Mama yangu ni tatizo

Mama yangu ni tatizo

yani unauliza uachane na mama yako uendelee na mapenzi? du una umri gani wewe? unajua thamani ya mama katika maisha? au we umezaliwa na kiumbe mwingne? vitu vingine mnatuchosha kuja kuomba ushauri.
pendekezo: kuwe na chombo cha ushauri humu ndani kitakachokuwa na watu wachache wa kutuongoza vitu vya kutoa ushauri.
 
Baba yangu alikufa mwaka 2005 lkn kwasasa mama ameolewa kwa mara ya pili.
 
Habari wana jf, nina tatizo na ninaomba msaada wako.
mimi nina mchumba wangu na ni mengi tuliyopanga ya hapo baadaye ili kutimiza azama ya mioyo yetu, lakini ninashindwa kumuelewa mama yangu anatatizo gani? Kwani kila niongeleapo habari kuhusu mchumba niliyenaye huwa mkari sana na anadai kuwa ninamzarau, kuna siku mtu wangu alipigwa na mdogo wa mama kwa madai kuwa eti hana hazi ya kuwa nami, mchumba niliye naye anadai kuchoshwa na tabia anayoonyeshwa na ndugu zangu wazi wazi kuwa hawamuhitaji tena hata mama yangu mzazi. Kweli nimeshindwa nifanye nini na ninampenda sana lkn anadai kuwa mzazi na ndugu zangu kama hawamtaki sasa hata nikija kumuoa ni nani atakaye kuwa karibu naye? Nimejaribu kumueleza lkn mama yangu anazidi kumuonyesha chuki dhahiri kuwa hampendi mchumba wangu.
Je, niachane na mchumba wangu kwasababu ya mama? Au niachane na mama yangu ili niendelee na mapenzi yangu kwa mwenzangu? Naomba msaada wako please.....

Achana naye tu kama humpendi vinginevyo lazima uonyeshe msimamo wako dhabiti.Sijakuelewa unaposema umwache mama yako,kivipi yani?(sababu hata kama angempenda mchumba wako,bado utalazimika kumwacha tu)
Kumbuka atakayeishi na huyo m/ke ni wewe sio mama yako wala ndg.zako sasa hofu ya nini ndugu yangu? Biblia inasema,mtu atamwacha baba yake na mama yake naye ataambatana na mke wake,nao watakuwa mwili mmoja.
 
Hiyo ndo hasara ya wapenz wakike ku socialize na ndungu na wazazi wa mwanaume, mara nyingi msichana anapoanza kuwa karibu na ndugu wa mwanaume kabla ya ndoa haya hutokea ni vibaya sana tena sana, mm wifi zangu na mashemeji waliniona for the 1st time walipokuja kutoa mahari na baada ya hapo hatukuonana tena wala kuwasiliana mpaka siku ya sendoff ndo waliona tena ukumbini na kwa vile kabila lao haliruhusu wazazi wa mwanaume kuwepo cku ya mahari wakwe zangu waliniona kwa mara ya kwanza siku ya sendoff ukumbini
 
Hiyo ndo hasara ya wapenz wakike ku socialize na ndungu na wazazi wa mwanaume, mara nyingi msichana anapoanza kuwa karibu na ndugu wa mwanaume kabla ya ndoa haya hutokea ni vibaya sana tena sana, mm wifi zangu na mashemeji waliniona for the 1st time walipokuja kutoa mahari na baada ya hapo hatukuonana tena wala kuwasiliana mpaka siku ya sendoff ndo waliona tena ukumbini na kwa vile kabila lao haliruhusu wazazi wa mwanaume kuwepo cku ya mahari wakwe zangu waliniona kwa mara ya kwanza siku ya sendoff ukumbini

you have the big point, mtu asiyekujuwa hawezi kukuanzishia zengwe ghafla, hili nadhani ni funzo pia kwa wanaume kuacha kujipendekeza kwa ndugu wa mwanamke kabla hujamuoa.

umeongea jambo la maana zito sana ila wewe mwenyewe labda hujui.
 
kwasasa ana umri wa miaka 40

ok mama yako ni rika langu, kama alijitunza huyu bado wamo, kwa sababu nawaona wanawake niliosoma nao wenye umri huo, issue yako ni complicate sana na wewe ndio uliondoa usichana wa mama yako alikuzaa akiwa mdogo au alipata mimba shuleni.

relax kwanza nitakushauri kitu umri wako bado mdogo sana kuweza kupambanuwa mambo haya, am sure wewe ni first born is it?
 
Me ni mtoto wa tatu kuzaliwa ktk familia ambayo mzazi mwenzie alimwachia.
 
