Mama yangu ni tatizo

Mama yangu ni tatizo

Habari wana jf, nina tatizo na ninaomba msaada wako.

Mimi nina mchumba wangu na ni mengi tuliyopanga ya hapo baadaye ili kutimiza azama ya mioyo yetu, lakini ninashindwa kumuelewa mama yangu anatatizo gani?

Kwani kila niongeleapo habari kuhusu mchumba niliyenaye huwa mkari sana na anadai kuwa ninamzarau, kuna siku mtu wangu alipigwa na mdogo wa mama kwa madai kuwa eti hana hazi ya kuwa nami, mchumba niliye naye anadai kuchoshwa na tabia anayoonyeshwa na ndugu zangu wazi wazi kuwa hawamuhitaji tena hata mama yangu mzazi.

Kweli nimeshindwa nifanye nini na ninampenda sana lkn anadai kuwa mzazi na ndugu zangu kama hawamtaki sasa hata nikija kumuoa ni nani atakaye kuwa karibu naye? Nimejaribu kumueleza lkn mama yangu anazidi kumuonyesha chuki dhahiri kuwa hampendi mchumba wangu.

Je, niachane na mchumba wangu kwasababu ya mama? Au niachane na mama yangu ili niendelee na mapenzi yangu kwa mwenzangu?

Naomba msaada wako please.....

Dogo

Kwanza hadi hapo unaonekana huna msimamo ndio maana hata wazazi wako wanakuingilia kwenye masuala yako binafsi

Kwa taarufa yako hapo ndio pa kuanzia kuuonesha uanaume wako na sio kusimamisha storongo yako tu

Mwanaume ni msimamo na kujisimamia

Kumbuka huyo ndie atakaekuja kuwa mke wako, sasa kama hili tu linakushinda mbelenge za familia utaziweza kweli wewe?

Huyo binti amekuona wewe sio mwanaume kwa maana ya kujisimamia na ndio maana anataka kusepa

Simama kijana!
 
Heshima hakuna, bd unaonekan ni mamaboy, hama. Au unampango ukimuoa umuweke humo ndani, na km ndo hivyo nunua filimbi maan utakua refa wa mieleka

tatizo kubwa ni kwamba nipo kwangu na mtu wangu anakuja kwangu ila ktk harakati za kutambulishana ndiyo limetokea hilo tatizo ambalo mzazi wangu ndiye anakataa mimi kuw naye, sisi tunapendana sana tu na kuishi pamoja ni baada ya miezi miwili baadaye na hapo ndipo linakuja tatizo la mzazi.
 
Fanya yako kijana, mama anaonekana kuwa na kisokolokwinyo sana huyo. Halafu ni tabia ya ke wa kinyiha kuwa na roho mbaya na uchawi ndani yake na usikute huyo mchuchu wako rada ni access denied!
 
Dogo

Kwanza hadi hapo unaonekana huna msimamo ndio maana hata wazazi wako wanakuingilia kwenye masuala yako binafsi

Kwa taarufa yako hapo ndio pa kuanzia kuuonesha uanaume wako na sio kusimamisha storongo yako tu

Mwanaume ni msimamo na kujisimamia

Kumbuka huyo ndie atakaekuja kuwa mke wako, sasa kama hili tu linakushinda mbelenge za familia utaziweza kweli wewe?

Huyo binti amekuona wewe sio mwanaume kwa maana ya kujisimamia na ndio maana anataka kusepa

Simama kijana!

nashukuru sana brother kwa hayo ila mimi ni imara sana na wala sitetereki isipokuwa ninachohitaji kwenu ni vp nifanye kuhusu mzazi wangu, kwa mwanamke nimepokelewa vizuri tu lkn kwa upande wangu mzazi katia kasoro.
 
nashukuru sana brother kwa hayo ila mimi ni imara sana na wala sitetereki isipokuwa ninachohitaji kwenu ni vp nifanye kuhusu mzazi wangu, kwa mwanamke nimepokelewa vizuri tu lkn kwa upande wangu mzazi katia kasoro.
Kwanza hujui mtu aliye imara unadhani utaweza kujua kama wewe ni imara?

Ni mtu gani imara anashindwa ku geal na tatizo la wazazi wake mwenyewe kumuingilia kwenye mambo yake binafsi?
Kitendo cha wewe kuja hapa na kuhitaji msaada hii ina maana hujui hata ufanye nini,sasa huo uimara wako uko wapi?

Bado hujajua tatizo lako lilipo na hilo litakutesa sana!
 
Kwanza hujui mtu aliye imara unadhani utaweza kujua kama wewe ni imara?

