Mambo 10 Niliyoyaona Jana Nusu Fainali Inter Milan vs Barcelona pale Giussepe Meaza

Mambo 10 Niliyoyaona Jana Nusu Fainali Inter Milan vs Barcelona pale Giussepe Meaza

Mwishokambi

JF-Expert Member
Joined
Nov 23, 2020
Posts
473
Reaction score
1,682
1. Kama hukuangalia gemu ya jana baina ya Inter Milan vs Barcelona basi umekosa raha ya dunia, it was a real outstanding kama alivyokuwa akisema commentator.Gemu ya kasi sana, uwezo, ufundi, ujuzi na mbinu za hali ya juu zilizopelekea gemu kwenda extra time.

2.Nimejifunza kuwa timu hata ikifungwa mabao ya hovyo hailalamiki halalamiki kama Mashujaa au JKT au Yanga, inaweka mpira kati na inapambana kama walivyofanya Barxcelona.Barca wamethibitisha kuwa mpira ni mchezo unaoonekana uwanjani, kama refa kakosea kibinadamu we endelea kupambana hadi mwisho na ndivyo ilivyokuwa kwa Barcelona.

3.Mwamuzi kwa namna alivyokuwa akichezesha ukiangalia kwa jicho la washabiki wa Yanga au Mashujaa ungeweza kusema kuwa Inter walikuwa wanaandaliwa mazingira ya kwenda fainali lakini kumbe wapi, tuheshimu taaluma za watu.

4.VAR kuna wakati waamuzi wanasema ukweli na kuna wakati wanachemka hata wakiangalia VAR.

5.Barcelona wana vijana wana moto sana na sijui kama Madrid watatoka hiyo tarehe 11 kwenye ligi ya Spain, Inter Milan wanaubonda lakini wazee wengi.

6.Ni mchezo ambao haukuwa wa kupoteza muda kama wanavyofanya Mashujaa, mchezo umepigwa mwanzo mwisho na mgeni wa mechi hiyo Barcelona amekimbiza as if they were playing in their homeground.Ndivyo tutakavyowapelekea moto RS Berkane huko huko kwao Morocco.

7.Kuongezwa kwa dakika 5 ilikuwa ni discretion ya mwamuzi lakini kwa namna mchezo ulivyokuwa ukipigwa, dakika 5 naziona zilikuwa nyingi sana na wachambuzi wetu kama akina Ambokile kuongezea kwa dakika 5 na Inter kuchomoo bao angesema kulikuwa na nia ovu.

8.Mliona tukio la Inter Milan kusawazisha goli? Beki wake wa kulia alimchezea rafu mchezaji wa Barca refa akapeta na jamaa wakaenda kusawazisha, hili ni fundisho kwa wachambuzi wajinga wajinga kama Ambokile, kuwa wakati mwingine mambo kama yale yanatokea uwanjani na sio mapenzi ya mwamuzi.

9. Tuwe na adabu na mpira, mtanange wa jana umedhihirisha kuwa waamuzi wa Tanzania wanafuata sheria 17 za mchezo, mwamuzi wa Inter vs Barca hakuwa na tofauti na waamuzi wa Simba vs Mashujaa isipokuwa wajinga wajinga na malofa wengi kama akina Ambokile wako katika mpira wetu kutafuta manufaa, sifa na followers.Mtu kapelekwa Pemba tu kuangalia fainali ya Muungano anajidhalilisha utadhani amekwenda ulaya au Marekani.

10. Ndugu zangu wanasimba tusibweteke, Yanga wanawazuga kuwa hawachezi kumbe wanapanga mipango yao kimya kimya, andaeni timu, wataleta timu uwanjani, mkiwa mnafikiria kuwa hawateleta timu uwanjani mtakuwa mnajidanganya, hiyo ni mbinu yao ili nyie msifanye maandalizi kabambe na mikakati ya kufa mtu wao wakiendelea kufanya makafara makubwa makubwa, chukueni tahadhari, wameshapanga kucheza hiyo mechi ila wanawazubaisha nyie.
 
Umetumia maelezo mareeefu kutufikishia ujumbe kuwa wewe ni Simba... unawaponza wanawake wenzako waonekane wamevamia fani kama wewe!!

