Mama yake Zitto avamiwa

Mama yake Zitto avamiwa

hivi wewe ni binadamu wa kawaida au ni shetani.....gaidi ni lwakatare na ludovick nadhani na wewe ni miongoni mwao kutokana na maneno yako haya

Gaidi ni Kikwete hamna mwingine nchi hii unajua Bilioni 29 anaanzisha tume ya kufuatilia miradi na unaju mwenyekiti wake atakuwa nani Ridhiwani the prince akisaidiwa na Salma
 
MAELEZO YA MAMA ZITTO
Mama Shida alikwenda kuripoti tukio la kuvamiwa kwake katika kituo cha polisi cha tabata na kufunguliwa jalada na. TAB/RB/2898/CCY/13 lakini aliambiwa kuwa tukio hilo ni
csvkubwa kwa hiyo akaripoti kituo cha polisi cha Buguruni ambacho ni kikubwa. Alikwenda kuripoti kituo cha buguruni na kufunguliwa jalada no.BUG/RB/5153 LA KOSA LA KUTISHIA KUUA KWA BASTOLA.

Baada ya kutoka hapo polisi , Shida alimpigia simu katibu mkuu wa CHADEMA DR. WILIBROD SLAA na kumueleza juu ya tukio hilo, DR Slaa alimwambia kwamba aende kuripoti katika ofisi yao ya ulinzi na usalama makao makuu ya CHADEMA. Alipoenda ofisi ya ulinzi na usalama alimkuta Naibu mkurugenzi wa ulinzi na usalama aitwaye AHMED SABULA ambaye alimwambia Shida kwamba, wamepata habari juu ya tukio hilo na pia wanazo habari za yeye kupita mikoani kumnadi mwane Zitto Kabwe ili apate uenyekiti wa CHADEMA. Maneno hayo yalimkatisha tamaa, Akaamua kuondoka, lakini alipofika njiani alipigiwa simu na Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe ambaye alimfokea kwanini alikwenda kueleza tukio la kuvamiwa na vijana hapo makao makuu ya CHADEMA. Mama SHIDA shida alikosa la kusema na hatimaye akaanza kuamini kuwa vijana wale walitumwa na Mbowe ili kumtisha au kumdhuru.

MAMA ZITTO amesema kuwa alipokuwa mwanza, hotelini aliwahi pia kuvamiwa na vijana wawili wa kiume ambao walijifanya wamepotea chumba.

Kaazi kwelikweli, kwani uenyekiti wa CDM kitu gani? tutasikia mengi kweli,
 
Gaidi ni Kikwete hamna mwingine nchi hii unajua Bilioni 29 anaanzisha tume ya kufuatilia miradi na unaju mwenyekiti wake atakuwa nani Ridhiwani the prince akisaidiwa na Salma

lengo lako ni ku divert mjadala, ni bora uanzishe mada tutajadili
 
Habari yenyewe imekaa kiudaku mno! Mtanzania ni bora wautumie muda huu kumjenga mgombea wao Lowasa kuliko kuandika habari za kiudaku!

soma hapa mkuu pengine utapata la kuweka akilini.
MAELEZO YA MAMA ZITTO
Shida alikwenda kuripoti tukio hilo katika kituo cha polisi cha tabata na kufunguliwa jalada na. TAB/RB/2898/CCY/13 lakini aliambiwa kuwa tukio hilo ni kubwa kwa hiyo akaripoti kituo cha polisi cha Buguruni ambacho ni kikubwa. Alikwenda kuripoti kituo cha buguruni na kufunguliwa jalada no.BUG/RB/5153 LA KOSA LA KUTISHIA KUUA KWA BASTOLA.
Baada ya kutoka hapo polisi , Shida alimpigia simu katibu mkuu wa CHADEMA DR. WILIBROD SLAA na kumueleza juu ya tukio hilo, DR Slaa alimwambia kwamba aende kuripoti katika ofisi yao ya ulinzi na usalama makao makuu ya CHADEMA. Alipoenda ofisi ya ulinzi na usalama alimkuta Naibu mkurugenzi wa ulinzi na usalama aitwaye AHMED SABULA ambaye alimwambia Shida kwamba, wamepata habari juu ya tukio hilo na pia wanazo habari za yeye kupita mikoani kumnadi mwane Zitto Kabwe ili apate uenyekiti wa CHADEMA. Maneno hayo yalimkatisha tamaa, Akaamua kuondoka, lakini alipofika njiani alipigiwa simu na Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe ambaye alimfokea kwanini alikwenda kueleza tukio la kuvamiwa na vijana hapo makao makuu ya CHADEMA. Mama SHIDA shida alikosa la kusema na hatimaye akaanza kuamini kuwa vijana wale walitumwa na Mbowe ili kumtisha au kumdhuru
MAMA ZITTO amesema kuwa alipokuwa mwanza, hotelini aliwahi pia kuvamiwa na vijana wawili wa kiume ambao walijifanya wamepotea chumba.
 
