Mkwawa
JF-Expert Member
- Jun 8, 2011
- 1,334
- 1,466
Mwizi jambazi anaweza kuwa ni CUF, CCM, NCCR, CDM, muislamu, Mkristu, askari polisi, magereza, Jwtz. mama yake Zito amevamiwa na majambazi.
Najua kwasasa kuna hali tete sana. Kuna maAgent wa CCM ndani ya CDM ambao wao wanakazi moja tu ya kukichafua chama. Mara sumu, mara, masalia, mara, Msaki, mara, Zoka, mara, Ludovick, mara Mwigulu, mara nape Mara Kibaka ni kada wa cdm ?
Haya yote ni mapitio. Tutafika tu na uchafu wenu wote huu. Hakuna mnayemsaliti zaidi ya kusaliti dhamiri zenu na watanzania wote.
Hatuiungi mkono CDM kwa bahati mbaya. Lazima CCM watoke madarakani hata wakituita majina gani. Magazeti yale yale habari zile zile za watu wale wale.
Hii habari inasikitisha kwasababu mama wa kamanda wetu amevamiwa, ila inakera ilivyoripotiwa. Sijawahi kusikia kibaka alikuwa mkristu au muislamu siku zote mwizi ni mwizi. Awe na chama au la. Kwa kutaja chama cha siasa unaingiza siasa kwenye matukio yasiohusika.
Najua kwasasa kuna hali tete sana. Kuna maAgent wa CCM ndani ya CDM ambao wao wanakazi moja tu ya kukichafua chama. Mara sumu, mara, masalia, mara, Msaki, mara, Zoka, mara, Ludovick, mara Mwigulu, mara nape Mara Kibaka ni kada wa cdm ?
Haya yote ni mapitio. Tutafika tu na uchafu wenu wote huu. Hakuna mnayemsaliti zaidi ya kusaliti dhamiri zenu na watanzania wote.
Hatuiungi mkono CDM kwa bahati mbaya. Lazima CCM watoke madarakani hata wakituita majina gani. Magazeti yale yale habari zile zile za watu wale wale.
Hii habari inasikitisha kwasababu mama wa kamanda wetu amevamiwa, ila inakera ilivyoripotiwa. Sijawahi kusikia kibaka alikuwa mkristu au muislamu siku zote mwizi ni mwizi. Awe na chama au la. Kwa kutaja chama cha siasa unaingiza siasa kwenye matukio yasiohusika.