In short ni kwamba hakuna mambo 10 uliyoyaona ila tu unatumia hisia kwenye mambo yenye uhalisia of which ni kawaida kabisa kwenu wanawake.
 
wiki iliyopita tu Inter milan amefunga goli 3 nyumbani kwa barca Nou camp. Anaanzia wapi kutegemea kubebwa na mwamuzi ndipo amfunge barca aliemtia bao tatu kwake.

Inter wanacheza kiutu uzima, Barca alikuwa anakufa home and away.

Timu makini haiwezi mruhusu mgeni aje atie bao tatu nyumbani
 
Tafuta
wiki iliyopita tu Inter milan amefunga goli 3 nyumbani kwa barca Nou camp. Anaanzia wapi kutegemea kubebwa na mwamuzi ndipo amfunge barca aliemtia bao tatu kwake.

Inter wanacheza kiutu uzima, Barca alikuwa anakufa home and away.

Timu makini haiwezi mruhusu mgeni aje atie bao tatu nyumbani
Vizuri jina uwanja uliotumika,siyo huo uliotaja.
 
1. Kama hukuangalia gemu ya jana baina ya Inter Milan vs Barcelona basi umekosa raha ya dunia, it was a real outstanding kama alivyokuwa akisema commentator.Gemu ya kasi sana, uwezo, ufundi, ujuzi na mbinu za hali ya juu zilizopelekea gemu kwenda extra time.

2.Nimejifunza kuwa timu hata ikifungwa mabao ya hovyo hailalamiki halalamiki kama Mashujaa au JKT au Yanga, inaweka mpira kati na inapambana kama walivyofanya Barxcelona.Barca wamethibitisha kuwa mpira ni mchezo unaoonekana uwanjani, kama refa kakosea kibinadamu we endelea kupambana hadi mwisho na ndivyo ilivyokuwa kwa Barcelona.

3.Mwamuzi kwa namna alivyokuwa akichezesha ukiangalia kwa jicho la washabiki wa Yanga au Mashujaa ungeweza kusema kuwa Inter walikuwa wanaandaliwa mazingira ya kwenda fainali lakini kumbe wapi, tuheshimu taaluma za watu.

4.VAR kuna wakati waamuzi wanasema ukweli na kuna wakati wanachemka hata wakiangalia VAR.

5.Barcelona wana vijana wana moto sana na sijui kama Madrid watatoka hiyo tarehe 11 kwenye ligi ya Spain, Inter Milan wanaubonda lakini wazee wengi.

6.Ni mchezo ambao haukuwa wa kupoteza muda kama wanavyofanya Mashujaa, mchezo umepigwa mwanzo mwisho na mgeni wa mechi hiyo Barcelona amekimbiza as if they were playing in their homeground.Ndivyo tutakavyowapelekea moto RS Berkane huko huko kwao Morocco.

7.Kuongezwa kwa dakika 5 ilikuwa ni discretion ya mwamuzi lakini kwa namna mchezo ulivyokuwa ukipigwa, dakika 5 naziona zilikuwa nyingi sana na wachambuzi wetu kama akina Ambokile kuongezea kwa dakika 5 na Inter kuchomoo bao angesema kulikuwa na nia ovu.

8.Mliona tukio la Inter Milan kusawazisha goli? Beki wake wa kulia alimchezea rafu mchezaji wa Barca refa akapeta na jamaa wakaenda kusawazisha, hili ni fundisho kwa wachambuzi wajinga wajinga kama Ambokile, kuwa wakati mwingine mambo kama yale yanatokea uwanjani na sio mapenzi ya mwamuzi.

9. Tuwe na adabu na mpira, mtanange wa jana umedhihirisha kuwa waamuzi wa Tanzania wanafuata sheria 17 za mchezo, mwamuzi wa Inter vs Barca hakuwa na tofauti na waamuzi wa Simba vs Mashujaa isipokuwa wajinga wajinga na malofa wengi kama akina Ambokile wako katika mpira wetu kutafuta manufaa, sifa na followers.Mtu kapelekwa Pemba tu kuangalia fainali ya Muungano anajidhalilisha utadhani amekwenda ulaya au Marekani.

