Mama yake Zitto avamiwa

Mama yake Zitto avamiwa

Gazeti la mtanzania si ndio lile lilipoti ukerewe kuna kituo cha kufundisha magaidi,halafu ukisoma ndani ni udaku mtupu!!!!!!!!!!!!!!!
 
Hivi wewe Slaa mbona unaroho ya namna hii? Zitto amekukosea nini mpaka kufikia kutaka kumteka mama yake? Acha ubaya mzee, hata kama ni kutaka madaraka lakini hatujafika huko.

Pole sana mama, mungu atakulinda.

.
Watu walio mchora Zombi kwenye mitihani yao ya form four hawafichiki. Yaani utawatambua tu kwa ....!
.
 
Inapendeza zaidi ikikaa hivi:

CCM ni chama cha mashetani. Na wewe ni zao la huyo shetani. Mashetani hao wana makao hapo Lumumba. Baadhi yao yamepanga magogoni.

mashetani ni hawa waliokamatwa na video na kutembea na sumu bar hadi wanazidondosha
 
unaweza ukatamani kitu lkn usikipate,wapo watu wenye hamu kubwa hata ya kuuwa wenzao ili wao wafike ikuru,tahadharini sana mnaowategemea eti wakiwa ikuru mambo yenu yatakuwa safi ni uongo mkubwa na uvivu tu wa wakufikiri,nyie mnajitoa mhanga ili wao wakae ikuru ila nawahakikishieni wao hawatajitoa mhanga ili hayo maisha yenu mabaya yawe bora.yawe
 
Sijui Mh. Zitto amewakosea nini viongozi wenzake wa CHADEMA.

Hii kali aisee, ya ugaidi imegoma mnaanza okoteza tuuu.. hata yasiyo eleweka? mbona mnakimbilia kusema ni siasa? kimtokacho mtu ndo kiujazacho moyo wake!
 
Watanzania tujifunze kwa haya matukio huko nyuma hatukuwa hivi, lakini yote ni kwa sababu ya kuruhusu WASOMALI kuingilia siasa za nchi, hawa wamezoea vurugu,Somalia hadi leo tangu 1990 hawana uongozi wa nchi kisa ni CHUKI ZA kupindukia among themselves.Nakumbuka watu wa Arusha walituonyesha kweli tangu 1995 baada ya kumkataa yule jamaa a.k.a kutajwa na msigwa.Lakini kule Tabora nako somo wamelipata
 
2015 Inakaribia na ccm lazima watafute agenda mpya ambayo ni ugaidi na ujambazi wa cdm. Mnadhani wataongea nini ifikapo muda huo. Huu ni mkakati wa kuanza kuwaaminisha watanzania juu ya agenda hiyo. Walitumia udini kuimaliza cuf, wakajaribu kutumia hoja ya ukabila, udini na ukanda kuiua cdm lakini imeshindwa sasa wanajaribu hiyo ya ugaidi na ujambazi. Tutasikia mengi. Ugumu wa kufanikiwa kwa hoja hii ni kutoaminika kwa ccm. Wamedanganya sana na mara nyingi wamekwama kwa kubainika uongo wao. Watawanunua wana cdm wenye njaa wafanye matukio ya ujambazi na mikanda ya video kama ya lwakatare itatengenezwa kuuaminisha umma uongo wao. Lakini tatizo ni lile lile ccm haiaminika na mipango yao haina accuracy. Ushauri kwa ccm: acheni mikakati ya kishetani haitawasaidia kipindi hiki ambacho mmegawanyika katika mapande makubwa hangaikeni na matatizo ya wananchi. Na kwa cdm imarisheni kitengo chenu cha ulinzi na usalama pia fanyeni mikutano mikubwa nchi nzima mara kwa mara kuzidi kuwanyong'onyesha ccm - hakikisheni hawapumui wachezeeni nusu uwanja wazidi kujifunga wenyewe
 
Naomba mniache.Hili suala linahusu uhai wa mtu.Utani wa kijinga kwenye uhai wa mtu sitaki kuhusishwa.Chukulia kama hili suala limemkumba mama yako mzazi

Kutumia matukio mabaya yanayowatokea binadamu mwenzako kama kete ya kisiasa ni unyama na wendawazimu wa hali ya juu.Tuwe na staha

Uhai wa Binadamu haununuliwi sokoni au dukani.Hakuna Gulio la Roho ya mwanadamu.Kuna maisha kabla na baada ya siasa.

Mama Salumu ni kiongozi ndani ya chama changu.Ni mjumbe wa kamati kuu.Naungana na wanachadema wenzangu kumpa pole na kumwombea faraja za Mwenyezi Mungu yeye na familia yake.

Ben, sina hakika kama hayo unayosema yanatoka rohoni kwako. kwa jinsi unavyomchukia zitto upo uwezekano pia wa kumdhuru mama yake. ben, tuhuma juu yako za kutaka kumuua zitto kwa sumu ni nzito na haziwezi kujivua kwa propaganda za kwenye jf
 
Pole sana! ni kipindi cha mpito, kwa ufupi sina jinsi ya kukushukuru kwa jinsi ambavyo umekuwa na BUSARA kupambanua nuru na giza! Watanzania tu pamoja nawe katika majaribu, ikumbukwe tupo kwenye mapambano, hiyo dhamana uliyonayo ni kwa niaba ya watanzania, bila shaka ndoto zako zitatimia kwa uvumilivu tu, kusaliti kutasababisha kilio cha watanzania ambacho kinaweza kukufuata miaka 50 ijayo, tambua chama kimejengeka kwa miaka 20, na wewe you are among of the most inspirational figure in politics for most of youth politicians and many number of up coming politicians still you are their model, including ME. Tutashirikiana na wewe katika hali yoyote, na kuhujumiwa kwako 'where reasonable' hatutasita kupaza sauti. Chama kimekaa sawa, na wanaelekea kukubali. MUNGU AKUTANGULIE ZITTO, AKUPE HEKIMA YA KUTAMBUA NURU NA GIZA KATIKA KUFANYA MAAMUZI. AHSANTENI. PEOPLE'S POWER. (AM YOUR ASPIRANT)
 
Hivi wewe Slaa mbona unaroho ya namna hii? Zitto amekukosea nini mpaka kufikia kutaka kumteka mama yake? Acha ubaya mzee, hata kama ni kutaka madaraka lakini hatujafika huko.

Pole sana mama, mungu atakulinda.

machepele Mama yake zitto anaihusu vipi chadema,mbona vibaka wanaiba kila wakati hamhusishi na chadema? Wapeni vijana ajira enyi magamba waache njia mbadala ya kutafuta fedha.
 
Propaganda zilezile kuelekea 2015. Msipoteze muda wenu hangaikieni shida za wananchi. ukichokwa na kukataliwa ikubali hali ukitaka kulazimisha mambo utadharirika zaidi na kujutia maisha yako yote
 
hivi ni vijambazi tu, vinashida na pesa, Policcm watamaliza faster kuwatambua na kuwafikisha panapo sheria.
 
Maccm wamepata kasingo kapya,m23,Bunge,Chris Lukosi changamkieni elfu 7 masikini wakubwa nyie mnauza utu wenu kwa magamba.CHADEMA HAICHAFULIWI KWA MBINU NDOGO ZA KIJASUSI..We ar more than..
 
Kila anaepata habari hii ni kilio mtaani kwa hakika kumtishia kwa bastola mama wa mwenzako kwa sababu ya kutaka madaraka ni unyama usiovumilika.
Hivi nyie mnaofanya uovu huu wa kujaribu kuwaua viumbe wenzenu kwa sababu za kipuuzi kama madaraka hamjuagi kuwa kuna maisha mengine baada ya haya? Muogopeni mungu jamani madaraka na uhai wa mtu ni mambo yasioendana kabisa.
Wanaojaribu kufanya mambo haya ni mashetani na sio binadamu na kamwe hawawezi kuwa.
Tuungane kulaani mambo haya wote.
 
Hivi wewe Slaa mbona unaroho ya namna hii? Zitto amekukosea nini mpaka kufikia kutaka kumteka mama yake? Acha ubaya mzee, hata kama ni kutaka madaraka lakini hatujafika huko.

Pole sana mama, mungu atakulinda.
Chadema ina kila sababu za ukuichukua nchi hii mikononi mwa maccm kwani yameshindwa kuwalinda watanzania ili hali waliapa kuwalinda....
 
unaweza ukatamani kitu lkn usikipate,wapo watu wenye hamu kubwa hata ya kuuwa wenzao ili wao wafike ikuru,tahadharini sana mnaowategemea eti wakiwa ikuru mambo yenu yatakuwa safi ni uongo mkubwa na uvivu tu wa wakufikiri,nyie mnajitoa mhanga ili wao wakae ikuru ila nawahakikishieni wao hawatajitoa mhanga ili hayo maisha yenu mabaya yawe bora.yawe
ndo maana mi nasema slaa angeachana na haya mambo,kama mungu kampangia awe rais atakua tu hamna haja ya kuingizamo na umafia kwenye kusaka urais..urais wenyewe mtu hazikwi nao bana,bora ajitahidi kufanya mema pengine mungu akampunguzia adhabu ya kuasi kazi ya mungu kwa ajili ya anasa za hii dunia.
 
GAzeti la Mtanzania linaripoti Mama mzazi wa zitto kabwe amevamiwa na majambazi.
Walikuwa wanataka computer na kiwekea kumbukumbu flash.
Kada wa CHADEMA atajwa kutambuliwa na mama huyo.Alikuwa miongoni wa majambazi waliomvamia.

means wanawindana wao kwa wao.
 
Unashangaa nini wakati vibaka, majambazi na magaidi siku hizi ndo wavaa magwanda. Kalagabhaho.

Ndio nimeona hapo siku hizi kukitokea wizi basi ni CHADEMA haya tutafika tu lakini wacha wafanye wapendavyo.
 
Pole sana kwa kukoswakoswa na hao wahalifu. Sheria ichukue mkondo wake kwa hao wahalifu, Jeshi la polisi fanyeni kazi yenu.
 
Back
Top Bottom