Eversmilin Gal
JF-Expert Member
- Feb 5, 2012
- 778
- 270
NaisuBiri jumamosi
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
NaisuBiri jumamosi
Kwa hamu
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
Nikuonee aibu wewe kama nani kwangu mimi?Wewe kinakuuma kitu gani mimi ni Ki kopi na ku paste? umetumwa na hawa watu wako? nina kuheshimu na wewe niheshimu tafadhali kwenda zako shika mpango wako tafadhali usiniharibie usiku wangu MR. CONFIDENTMshikaji huoni hata aibu???????...
Hii story imeandikwa kwenye moja ya magazeti ya global publishers ltd - - - ni hadithi ambayo nimeisoma na nikaja kuiachia njiani coz mbeleni ikawa inaanza kuboa tu..
Tuwe wabunifu, jamaa MziziMkavu, naona umefanya kucopy na kupaste...!!!!!!! ....
Nitarudi soon kuweka link ya hiyo story - coz nimeiona wameitupia kwenye website yao...!!!
HII HAPA MAMA YANGU ADUI YANGU -35 - Global Publishers
Mshikaji huoni hata aibu???????...
Hii story imeandikwa kwenye moja ya magazeti ya global publishers ltd - - - ni hadithi ambayo nimeisoma na nikaja kuiachia njiani coz mbeleni ikawa inaanza kuboa tu..
Tuwe wabunifu, jamaa MziziMkavu, naona umefanya kucopy na kupaste...!!!!!!! ....
Nitarudi soon kuweka link ya hiyo story - coz nimeiona wameitupia kwenye website yao...!!!
HII HAPA MAMA YANGU ADUI YANGU -35 - Global Publishers
Nikuonee aibu wewe kama nani kwangu mimi?Wewe kinakuuma kitu gani mimi ni Ki kopi na ku paste? umetumwa na hawa watu wako? nina kuheshimu na wewe niheshimu tafadhali kwenda zako shika mpango wako tafadhali usiniharibie usiku wangu MR. CONFIDENT
wewe jamaa ni ----- sana. Watu woote tunaifurahia hadithi hapa tangu januar bt umeibuka sijui kutoka wap? Nakusihi usome philosophy kidogo hasa areas of metaphysics na Logic itakusaidia kuthink logically? Umeshindwa kujitambua kama wewee n shigongo au la? Usiingilie majukum ya watu ndg yangu wee kaa kimya tuache sie tusomee hadithi hapahapa? Kwanza naona wewe sio great thinker so i wonder why upo hapaje?
Mkuu gody na mkuu mvuv nimemsamehe huyu Mkuu.MR. CONFIDENT hajuwi analo litenda anataka apate umaarufu juu ya mgogo wangu , nime msamehe kama Bwana Yesu anavyosema wasameheni maaduwi zenu na nyinyi pia msameheni huyu MR. CONFIDENT tukimsamehe tutapata kuingia kwenye uzima wa milele peponi asante kwa kuniunga mkono mubarikiwe wote.MziziMkavu muulize alikuwa wapi siku zote ndo aje leo!?
Mwambie sio wote wanauwezo wa kununua magazet kila leo, sio wote wanapata mda wa kusoma magazet, wengine wanamda wa kusoma lkn wana aleji na magezeti ya ukuda
wengne wakina sisi tukinunua vocha tunapata airtime na bundle faida mara 2 (yaan hatununui andazi, tunanunua kitumbua tunakula na tunapata mafuta ya kujipaka)
so wakati mwingine unaweza ukaingia haina haja hata kuchangia @@@@ sana huyu!!
tena mkuu tupia nyingine leo j.mos au ongeza na stor zingine ka 2 hivi ili zote tuwe bize nazo!!!
waswali wanasema mtoto akilia mpe/mlambishe pipi uone!!
Sasa huyu alialia hapa embu mpe link ya ile story ya Shija na wakina Sabina!
Nadhan akiwa kule huku tutapumua!alaaaa!
Kaniboa sana huyo
Mwaija kutorudi kwa yule wa Mganga wa Maji Matitu kufungwa kizazi..Hata
kama no ya Suzy hana lakini alikuwa anapajua...
Mshikaji huoni hata
aibu???????...
Hii story imeandikwa kwenye moja ya magazeti ya global publishers ltd - -
- ni hadithi ambayo nimeisoma na nikaja kuiachia njiani coz mbeleni
ikawa inaanza kuboa tu.
Tuwe wabunifu, jamaa MziziMkavu, naona umefanya
kucopy na kupaste...!!!!!!! ....
Nitarudi soon kuweka link ya hiyo story - coz nimeiona wameitupia
kwenye website yao...!!!
Nikuonee aibu wewe kama
nani kwangu mimi?Wewe kinakuuma kitu gani mimi ni Ki kopi na ku paste?
umetumwa na hawa watu wako? nina kuheshimu na wewe niheshimu tafadhali
kwenda zako shika mpango wako tafadhali usiniharibie usiku wangu
MR.
CONFIDENT
Huyu mwaija mi sijui hata niseme nini juu yake, mamake amemshika akili na amenifunga macho kawa kipofu, maskini mwaija unahangaika kumbe kikulacho kinguoni mwako pole mwaya
Halafu huyo Bi.Mkubwa wake anavyotoa Support,,,dah!:laugh:
Mkuu ram huyu.@MR. CONFIDENT katumwa na wakubwa wake wa kazi lakini kwangu hafui dafu nitamzima kama maji yanavyozima moto shauri yake wewe muache anifuate fuate dawa yake ipo jikoni.Mzizi huyu ni nani tena anatuletea giza kwenye hadithi yetu, kinamuuma nini hata kama inatoka kwenye gazeti? Ukienda kwenye jukwaa la siasa mbona asilimia kubwa ya mambo yanayojadiliwa ni kutoka kwenye magazeti, hebu atutotokee hapa, jf ina majukwaa kibao kama hapa panakuboa nenda hata jukwaa la mapishi