10. Ndugu zangu wanasimba tusibweteke, Yanga wanawazuga kuwa hawachezi kumbe wanapanga mipango yao kimya kimya, andaeni timu, wataleta timu uwanjani, mkiwa mnafikiria kuwa hawateleta timu uwanjani mtakuwa mnajidanganya, hiyo ni mbinu yao ili nyie msifanye maandalizi kabambe na mikakati ya kufa mtu wao wakiendelea kufanya makafara makubwa makubwa, chukueni tahadhari, wameshapanga kucheza hiyo mechi ila wanawazubaisha nyie.
Barcelona SC walipaswa wale kadi nyekundu mapema sana, ni hekima tu ya mwamuzi kutoa kadi ya njano baada ya Mchezaji wa Inter aliyekuwa wa mwisho kwenda kufunga goli kuchezewa rafu mbaya sana.
Makolokolo umejitahidi kuchambua uzi vizuri.

Ubinadamu ni kazi The humanity is work.
 
Sisi ndiyo Simba SC AKA;
JamiiForums1683832807.jpeg

1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Malalamiko (Lia lia) SC.
4. Makelele SC.
5. Mipang'ang'a SC.
6. Madunduka SC.
7. Manyang'au SC.
8. Manyaunyau (Mapaka) SC.
9. Mazumbukuku SC.
10. Mikia SC.
11. Mwakarobo SC.
12. Ngada SC.
13. Zuwena SC.
14. Kufa Kiume SC.
15. Kikanuni SC.
16. Panya Roads SC.
17. Bebwa Bebwa (Mbeleko) SC.
18. Bahasha SC
19. 5imba SC.
20. Ubaya Ubwege SC.
21. Manguruwe SC.
22. Objective Football SC.
23. Mazombi SC.
24. Kolowizard SC.
25. Visingizio(Visababu)SC.
26. Wekundu wa Msimbazi SC.
27. Mbuzi SC.
 
1. Kama hukuangalia gemu ya jana baina ya Inter Milan vs Barcelona basi umekosa raha ya dunia, it was a real outstanding kama alivyokuwa akisema commentator.Gemu ya kasi sana, uwezo, ufundi, ujuzi na mbinu za hali ya juu zilizopelekea gemu kwenda extra time.

2.Nimejifunza kuwa timu hata ikifungwa mabao ya hovyo hailalamiki halalamiki kama Mashujaa au JKT au Yanga, inaweka mpira kati na inapambana kama walivyofanya Barxcelona.Barca wamethibitisha kuwa mpira ni mchezo unaoonekana uwanjani, kama refa kakosea kibinadamu we endelea kupambana hadi mwisho na ndivyo ilivyokuwa kwa Barcelona.

3.Mwamuzi kwa namna alivyokuwa akichezesha ukiangalia kwa jicho la washabiki wa Yanga au Mashujaa ungeweza kusema kuwa Inter walikuwa wanaandaliwa mazingira ya kwenda fainali lakini kumbe wapi, tuheshimu taaluma za watu.

4.VAR kuna wakati waamuzi wanasema ukweli na kuna wakati wanachemka hata wakiangalia VAR.

5.Barcelona wana vijana wana moto sana na sijui kama Madrid watatoka hiyo tarehe 11 kwenye ligi ya Spain, Inter Milan wanaubonda lakini wazee wengi.

6.Ni mchezo ambao haukuwa wa kupoteza muda kama wanavyofanya Mashujaa, mchezo umepigwa mwanzo mwisho na mgeni wa mechi hiyo Barcelona amekimbiza as if they were playing in their homeground.Ndivyo tutakavyowapelekea moto RS Berkane huko huko kwao Morocco.

7.Kuongezwa kwa dakika 5 ilikuwa ni discretion ya mwamuzi lakini kwa namna mchezo ulivyokuwa ukipigwa, dakika 5 naziona zilikuwa nyingi sana na wachambuzi wetu kama akina Ambokile kuongezea kwa dakika 5 na Inter kuchomoo bao angesema kulikuwa na nia ovu.

8.Mliona tukio la Inter Milan kusawazisha goli? Beki wake wa kulia alimchezea rafu mchezaji wa Barca refa akapeta na jamaa wakaenda kusawazisha, hili ni fundisho kwa wachambuzi wajinga wajinga kama Ambokile, kuwa wakati mwingine mambo kama yale yanatokea uwanjani na sio mapenzi ya mwamuzi.