Ni mtu gani imara anashindwa ku geal na tatizo la wazazi wake mwenyewe kumuingilia kwenye mambo yake binafsi?
Kitendo cha wewe kuja hapa na kuhitaji msaada hii ina maana hujui hata ufanye nini,sasa huo uimara wako uko wapi?

Bado hujajua tatizo lako lilipo na hilo litakutesa sana!

lejea ktk maandiko yangu hapo awali ni kwamba nisaidieni kutokana na hili, niachane na mzazi niendelee na mapenzi au nimwache mchumba na nimsikilize mzazi? Tafadhali mawazo yako ni muhimu pia.
 
lejea ktk maandiko yangu hapo awali ni kwamba nisaidieni kutokana na hili, niachane na mzazi niendelee na mapenzi au nimwache mchumba na nimsikilize mzazi? Tafadhali mawazo yako ni muhimu pia.

Kwanza hujui kama ninakusaidia ndio maana unaendelea kulalama tu

Ninachokusaidia wewe hapa kitakusaidia kwenye ndoa yako lakini kibaya zaidi ni kuwa huwezi kujua msaada ni upi na upi sio msaada

Hapa unaendelea kuonesha udhaifu wako wa kutokujua cha kufanya na hili linaonesha vile hata usivyojua umuhimu wandoa na nafasi ya mama yako kwako

Hivi unawezaje kushindwa kujua jambo lakufanya kwenye hilo tatizo lako kama kweli wewe ni mtu ambae unastahili kupewa mtoto wa mtu umuongoze?

Huyo mpenzi wako ni mtu ambae umemuweka kwenye nafasi ya kuja kuwa mkeo upande wa pili mama yako inaonekana hamtaki,hujui ufanye nini,cha kukuambia hapa ni kuwa kitakachokufanya umsikilize mama yako sio kingine bali ni sababu ambazo zinamfanya asimkubali huyo mkeo mtarajiwa

Halafu baada ya hayo kama unazijua sifa za kuwa mke na huyo ambae unatarajia umuoe unajua anazo huna haja ya kujiuliza mara mbili,utagundua tatizo lipo wapi na utakuwa tayari unauamuzi

Sijui kinakushinda nini hapo!
 
lejea ktk maandiko yangu hapo awali ni kwamba nisaidieni kutokana na hili, niachane na mzazi niendelee na mapenzi au nimwache mchumba na nimsikilize mzazi? Tafadhali mawazo yako ni muhimu pia.

kuna maswali hujanijibu, kwenye tumbo la mama yako wewe ni wangapi kuzaliwa na mko wangapi tumbo moja na jinsia zao?
 
Kwanza hujui kama ninakusaidia ndio maana unaendelea kulalama tu

Ninachokusaidia wewe hapa kitakusaidia kwenye ndoa yako lakini kibaya zaidi ni kuwa huwezi kujua msaada ni upi na upi sio msaada

Hapa unaendelea kuonesha udhaifu wako wa kutokujua cha kufanya na hili linaonesha vile hata usivyojua umuhimu wandoa na nafasi ya mama yako kwako

Hivi unawezaje kushindwa kujua jambo lakufanya kwenye hilo tatizo lako kama kweli wewe ni mtu ambae unastahili kupewa mtoto wa mtu umuongoze?

Huyo mpenzi wako ni mtu ambae umemuweka kwenye nafasi ya kuja kuwa mkeo upande wa pili mama yako inaonekana hamtaki,hujui ufanye nini,cha kukuambia hapa ni kuwa kitakachokufanya umsikilize mama yako sio kingine bali ni sababu ambazo zinamfanya asimkubali huyo mkeo mtarajiwa

Halafu baada ya hayo kama unazijua sifa za kuwa mke na huyo ambae unatarajia umuoe unajua anazo huna haja ya kujiuliza mara mbili,utagundua tatizo lipo wapi na utakuwa tayari unauamuzi

Sijui kinakushinda nini hapo!

mkuu huyu unamuonea bure, mama yake ana miaka 40 je huwezi kufanya calculation kujuwa huyu bado hajafikia ukomavu huo unaomshauri wewe? naomba twende naye taratibu ili kumsaidia kiukweli.
 
mkuu huyu unamuonea bure, mama yake ana miaka 40 je huwezi kufanya calculation kujuwa huyu bado hajafikia ukomavu huo unaomshauri wewe? naomba twende naye taratibu ili kumsaidia kiukweli.

Aiseee .....

Kumbe ni kabwana kadogo sana eee?

