Mama yangu ni tatizo

Mama yangu ni tatizo

1.87 my brother
2.89 my sister
3.91 me
4.99 young sister
5.2004 young sister
hii ndiyo list ya famiia yangu.

Yaani kumbe wewe ni wa 91 ....!!

Hata mdogo wangu wamwisho ni mkubwa kuliko hata huyo kaka yako wa kwanza
Ngoja nimuachie hii kazi Matola ,naona kama itanishinda hivi!
 
Last edited by a moderator:
Pamoja sana mkuu wangu

Siku hizi wapi?

Au mama yeyoo anabana sana?

Ha ha haaaa mama yeyoo hana shida kabisa ila bill zake ndio zinakimbiza!!!!!
Nipo kaka mkoloni tu anakaba ila tuko pamoja kaka!!!!
 
Yaani kumbe wewe ni wa 91 ....!!

Hata mdogo wangu wamwisho ni mkubwa kuliko hata huyo kaka yako wa kwanza
Ngoja nimuachie hii kazi Matola ,naona kama itanishinda hivi!

ndio maana nilitangulia kukwambia twende taratibu wengine hawa ni wanetu kabisa mwaka aliozaliwa yeye mimi nilikuwa o-level Tambaza.
 
Last edited by a moderator:
Komaa ataelewa mm mwenyewe mama alikataa nikakomaa na mm kama 2years akaelewa na mahari tayari ndoa mwez wa 10
 
1.87 my brother
2.89 my sister
3.91 me
4.99 young sister
5.2004 young sister
hii ndiyo list ya famiia yangu.

.....dahhh, umri sawa na #mapacha wangu ambao ndio 1st born.

Mzee mwenzangu Dark City JF basi tena siku hizi? sikuoni bana.
Rock City....aahh bana, ebu nawe usi myuti kama bro TIMING nawee,... BAK, where art thou?

King'asti, MwanajamiiOne et al... Nyamayao, nyumba kubwa
hebu mkuje pande hii mtoe baraka zenu kwa mtoto huyu,....

Mind you, mkwe wetu ana 18yrs old.
 
Last edited by a moderator:
.....dahhh, umri sawa na #mapacha wangu ambao ndio 1st born.

Mzee mwenzangu Dark City JF basi tena siku hizi? sikuoni bana.
Rock City....aahh bana, ebu nawe usi myuti kama bro TIMING nawee,... BAK, where art thou?

King'asti, MwanajamiiOne et al... Nyamayao, nyumba kubwa
hebu mkuje pande hii mtoe baraka zenu kwa mtoto huyu,....

Mind you, mkwe wetu ana 18yrs old.

Dah kumbe JF kuna wazee wa kutosha eeh,,ss itabidi nianze kuwaita mzee Mbu mzee Matola mzee Eiyer, shikamooni
 
Last edited by a moderator:
Habari wana jf, nina tatizo na ninaomba msaada wako.

Mimi nina mchumba wangu na ni mengi tuliyopanga ya hapo baadaye ili kutimiza azama ya mioyo yetu, lakini ninashindwa kumuelewa mama yangu anatatizo gani?

Kwani kila niongeleapo habari kuhusu mchumba niliyenaye huwa mkari sana na anadai kuwa ninamzarau, kuna siku mtu wangu alipigwa na mdogo wa mama kwa madai kuwa eti hana hazi ya kuwa nami, mchumba niliye naye anadai kuchoshwa na tabia anayoonyeshwa na ndugu zangu wazi wazi kuwa hawamuhitaji tena hata mama yangu mzazi.

Kweli nimeshindwa nifanye nini na ninampenda sana lkn anadai kuwa mzazi na ndugu zangu kama hawamtaki sasa hata nikija kumuoa ni nani atakaye kuwa karibu naye? Nimejaribu kumueleza lkn mama yangu anazidi kumuonyesha chuki dhahiri kuwa hampendi mchumba wangu.

Je, niachane na mchumba wangu kwasababu ya mama? Au niachane na mama yangu ili niendelee na mapenzi yangu kwa mwenzangu?

Naomba msaada wako please.....

Dogo achana na habari za mapenzi kwanza, huo umri wako wenzako ndo tunamaliza chuo miaka 10 iliyopita na kazi hatuna, umri wa huuo mtarajiwa wako wenzako ndo tupo A level bado watoto kwa enzi hizo. Hebu someni kwanza, haya mambo yapo tu, hizi habari za kutambulishana mtazifanya tu, usikute huyo ni dada yako maana wanawake tuna mengi usipime.
 
