Wale wale mamluki wa CDM waliotumwa kufanya kazi wanatimiza kazi zao ili kukimaliza chama!! CDM kuweni makini. Ninamshukuru Chama katika thread moja ameniuliza ni kwa nini nashinda hapa JF kuandika ninayoandika na akaenda mbali zaidi kuwa tujiulize ni kwa nini vijana wengi wamejaa CDM na wakati mwingine hawajulikani wanafanya nini na cha kushangaza CDM inawaalika tu kufanya nao kazi bila kuwafahamu ipasavyo!! CDM msessage sent to you!!! sasa hivi wanataka kuonesha umma kuwa CDM kuna maharamia, magaidi, majambazi, wauaji n.k!!! Watawatumia hawa hawa mnaofikiri ni viongozi au wanachama wakongwe wa CDM kutekeleza azma yao!! CC Ben Saa Nane, Mohamed Mtoi, Tumaini Makeni, Mikael P. Aweda, John Mnyika, Rejao, Ritz, Chama.