9. Tuwe na adabu na mpira, mtanange wa jana umedhihirisha kuwa waamuzi wa Tanzania wanafuata sheria 17 za mchezo, mwamuzi wa Inter vs Barca hakuwa na tofauti na waamuzi wa Simba vs Mashujaa isipokuwa wajinga wajinga na malofa wengi kama akina Ambokile wako katika mpira wetu kutafuta manufaa, sifa na followers.Mtu kapelekwa Pemba tu kuangalia fainali ya Muungano anajidhalilisha utadhani amekwenda ulaya au Marekani.

10. Ndugu zangu wanasimba tusibweteke, Yanga wanawazuga kuwa hawachezi kumbe wanapanga mipango yao kimya kimya, andaeni timu, wataleta timu uwanjani, mkiwa mnafikiria kuwa hawateleta timu uwanjani mtakuwa mnajidanganya, hiyo ni mbinu yao ili nyie msifanye maandalizi kabambe na mikakati ya kufa mtu wao wakiendelea kufanya makafara makubwa makubwa, chukueni tahadhari, wameshapanga kucheza hiyo mechi ila wanawazubaisha nyie.
Sio Ambokile ni Ambangile mjinga mjinga wa wasafi fm
 
1. Kama hukuangalia gemu ya jana baina ya Inter Milan vs Barcelona basi umekosa raha ya dunia, it was a real outstanding kama alivyokuwa akisema commentator.Gemu ya kasi sana, uwezo, ufundi, ujuzi na mbinu za hali ya juu zilizopelekea gemu kwenda extra time.

2.Nimejifunza kuwa timu hata ikifungwa mabao ya hovyo hailalamiki halalamiki kama Mashujaa au JKT au Yanga, inaweka mpira kati na inapambana kama walivyofanya Barxcelona.Barca wamethibitisha kuwa mpira ni mchezo unaoonekana uwanjani, kama refa kakosea kibinadamu we endelea kupambana hadi mwisho na ndivyo ilivyokuwa kwa Barcelona.

3.Mwamuzi kwa namna alivyokuwa akichezesha ukiangalia kwa jicho la washabiki wa Yanga au Mashujaa ungeweza kusema kuwa Inter walikuwa wanaandaliwa mazingira ya kwenda fainali lakini kumbe wapi, tuheshimu taaluma za watu.

4.VAR kuna wakati waamuzi wanasema ukweli na kuna wakati wanachemka hata wakiangalia VAR.

5.Barcelona wana vijana wana moto sana na sijui kama Madrid watatoka hiyo tarehe 11 kwenye ligi ya Spain, Inter Milan wanaubonda lakini wazee wengi.

6.Ni mchezo ambao haukuwa wa kupoteza muda kama wanavyofanya Mashujaa, mchezo umepigwa mwanzo mwisho na mgeni wa mechi hiyo Barcelona amekimbiza as if they were playing in their homeground.Ndivyo tutakavyowapelekea moto RS Berkane huko huko kwao Morocco.

7.Kuongezwa kwa dakika 5 ilikuwa ni discretion ya mwamuzi lakini kwa namna mchezo ulivyokuwa ukipigwa, dakika 5 naziona zilikuwa nyingi sana na wachambuzi wetu kama akina Ambokile kuongezea kwa dakika 5 na Inter kuchomoo bao angesema kulikuwa na nia ovu.

8.Mliona tukio la Inter Milan kusawazisha goli? Beki wake wa kulia alimchezea rafu mchezaji wa Barca refa akapeta na jamaa wakaenda kusawazisha, hili ni fundisho kwa wachambuzi wajinga wajinga kama Ambokile, kuwa wakati mwingine mambo kama yale yanatokea uwanjani na sio mapenzi ya mwamuzi.

9. Tuwe na adabu na mpira, mtanange wa jana umedhihirisha kuwa waamuzi wa Tanzania wanafuata sheria 17 za mchezo, mwamuzi wa Inter vs Barca hakuwa na tofauti na waamuzi wa Simba vs Mashujaa isipokuwa wajinga wajinga na malofa wengi kama akina Ambokile wako katika mpira wetu kutafuta manufaa, sifa na followers.Mtu kapelekwa Pemba tu kuangalia fainali ya Muungano anajidhalilisha utadhani amekwenda ulaya au Marekani.