Tatizo unaweza muoa halafu mwisho wa siku ukaungana na mama na nduguzo,wanaume wengi wenu hamna msimamo,hilo ndilo limtishalo
 
Sasa kama unaishi kwako na unampenda sana huyo mke mtarajiwa tatizo ni nini wakati mama yako hana sababu yoyote ya maana ya kumchukia? Endelea na mipango ya harusi, ombeni Mungu awasaidie na kuwabariki katika ndoa yenu. Mama wengine ndivyo walivyo!!! Wanapenda kuingilia maamuzi ya watoto wao badala ya kuwaachia wawe huru kama watu wazima kufanya maamuzi yao.

Wana jf samahani kidogo, mimi ninaishi kwangu na wala sipo nyumbani. Siku ambayo nilikwenda kumtambulisha mama yangu juu ya mwenza niliyenaye ndipo chuki zilianza, awali walikuwa wanapendana sana na wakati huo nilikuwa ninamahusiano naye bila ya yeye mama kutambua na alikuwa anajitahidi sana kumtembelea mama. Nilipokwenda kwa mama kumfahamisha kuwa huyu ndiye ninayehitaji kuishi naye, alianza kumchukia hadi sasa ni miezi isiyopungua mitatu{3} bado chuki zinaendelea kwa mwenzangu. Nimejaribu kumuuliza ni kwanini anafanya haya yote? Ananijibu kuwa "sitaki huyo binti awe na wewe" anielezi sababu yoyote kuhusu kauli yake, anachotaka yeye ndiyo hicho kutoka kwangu, na anadai kuwa nikitaka niwe ninakwenda kwake ni lazima niachane kwanza na huyu binti ndipo niende kwake. Na mimi nashindwa kutambua ni vp nifanye?
 
Asanteni kwa hayo yote na nitafanyia kazi mawazo yenu, nashukuru na ninawaombea kwa mungu awajeze mioyo yenu mengi yenye heri. ...........ASANTE............
 
bora hata sikumjibu. yeye na mama yake wote akili kama za diamond na mama almasi. hivi unaweza kujadili mchumba na mwanao wa miaka 18?!
.....dahhh, umri sawa na #mapacha wangu ambao ndio 1st born.

Mzee mwenzangu Dark City JF basi tena siku hizi? sikuoni bana.
Rock City....aahh bana, ebu nawe usi myuti kama bro TIMING nawee,... BAK, where art thou?

King'asti, MwanajamiiOne et al... Nyamayao, nyumba kubwa
hebu mkuje pande hii mtoe baraka zenu kwa mtoto huyu,....

Mind you, mkwe wetu ana 18yrs old.
 
bora hata sikumjibu. yeye na mama yake wote akili kama za diamond na mama almasi. hivi unaweza kujadili mchumba na mwanao wa miaka 18?!

Enhenhenhe yani after 4yrs nianze kudiskas mchumba na mcute Wang.
Like seriously?
Huyu anafaa kuolewa nae huyu simtaki huyu sijui non?
Au pengine dogo aseme vizur!
Mama hataki awe na HUYU au hataki awe na YEYOTE maana mama almasi yrye ugomvi wake ni wema tu.mwanae hata akiwa na 200 poa tu.mwenyewe anasema" Siiiina habareeee"
 
Enhenhenhe yani after 4yrs nianze kudiskas mchumba na mcute Wang.
Like seriously?
Huyu anafaa kuolewa naye huyu simtaki huyu sijui non?
Au pengine dogo aseme vizur!
Mama hataki awe na HUYU au hataki awe na YEYOTE maana mama almasi yrye ugomvi wake ni wema tu.mwanae hata akiwa na 200 poa tu.mwenyewe anasema" Siiiina habareeee"

ni huyu pekee mwana jf, yeye anadai huyu ninayemtaka mimi hapana ila yupo ambaye anamtaka yeye.
 
pole sana ila jaribu kuchunguza tatizo ni nini hadi madam hampendi huyo mchumba wako...ikushajua tatizo ni nini then akili kumkicha maana mtu huwezi mchukia tu mtu bila sababu...hakikisha unaijua sababu kwanza..
 
Yaani unauliza hilo swali kweli? Utamlinganishaje mchumba na mama yako,kumbe hayajawahi kukuta ebu fuatilia mkasa uliompata Mbasha alivyofanywa na Flora
 
Back
Top Bottom