Namuhurumia huyo binti

Heri akuache mapema

Maana mwanaume asiyekuwa imara ndugu watakuendesha kama gari bovu

Na kudhihirisha kuwa u dhaifu hadi wamempiga mchumba wako
 
Hiyo ndo hasara ya wapenz wakike ku socialize na ndungu na wazazi wa mwanaume, mara nyingi msichana anapoanza kuwa karibu na ndugu wa mwanaume kabla ya ndoa haya hutokea ni vibaya sana tena sana, mm wifi zangu na mashemeji waliniona for the 1st time walipokuja kutoa mahari na baada ya hapo hatukuonana tena wala kuwasiliana mpaka siku ya sendoff ndo waliona tena ukumbini na kwa vile kabila lao haliruhusu wazazi wa mwanaume kuwepo cku ya mahari wakwe zangu waliniona kwa mara ya kwanza siku ya sendoff ukumbini

Hili nalo neno

Wanawake wanapobembeleza ndoa hujishusha na kujigeuza mateka.....kujipendejeza kwa ndugu mwisho wanatolewa kasoro. Subiri akuoe ndo mama mkwe akutambue
 
Ngoja kwanza....kupigana kati ya ma mdogo na fiancee wako kulisababishwa na nini? Nani alipigwa? Nawasiwasi mamayako alimchukia mchumbawako baada ya kupigana na dadayake
 
Namuhurumia huyo binti

Heri akuache mapema

Maana mwanaume asiyekuwa imara ndugu watakuendesha kama gari bovu

Na kudhihirisha kuwa u dhaifu hadi wamempiga mchumba wako

mimi nawahurumia wote, huyu mwingine bado ni mvulana kabisa mtihani alionao unatakiwa utukute watu ambao tumepitia vurugu zote za dunia hii,

kumbuka wanawake ndio uanza kukomaa na akili za kimaisha kuliko wanaume.
 
Habari wana jf, nina tatizo na ninaomba msaada wako.

Mimi nina mchumba wangu na ni mengi tuliyopanga ya hapo baadaye ili kutimiza azama ya mioyo yetu, lakini ninashindwa kumuelewa mama yangu anatatizo gani?

Kwani kila niongeleapo habari kuhusu mchumba niliyenaye huwa mkari sana na anadai kuwa ninamzarau, kuna siku mtu wangu alipigwa na mdogo wa mama kwa madai kuwa eti hana hazi ya kuwa nami, mchumba niliye naye anadai kuchoshwa na tabia anayoonyeshwa na ndugu zangu wazi wazi kuwa hawamuhitaji tena hata mama yangu mzazi.

Kweli nimeshindwa nifanye nini na ninampenda sana lkn anadai kuwa mzazi na ndugu zangu kama hawamtaki sasa hata nikija kumuoa ni nani atakaye kuwa karibu naye? Nimejaribu kumueleza lkn mama yangu anazidi kumuonyesha chuki dhahiri kuwa hampendi mchumba wangu.

Je, niachane na mchumba wangu kwasababu ya mama? Au niachane na mama yangu ili niendelee na mapenzi yangu kwa mwenzangu?

Naomba msaada wako please.....

imeandikwa utaachana na wazazi wako na kuambatana na mkeo, penda mkeo temana na mama
 
Heshima hakuna, bd unaonekan ni mamaboy, hama. Au unampango ukimuoa umuweke humo ndani, na km ndo hivyo nunua filimbi maan utakua refa wa mieleka
 
Ngoja kwanza....kupigana kati ya ma mdogo na fiancee wako kulisababishwa na nini? Nani alipigwa? Nawasiwasi mamayako alimchukia mchumbawako baada ya kupigana na dadayake

hakutaka kupigana naye isipokuwa alinisubiri nyumbani kwangu baada ya hapo nilielekea nyumbani kujua tatizo nini hasa, lkn hakuna 7bu yoyote ambayo waliitoa.
 
Me ni mtoto wa tatu kuzaliwa ktk familia ambayo mzazi mwenzie alimwachia.

sijakuelewa bado kwenye tumbo la mama yako wewe ni mtoto wa ngapi? na mama yako amezaa watoto wangapi na jinsia gani? hili ni swali la msingi sana nataka kujuwa ushauri wako utatokea kwenye msingi wa swali hili.
 
Muulize kwanza mama yako nini kinamfanya amchukie huyo mchumba. Mwenye mapenzi haoni, na akiona chongo huita kengeza. Anaweza kuwa anamjua huyo mchumba wako "the other side", so usidharau. Waulize halafu lete hizo sababu watakazokuambia tuje tujadili hapa.

hakuna binadam asiye na makosa, kama anamchukia mkewe kwa sababu yyote ile angepaswa kutumia busara ya uvumilivu na mausia mazuri ili amrekebishe tabia na si kumchukia kama mtu anavyochukia kufa, kwa kweli jamaa kama amependa keshapenda na akiachana nae kwa kisingzio cha mama yake itabd tuchunguze jinsia ya jamaa manake ndoa iheshimiwe na watu wote. Chezea upendo ww
 
Back
Top Bottom