Mamaafacebook apata ajali

Mamaafacebook apata ajali

Poleni sana.

mamaafacebook
pole sana, tunakuombea upone haraka iwezekanavyo.

Dua zetu kwa wingi tunakuombea swahiba
 
Pole mama la mama,mwe jamani mke wng mtarajiwa,pole upone mapema tukamilishe utaratibu.
 
Pole sana bi mkubwa...

Ningelikuombea kwa jina la Mungu wangu lakini ndio kwa sredi ya Bujibuji uliandika humtambui...
 
Back
Top Bottom