10. Ndugu zangu wanasimba tusibweteke, Yanga wanawazuga kuwa hawachezi kumbe wanapanga mipango yao kimya kimya, andaeni timu, wataleta timu uwanjani, mkiwa mnafikiria kuwa hawateleta timu uwanjani mtakuwa mnajidanganya, hiyo ni mbinu yao ili nyie msifanye maandalizi kabambe na mikakati ya kufa mtu wao wakiendelea kufanya makafara makubwa makubwa, chukueni tahadhari, wameshapanga kucheza hiyo mechi ila wanawazubaisha nyie.
Umechanganya mno mada yako
 
1. Kama hukuangalia gemu ya jana baina ya Inter Milan vs Barcelona basi umekosa raha ya dunia, it was a real outstanding kama alivyokuwa akisema commentator.Gemu ya kasi sana, uwezo, ufundi, ujuzi na mbinu za hali ya juu zilizopelekea gemu kwenda extra time.

2.Nimejifunza kuwa timu hata ikifungwa mabao ya hovyo hailalamiki halalamiki kama Mashujaa au JKT au Yanga, inaweka mpira kati na inapambana kama walivyofanya Barxcelona.Barca wamethibitisha kuwa mpira ni mchezo unaoonekana uwanjani, kama refa kakosea kibinadamu we endelea kupambana hadi mwisho na ndivyo ilivyokuwa kwa Barcelona.

3.Mwamuzi kwa namna alivyokuwa akichezesha ukiangalia kwa jicho la washabiki wa Yanga au Mashujaa ungeweza kusema kuwa Inter walikuwa wanaandaliwa mazingira ya kwenda fainali lakini kumbe wapi, tuheshimu taaluma za watu.

4.VAR kuna wakati waamuzi wanasema ukweli na kuna wakati wanachemka hata wakiangalia VAR.

5.Barcelona wana vijana wana moto sana na sijui kama Madrid watatoka hiyo tarehe 11 kwenye ligi ya Spain, Inter Milan wanaubonda lakini wazee wengi.

6.Ni mchezo ambao haukuwa wa kupoteza muda kama wanavyofanya Mashujaa, mchezo umepigwa mwanzo mwisho na mgeni wa mechi hiyo Barcelona amekimbiza as if they were playing in their homeground.Ndivyo tutakavyowapelekea moto RS Berkane huko huko kwao Morocco.

7.Kuongezwa kwa dakika 5 ilikuwa ni discretion ya mwamuzi lakini kwa namna mchezo ulivyokuwa ukipigwa, dakika 5 naziona zilikuwa nyingi sana na wachambuzi wetu kama akina Ambokile kuongezea kwa dakika 5 na Inter kuchomoo bao angesema kulikuwa na nia ovu.

8.Mliona tukio la Inter Milan kusawazisha goli? Beki wake wa kulia alimchezea rafu mchezaji wa Barca refa akapeta na jamaa wakaenda kusawazisha, hili ni fundisho kwa wachambuzi wajinga wajinga kama Ambokile, kuwa wakati mwingine mambo kama yale yanatokea uwanjani na sio mapenzi ya mwamuzi.

9. Tuwe na adabu na mpira, mtanange wa jana umedhihirisha kuwa waamuzi wa Tanzania wanafuata sheria 17 za mchezo, mwamuzi wa Inter vs Barca hakuwa na tofauti na waamuzi wa Simba vs Mashujaa isipokuwa wajinga wajinga na malofa wengi kama akina Ambokile wako katika mpira wetu kutafuta manufaa, sifa na followers.Mtu kapelekwa Pemba tu kuangalia fainali ya Muungano anajidhalilisha utadhani amekwenda ulaya au Marekani.

10. Ndugu zangu wanasimba tusibweteke, Yanga wanawazuga kuwa hawachezi kumbe wanapanga mipango yao kimya kimya, andaeni timu, wataleta timu uwanjani, mkiwa mnafikiria kuwa hawateleta timu uwanjani mtakuwa mnajidanganya, hiyo ni mbinu yao ili nyie msifanye maandalizi kabambe na mikakati ya kufa mtu wao wakiendelea kufanya makafara makubwa makubwa, chukueni tahadhari, wameshapanga kucheza hiyo mechi ila wanawazubaisha nyie.
🚮
 
Back
Top Bottom