Soka Ndio Maisha Yangu
Senior Member
- Nov 27, 2024
- 110
- 377
1. Kuna utofauti mkubwa sana baina ya Yanga vs Simba upande wa menejimenti, Yanga waliona wampe timu GSM awape furaha, GSM ndio anasajili wachezaji na kila jambo wanalisimamia wao, Simba kule Mo Dewji anaongoza, Mangungu anaongoza, kale kadada CEO kanaongoza kwa remote kutoka kwa friends of Simba, Try again anaongoza, Azim Dewji anaongoza basi vurugu tu
2. Usajili wa Yanga unafanywa na Hersi mwenyewe, Simba usajili unafanywa na watu kati, ukifuatilia kila mtu pale kaleta mchezaji ndio maana nguvu kubwa inatumika kutuaminisha uwezo wa Mutale
3. Yanga hawana migogoro baada ya kukubaliana timu kumuachia Hersi na GSM, ukimuondoa Mzee Magoma Yanga wana Umoja sana ss hv, Simba Umoja bado sana, kuna kundi lililoshindwa uchaguzi si ajabu hata mechi ya leo wamepigisha shoti uongozi ili Mangungu aonekane hafai
4 Simba Yakut’a Wakili kWa sababu weng wanaendesha maisha kupitia timu hiyo ndio maana wanaletwa akina Ahoua, Nouma, Chamou na wengine mliowaona leo
5 Mashabiki wa Yanga tofauti na Simba, Simba kuna chawa wengi sana, chawa hawa wamekuja Simba juzi tu Leo wanaonekana wafia timu
6 Kuna kitu kwenye biashara tunakiita Trade Secret, taasisi ili iweze kuwa bora na kuachieve competitive advantage lazima iwe na trade secret, Yanga wana Trade secret kuliko Simba, wanaendesha mambo yao kisomi sana na siri zao za ndani na nje hazivuji, Simba walikuwa na mkakati mzuri sana kuwahadaa Yanga kuwa hawachezi lkn wameharibiwa na maadui zao ambao walikuwa wakitoa taarifa kwa watu wa Yanga kuwa timu itakuja uwanjani, Yanga walikuwa wanajua kila kilichokuwa kinafanywa na simba kuelekea mchezo wa leo
7 Quality ya wachezaji pia ni mbingu na ardhi, wachezaji Kama Chamou, Nouma, Che Malone, Ngoma, Okajepha, Mutale, Mukwala hata warudiane mara alfu moja hawawezi kuifunga Yanga, never
8. Timu nzuri inajengwa na viongozi wazuri, Simba haina watu wa mpira ss hv, ukiwakosoa wanakupeleka polisi, wanakuzuia usije uwanjani, wanakuvua uanachama, wanakutenga nk
9. Mo Dewji abadilike, tabia zake za kususa susa zinakera sana, Simba inaweza kusurvive bila yeye
10. Tabia ya kuchukia wachezaji na kuwabagua imevunja morali ndani ya Simba, wachezaji Kama Kijiri, Chasambi, Balua wanawekwa benchi bila sababu za msingi kwa sababu tu ya chuki, kupishana na viongozi, anacheza Duchu eti Kijiri anakaa benchi
11. Kocha Fahdu ni kocha wa kufundisha KMC na aina ya timu Kama hizo, Simba kufika fainal shirikisho sio kigezo cha yeye ni bora, hakuna mafanikio yoyote zaidi ya final ya CAF yenye timu nyingi dhaifu, hana mbinu zozote Fahdu, yaan Leo nilipoona Ngoma katikati, Mukwala na Mutale wameanza wala ckutaka kujitia presha, nilijua tunagongwa t
12. Hakuna msimu wa ligi uliowahi kupita bila viongozi wa Simba kugombana, kila msimu lazima wagombane timu ipigishwe shoti ndio maisha yaendelee.Kabla ya kucheza na Yanga tulisikia watu wakigombana had mdhamin kasusa kisa hakuitwa Dodoma kwa mama wakaenda akina Hassanoo.
13. Mashabiki wa Simba tumeumia sanaaaaa leo, mara ya 5 mfululizo tunafungwa halafu hawajibiki mtu, watu wanaendelea na mambo Kama kawaida, leo wanaolalamika ni mashabiki na wanachama tu lakini viongozi mmepotea mmetuachia msiba.