Hii nayo inaonesha vile ambavyo ni vigumu kumshauri maana ili umshauri mtu ni hadi ajue kuwa ana tatizo la aina gani,unaweza kumshauri yeye akaona kama unapiga umbea tu!
 
Matola na Eiyer brothers Mungu awajaze heri sana brothers! !!!!!!

Nawashukuru sana!!!!!
 
Last edited by a moderator:
Aiseee .....

Kumbe ni kabwana kadogo sana eee?

Hii nayo inaonesha vile ambavyo ni vigumu kumshauri maana ili umshauri mtu ni hadi ajue kuwa ana tatizo la aina gani,unaweza kumshauri yeye akaona kama unapiga umbea tu!

mimi nimemuelewa ndio maana naenda naye taratibu, isingekuwa mambo ya shule nakuzurura nchi kadhaa kusaka tonge possibly my fist born angekuwa rika moja na huyu, ndio maana nimeamuwa kubeba uhusika halisi wa kiuzazi.
 
Matola na Eiyer brothers Mungu awajaze heri sana brothers! !!!!!!

Nawashukuru sana!!!!!

mkuu nimeamuwa kuweka kambi huku tujenge familia kwanza, kizazi cha leo kinaangamia. politics pembeni kwanza.

umehadimika sana mitaa hii mkuu, kule kumejaa wavuta bangi wengi siku hizi unawapisha kwa muda tunajikita kujenga familia zetu kwanza huku mmu.
 
Last edited by a moderator:
mkuu nimeamuwa kuweka kambi huku tujenge familia kwanza, kizazi cha leo kinaangamia. politics pembeni kwanza.

umehadimika sana mitaa hii mkuu, kule kumejaa wavuta bangi wengi siku hizi unawapisha kwa muda tunajikita kujenga familia zetu kwanza huku mmu.

Kweli kaka ratiba haiko vizuri sana ila nachungulia mara kwa mara! !!!!

Nimefarijika sana kuona brothers mko na kijana na mnachukua jukumu hapa!!!!!

Ina maana kubwa sana
 
1.87 my brother
2.89 my sister
3.91 me
4.99 young sister
5.2004 young sister
hii ndiyo list ya famiia yangu.
 
......usijiumize sana kichwa bwana mdogo.

Acha mama'ko abakie mama/mzazi na huyo mchumba'ko uje kumfanya mkeo mtapojaaliwa.

Hapa duniani ukiishi kwa maamuzi ya kuwafurahisha watu badala ya nafsi yako, unajitafutia #UsingoWaMawazo buree...

Huyo mama'ko ukimfuata matamanio yake utajikuta unaoa na kuacha mpaka siku atayorudisha #Roho kwa muumba.

It's your life, Live it your way bana....
Habari wana jf, nina tatizo na ninaomba msaada wako.

Mimi nina mchumba wangu na ni mengi tuliyopanga ya hapo baadaye ili kutimiza azama ya mioyo yetu, lakini ninashindwa kumuelewa mama yangu anatatizo gani?

Kwani kila niongeleapo habari kuhusu mchumba niliyenaye huwa mkari sana na anadai kuwa ninamzarau, kuna siku mtu wangu alipigwa na mdogo wa mama kwa madai kuwa eti hana hazi ya kuwa nami, mchumba niliye naye anadai kuchoshwa na tabia anayoonyeshwa na ndugu zangu wazi wazi kuwa hawamuhitaji tena hata mama yangu mzazi.

Kweli nimeshindwa nifanye nini na ninampenda sana lkn anadai kuwa mzazi na ndugu zangu kama hawamtaki sasa hata nikija kumuoa ni nani atakaye kuwa karibu naye? Nimejaribu kumueleza lkn mama yangu anazidi kumuonyesha chuki dhahiri kuwa hampendi mchumba wangu.

Je, niachane na mchumba wangu kwasababu ya mama? Au niachane na mama yangu ili niendelee na mapenzi yangu kwa mwenzangu?

Naomba msaada wako please.....




#MosKwito !
 
1.87 my brother
2.89 my sister
3.91 me
4.99 young sister
5.2004 young sister
hii ndiyo list ya famiia yangu.

kwahiyo mama yenu amewazaa watano wa kwanza ni wa kiume na wewe wakike wapo watatu nyinyi wote tumbo moja right?

if you don't na mwenza wako amezaliwa mwaka gani?
 
kwahiyo mama yenu amewazaa watano wa kwanza ni wa kiume na wewe wakike wapo watatu nyinyi wote tumbo moja right?

if you don't na mwenza wako amezaliwa mwaka gani?

kwa sasa anamiaka 18
 
Back
Top Bottom