mie wapi sasa nimekuchafua? We ndio unanichafua kwa kuniita "mkorofi" wakati mtoto wa mwanaume mwenzio mpoleeeeee mpaka najihurumia.
 
Hahahaaaaaa! Mie wapi sasa nimekuchafua? We ndio unanichafua kwa kuniita "mkorofi" wakati mtoto wa mwanaume mwenzio mpoleeeeee mpaka najihurumia.


Hehe we mpole sio?! Upole pekee ulionao ni kwenye Id yako tu. Posts zako zote zimejaa ukorofi.
 
Hehe we mpole sio?! Upole pekee ulionao ni kwenye Id yako tu. Posts zako zote zimejaa ukorofi.

Hahahaaaa!! Nimecheka kwa nguvu! Eti post zangu zote zimejaa ukorofi tu!! Acha kunidhingidhia wapi huko nilikopost kiukorofi korofi?
 
kwa maisha ya kibongo mipango inayohitaj hela ni ndoto kwa vijana kwa umri huo.
km sio kipind mtu bado yupo chuo, atakuwa amemaliza punde na hana hela wala kazi.

Chuoni mnapewa boom mnaishia kununua smartphone!
 
Hahahaaaa!! Nimecheka kwa nguvu! Eti post zangu zote zimejaa ukorofi tu!! Acha kunidhingidhia wapi huko nilikopost kiukorofi korofi?

Hehe humu kwenyewe, kule kwenye topic ya kufua, na sehemu kibao tu. Wewe na Karusii 'upole' sifuri.
 
Back
Top Bottom