14. Kama msimu ujao mnajenga tena timu na akina Ahoua, Ngoma na Chamou tujiandae kula mabao 10
15. Uwanja wa Bunju hatujawahi kuweka camp tukamfunga Yanga, tumejitahid sare, uwanja ule nje kuna majirani kibao nje ya fensi wanashabikia Yanga, tumesema lkn hamtuelewi
Kila la Heri Msimu Ujao, Mungu awabariki sana wasaliti wote ndani ya timu yetu, haşa wewe unayeenda kugombea ubunge.
2. Usajili wa Yanga unafanywa na Hersi mwenyewe, Simba usajili unafanywa na watu kati, ukifuatilia kila mtu pale kaleta mchezaji ndio maana nguvu kubwa inatumika kutuaminisha uwezo wa Mutale
3. Yanga hawana migogoro baada ya kukubaliana timu kumuachia Hersi na GSM, ukimuondoa Mzee Magoma Yanga wana Umoja sana ss hv, Simba Umoja bado sana, kuna kundi lililoshindwa uchaguzi si ajabu hata mechi ya leo wamepigisha shoti uongozi ili Mangungu aonekane hafai
4 Simba Yakut’a Wakili kWa sababu weng wanaendesha maisha kupitia timu hiyo ndio maana wanaletwa akina Ahoua, Nouma, Chamou na wengine mliowaona leo
5 Mashabiki wa Yanga tofauti na Simba, Simba kuna chawa wengi sana, chawa hawa wamekuja Simba juzi tu Leo wanaonekana wafia timu
6 Kuna kitu kwenye biashara tunakiita Trade Secret, taasisi ili iweze kuwa bora na kuachieve competitive advantage lazima iwe na trade secret, Yanga wana Trade secret kuliko Simba, wanaendesha mambo yao kisomi sana na siri zao za ndani na nje hazivuji, Simba walikuwa na mkakati mzuri sana kuwahadaa Yanga kuwa hawachezi lkn wameharibiwa na maadui zao ambao walikuwa wakitoa taarifa kwa watu wa Yanga kuwa timu itakuja uwanjani, Yanga walikuwa wanajua kila kilichokuwa kinafanywa na simba kuelekea mchezo wa leo
7 Quality ya wachezaji pia ni mbingu na ardhi, wachezaji Kama Chamou, Nouma, Che Malone, Ngoma, Okajepha, Mutale, Mukwala hata warudiane mara alfu moja hawawezi kuifunga Yanga, never
8. Timu nzuri inajengwa na viongozi wazuri, Simba haina watu wa mpira ss hv, ukiwakosoa wanakupeleka polisi, wanakuzuia usije uwanjani, wanakuvua uanachama, wanakutenga nk
9. Mo Dewji abadilike, tabia zake za kususa susa zinakera sana, Simba inaweza kusurvive bila yeye
10. Tabia ya kuchukia wachezaji na kuwabagua imevunja morali ndani ya Simba, wachezaji Kama Kijiri, Chasambi, Balua wanawekwa benchi bila sababu za msingi kwa sababu tu ya chuki, kupishana na viongozi, anacheza Duchu eti Kijiri anakaa benchi
11. Kocha Fahdu ni kocha wa kufundisha KMC na aina ya timu Kama hizo, Simba kufika fainal shirikisho sio kigezo cha yeye ni bora, hakuna mafanikio yoyote zaidi ya final ya CAF yenye timu nyingi dhaifu, hana mbinu zozote Fahdu, yaan Leo nilipoona Ngoma katikati, Mukwala na Mutale wameanza wala ckutaka kujitia presha, nilijua tunagongwa t
12. Hakuna msimu wa ligi uliowahi kupita bila viongozi wa Simba kugombana, kila msimu lazima wagombane timu ipigishwe shoti ndio maisha yaendelee.Kabla ya kucheza na Yanga tulisikia watu wakigombana had mdhamin kasusa kisa hakuitwa Dodoma kwa mama wakaenda akina Hassanoo.
13. Mashabiki wa Simba tumeumia sanaaaaa leo, mara ya 5 mfululizo tunafungwa halafu hawajibiki mtu, watu wanaendelea na mambo Kama kawaida, leo wanaolalamika ni mashabiki na wanachama tu lakini viongozi mmepotea mmetuachia msiba.
14. Kama msimu ujao mnajenga tena timu na akina Ahoua, Ngoma na Chamou tujiandae kula mabao 10
15. Uwanja wa Bunju hatujawahi kuweka camp tukamfunga Yanga, tumejitahid sare, uwanja ule nje kuna majirani kibao nje ya fensi wanashabikia Yanga, tumesema lkn hamtuelewi
Kila la Heri Msimu Ujao, Mungu awabariki sana wasaliti wote ndani ya timu yetu, haşa wewe unayeenda kugombea ubunge.
