Mama yake Zitto avamiwa

Mama yake Zitto avamiwa

Kumbe unamfahamu.
She is something else!
Kwa wanaomjua huyu mama alivyo tapeli ingawa mwanae ni maarufu hawashangai. Huenda ameishakula dili na CCM kuanza kuichafua CDM kama si kuandaa mazingira ya yeye na mwane kukitoa CDM. Huyu mama ni kigeugeu kwa wanaomfahamu kabla ya mwanae kuwa mbunge alipokuwa akijitahidi kubomu pesa kupitia kikundi cha watu walioslimu. Ni mama hatari huyu ambaye hapaswi kuaminiwa ingawa lolote lawezekana hawa wakawa vibaka. