Mama yake Zitto avamiwa

Mama yake Zitto avamiwa

Maccm wamepata kasingo kapya,m23,Bunge,Chris Lukosi changamkieni elfu 7 masikini wakubwa nyie mnauza utu wenu kwa magamba.CHADEMA HAICHAFULIWI KWA MBINU NDOGO ZA KIJASUSI..We ar more than..

Haya yanaonyesha jinsi gani usivyo na roho ya ubinadamu hauwezi kuliita tukio hili ni kasingo. Please hebu onyesha kuguswa na maovu ya namna hii na kuwaalani wanaojaribu kufanya hivyo. Angekufa ndio ingekuwa singo kubwa?
 
Kumbe siku hizi hata wahalifu tunawatambua kwa itikadi zao?! So kumbe sio ajabu tutafika mahali pia tutaanza kuwatambua wahalifu kwa dini zao mfano mkristo au muislamu,

enewei hii yote imetokana na the so called "Hekima ya Mbowe" ndiyo imetufikisha hapa ambapo amecheka na nyani kwa muda mrefu naye nyani kala mahindi na sasa kahamia kula na mabua ya mahindi.

Very pathetic.
 
Kwanza pole Mama Zitto.Pili mbona naona leo Dr.W.Slaa ametoa LIKE nyingi sana?!,halafu angalia comment anazozipa LIKE!!!!!!!!!
 
hii yote kutokana na kuweka wazi juu ya safari yake ya kwenda pale magogoni 2015 kupitia ccm
 
CCM na usalama wa taifa wandhani Zito ni uchochoro wa kupitia kufanikishia mpango wao wa kuisambaratisha CHADEMA hawajui kuwa Zito alijiunga na CHADEMA akiwa na umri wa miaka 16! Hivyo hajui chama kingine zaidi ya hicho kilichomkuza. Wao wanadhani wanaweza kumfanyia usanii hovyohovyo akasaliti na kusambaratisha chama kilichomlea, walie tu. Bali mimi nimjuavyo Zito ana akili nyingi na anajua kuwatumia CCM na usalama wa taifa kwa manufaa MAPANA ya CHADEMA na ataendelea kuwatumia kwa kadri ya ujinga wao na wakiishi kwa matumaini siku moja watamtumia, KATU hawawezi nawashauri watafute uchochoro mwingine, vinginevyo subirini kunyolewa 2015
 
Kweli hii ni nchi yetu sote? maana kunya anye kuku, akinya bata kaharisha, Jamani mama Zito kasema ni makada wa CHADEMA, nyie wengine mnasema CCM `magamba kama mnavyoiita` sasa hapo tumuamini aliyetendewa na amewatambua waliommtendea au ninyi mliopata taarifa hizi na kuanza kushutumu watu wengine?
 
Kweli hii ni nchi yetu sote? maana kunya anye kuku, akinya bata kaharisha, Jamani mama Zito kasema ni makada wa CHADEMA, nyie wengine mnasema CCM `magamba kama mnavyoiita` sasa hapo tumuamini aliyetendewa na amewatambua waliommtendea au ninyi mliopata taarifa hizi na kuanza kushutumu watu wengine?
Kama kweli amevamiwa na MAKADA WA CHADEMA ,basi hapa kuna kitu ambapo kinapaswa kutazamwa kwa jicho la Z
 
Jamaa ataacha hii thredi iendee weeee, afu kesho au kesho kutwa atakuja kuthibitisha au kukanusha, ili aendelee kujadiliwa wiki nzima.
 
haaya teteeni maana cdm ni kundi la malaika.lakini kumbukeni mtaadhirika sana.
Mkuu kuna mambo ya kutetea lakini sio uhalifu!,watu wanafanya utani sana na maisha ya watu!,halafu ni kwa nini siku hizi CDM inaandamwa na matukio ya kihalifu namna hii,au ndio malipo yenyewe yananza hivyo?!
 
Leo CDM inakinukisha Mbeya!

Tulieni mnyolewe!

Thanx kamanda,mweleze ZeMarcopolo,Bungeni,m23 kuwa waje na vichwa vyao akili ndogo waendelee kupata posho lumumba bidae ktk Thrid Live updates:Mkutano wa chadema Mbeya..wataharisha mwaka huu hawa magamba
 
Ben, sina hakika kama hayo unayosema yanatoka rohoni kwako. kwa jinsi unavyomchukia zitto upo uwezekano pia wa kumdhuru mama yake. ben, tuhuma juu yako za kutaka kumuua zitto kwa sumu ni nzito na haziwezi kujivua kwa propaganda za kwenye jf

Shimo alilolichimba Zitto, ipo siku atatumbukia mwenyewe. Mungu hafungani na unafiki.
 
Jamaa ataacha hii thredi iendee weeee, afu kesho au kesho kutwa atakuja kuthibitisha au kukanusha, ili aendelee kujadiliwa wiki nzima.
Mkuu nina mashaka na hilo jina lako hapo juu,isije ikawa na ww ulikuwa kwenye msafara?!
 
Kinchowapa taabu CCM na usalama wao ni kuwa Zito hakamatiki ovyo vinginevyo wangeshamdhuru ili wawasingizie Mbowe na Slaa na kukisambaratiha CDM, bahati mbaya wanapingana na mapenzi ya mungu wanazidi kuambulia LAANA tu
 
Sijui Mh. Zitto amewakosea nini viongozi wenzake wa CHADEMA.

it seems kuna mikakati mloweka kujustfy ufedhuli wenu. hata siku moja hamfanikiwi kwa cheap attempts kama hizi. unajustfy kuwa zito kakosea nini chadema, labda kuna jambo unafahamu ndo maana unajump to conclusion before investigations&interrogations then mahakama iseme. una tatizo la kukurupuka kuconclud bila kuweka justfications. mikakati yote inayofanywa imeshashtukiziwa na hamna litakalofanyika hata likiwa ni kweli liaminike tena kuwa hamna outside hand na hii ndo itazidi kuiboresha na kuipaisha Chadema. Chadema eyes is beyond the end of CCM's and Allies eyes kaka. usitegemee hata siku moja wanafanya uharamia wenu au mipango ya kiibilisi kama ninyi. jiandaeni kwa mapigo ya Kimungu na kutoka kwa wananchi wanavyoiimarisha chadema kwa hali na mali. unapoteza mda kutaka ccm iamke kumbe unazidi kuchochea chadema kupendwa.
 
Acheni kueneza ujinga,mnafikiri wotewaliomo humu Jf ni watoto?Au wahuni?Tunataka ukweli wa habari na sio Uzushi na kupakaziana mambo yasio sahihi,Hili sio Jamvi la mashetani,bali ni la watu wazima wenye umri.
 
Hayo ni matukio ya kawaida kama alivyosema mwanae, haina uhusiano na cdm.Kama huna comments siyo ujinga ukinyamaza kuliko kusingizia.Hata mpumbavu akinyamaza ataonekana ana hekima !
 
Back
Top Bottom