Mwanyasi
JF-Expert Member
- Nov 16, 2010
- 7,955
- 7,111
Bado yupo Bombo Hosp. au amesharuhusiwa?
Hili lijibiwe mapema, kama yupo call/text 0752181825 plizi
Bado yupo Bombo Hosp. au amesharuhusiwa?
Pole sana bibi yangu.Mwenyezi Mungu akuafu
Pole sana bibi yangu.Mwenyezi Mungu akuafu
Habari wapendwa,
Member mwenzetu mamaafacebook amepata ajali yuko hospital amelazwa ameumia mkono na mguu wa kulia umevunjika tumuombee.
Naipokea pole kwa niaba yake.
Tuendelee kumwombea apone haraka.
Mungu yu mwema kwetu sote.
Aiseeh, nimepokea taarifa hizi kwa uzuni sana, pole zake binamu yetu, get well soon
mamaafacebook, pole natumai unaendelea Vyema sasa
..........pole sana, get well soon.
namuombea pia mgonjwa alone nataka aweze kurejea jukwaani hapa
Mungu ampunguzie Makali ya maumivu...apone Haraka.. Amen.
Aiseeh, nimepokea taarifa hizi kwa uzuni sana, pole zake binamu yetu, get well soon
aaamyn asante kwa duaPole sana, Mungu amponye haraka.
ammyna asanteePoleni sana.
ni mitihani tu naendelea vizuri
mamaafacebook pole sana, tunakuombea upone haraka iwezekanavyo.
Dua zetu kwa wingi tunakuombea swahiba
tumboo nashukuru sijambo amyn mbona mzima japo naguchia sasaJaman mamaafacebook pole sana shogaa angu
amyn na asant kwa duaaMwambie namuombea dua apone haraka
tamuuuuu haha santeePole mama la mama,mwe jamani mke wng mtarajiwa,pole upone mapema tukamilishe utaratibu.
kiwatengu asanteduh..mpe pole sana, Mamaafacebook
amyn nashkuru kwa duaPole mamaafacebook nakutakia nafuu ya haraka tunakuombea
aasanteeMpe pole sana
asanteePole mamaafacebook
ahahah nipo kwetu najiangalia haliUgua pole lady lakini pole haitoshi wajameni yupo pande ipi tumletee juice , card na mauwa.
thanksDuh pole madame
amyn asantePole sana Mungu ni mwema kwako utapona tu
asantePole sana mamaafacebook
aahhaha thanksPole sana bi mkubwa...
Ningelikuombea kwa jina la Mungu wangu lakini ndio kwa sredi ya Bujibuji uliandika humtambui...
MwanyasiMungu wangu
Pole sana, Mungu amponye haraka.
Poleni sana.
mamaafacebook pole sana, tunakuombea upone haraka iwezekanavyo.
Dua zetu kwa wingi tunakuombea swahiba
Jaman mamaafacebook pole sana shogaa angu
Mwambie namuombea dua apone haraka
Pole mama la mama,mwe jamani mke wng mtarajiwa,pole upone mapema tukamilishe utaratibu.
duh..mpe pole sana, Mamaafacebook
Pole mamaafacebook nakutakia nafuu ya haraka tunakuombea
Mpe pole sana
Pole mamaafacebook
Ugua pole lady lakini pole haitoshi wajameni yupo pande ipi tumletee juice , card na mauwa.
Duh pole madame
Pole sana Mungu ni mwema kwako utapona tu
Pole sana mamaafacebook
Pole sana bi mkubwa...
Ningelikuombea kwa jina la Mungu wangu lakini ndio kwa sredi ya Bujibuji uliandika humtambui...
Hii habari imetokea lini?