Mama Zitto mweleka kaanguka chini puu nimdharau sana huyu mama unajua kama ulikuwa na heshima na mtu alafu akageuka kiroboto unababua tuu

una comment kigaidi kweli. wewe ni lazima utakuwa mtekeleza huu mpango ndio mana unataka kushawishi watu wamdharau mama zitto wakati ni mtendewa..acha ugaidi wako bana sio vizuri, hii nchi ni yetu sote
 
soma hapa mkuu pengine utapata la kuweka akilini.
MAELEZO YA MAMA ZITTO
Shida alikwenda kuripoti tukio hilo katika kituo cha polisi cha tabata na kufunguliwa jalada na. TAB/RB/2898/CCY/13 lakini aliambiwa kuwa tukio hilo ni kubwa kwa hiyo akaripoti kituo cha polisi cha Buguruni ambacho ni kikubwa. Alikwenda kuripoti kituo cha buguruni na kufunguliwa jalada no.BUG/RB/5153 LA KOSA LA KUTISHIA KUUA KWA BASTOLA.
Baada ya kutoka hapo polisi , Shida alimpigia simu katibu mkuu wa CHADEMA DR. WILIBROD SLAA na kumueleza juu ya tukio hilo, DR Slaa alimwambia kwamba aende kuripoti katika ofisi yao ya ulinzi na usalama makao makuu ya CHADEMA. Alipoenda ofisi ya ulinzi na usalama alimkuta Naibu mkurugenzi wa ulinzi na usalama aitwaye AHMED SABULA ambaye alimwambia Shida kwamba, wamepata habari juu ya tukio hilo na pia wanazo habari za yeye kupita mikoani kumnadi mwane Zitto Kabwe ili apate uenyekiti wa CHADEMA. Maneno hayo yalimkatisha tamaa, Akaamua kuondoka, lakini alipofika njiani alipigiwa simu na Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe ambaye alimfokea kwanini alikwenda kueleza tukio la kuvamiwa na vijana hapo makao makuu ya CHADEMA. Mama SHIDA shida alikosa la kusema na hatimaye akaanza kuamini kuwa vijana wale walitumwa na Mbowe ili kumtisha au kumdhuru
MAMA ZITTO amesema kuwa alipokuwa mwanza, hotelini aliwahi pia kuvamiwa na vijana wawili wa kiume ambao walijifanya wamepotea chumba.
Mkuu bungeni unajitahidi sana kutuaminisha yale unayotaka tuamini...wajanja tumeshakujua mpango huu wote kwani ni muendelezo wa zile movie....
 
Wale wale mamluki wa CDM waliotumwa kufanya kazi wanatimiza kazi zao ili kukimaliza chama!! CDM kuweni makini. Ninamshukuru Chama katika thread moja ameniuliza ni kwa nini nashinda hapa JF kuandika ninayoandika na akaenda mbali zaidi kuwa tujiulize ni kwa nini vijana wengi wamejaa CDM na wakati mwingine hawajulikani wanafanya nini na cha kushangaza CDM inawaalika tu kufanya nao kazi bila kuwafahamu ipasavyo!! CDM msessage sent to you!!! sasa hivi wanataka kuonesha umma kuwa CDM kuna maharamia, magaidi, majambazi, wauaji n.k!!! Watawatumia hawa hawa mnaofikiri ni viongozi au wanachama wakongwe wa CDM kutekeleza azma yao!! CC Ben Saa Nane, Mohamed Mtoi, Tumaini Makeni, Mikael P. Aweda, John Mnyika, Rejao, Ritz, Chama.
 
soma hapa mkuu pengine utapata la kuweka akilini.
MAELEZO YA MAMA ZITTO
Shida alikwenda kuripoti tukio hilo katika kituo cha polisi cha tabata na kufunguliwa jalada na. TAB/RB/2898/CCY/13 lakini aliambiwa kuwa tukio hilo ni kubwa kwa hiyo akaripoti kituo cha polisi cha Buguruni ambacho ni kikubwa. Alikwenda kuripoti kituo cha buguruni na kufunguliwa jalada no.BUG/RB/5153 LA KOSA LA KUTISHIA KUUA KWA BASTOLA.
Baada ya kutoka hapo polisi , Shida alimpigia simu katibu mkuu wa CHADEMA DR. WILIBROD SLAA na kumueleza juu ya tukio hilo, DR Slaa alimwambia kwamba aende kuripoti katika ofisi yao ya ulinzi na usalama makao makuu ya CHADEMA. Alipoenda ofisi ya ulinzi na usalama alimkuta Naibu mkurugenzi wa ulinzi na usalama aitwaye AHMED SABULA ambaye alimwambia Shida kwamba, wamepata habari juu ya tukio hilo na pia wanazo habari za yeye kupita mikoani kumnadi mwane Zitto Kabwe ili apate uenyekiti wa CHADEMA. Maneno hayo yalimkatisha tamaa, Akaamua kuondoka, lakini alipofika njiani alipigiwa simu na Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe ambaye alimfokea kwanini alikwenda kueleza tukio la kuvamiwa na vijana hapo makao makuu ya CHADEMA. Mama SHIDA shida alikosa la kusema na hatimaye akaanza kuamini kuwa vijana wale walitumwa na Mbowe ili kumtisha au kumdhuru
MAMA ZITTO amesema kuwa alipokuwa mwanza, hotelini aliwahi pia kuvamiwa na vijana wawili wa kiume ambao walijifanya wamepotea chumba.

Kwa kifupi tu mama Zitto hana passion ana CDM kwa sababu anataka mwanaye awe Mwenyekiti na ikiwezekana agombee Urais!! Huu ni mpango wa kupanga, hana mapenzi na CDM!!! Ila anapoteza steps!! Pole mama!! Umelipwa ngapi mama Zitto!! Movies are going on!! Mpaka movie za kufikirika tutaziona pindi 2015.!!!!
 
Wale wale mamluki wa CDM waliotumwa kufanya kazi wanatimiza kazi zao ili kukimaliza chama!! CDM kuweni makini. Ninamshukuru Chama katika thread moja ameniuliza ni kwa nini nashinda hapa JF kuandika ninayoandika na akaenda mbali zaidi kuwa tujiulize ni kwa nini vijana wengi wamejaa CDM na wakati mwingine hawajulikani wanafanya nini na cha kushangaza CDM inawaalika tu kufanya nao kazi bila kuwafahamu ipasavyo!! CDM msessage sent to you!!! sasa hivi wanataka kuonesha umma kuwa CDM kuna maharamia, magaidi, majambazi, wauaji n.k!!! Watawatumia hawa hawa mnaofikiri ni viongozi au wanachama wakongwe wa CDM kutekeleza azma yao!! CC Ben Saa Nane, Mohamed Mtoi, Tumaini Makeni, Mikael P. Aweda, John Mnyika, Rejao, Ritz, Chama.

Zogwale,

Nimekuelewa mkuu.
 
Last edited by a moderator:
ebanaeee, kinaendelea kunuka, nilishasema na na wote tunajua kua chadema, kwa ugaidi wao ndio viongozi, hili nalo si la kupuuzwa, chadema ni wa kuogopwa kama ukoma, ugaidi kwao ni mbinu ya kawaida kabisa
 
Hiindo imekuwa staili mpya ya wezi,wanakuvamia kisha wanasema tumetumwa na chama.
 
Tunako elekea tutahamia kulala jeshini sasa

Mh,nachoka sana na siasa za Tz. Kweli kwa mwendo huu 2015 CDM itakuwa ICU na hapo ndipo lile dudu litakaposhka dola tena,lol!
 
binadamu wa leo amevaa roho ya kinyama na kuuvua ubinadamu wake, amekuwa mnyama kuliko mnyama mwenyewe, amekuwa adui wa binadamu mwenzake kuliko hata mnyama wa porini...hatuko katika ulimwengu salama tena na hususan hapa tanzania ambapo tulizoea amani na upendo. tunu hizi zinapotea kidogo kidogo...
 
Back
Top Bottom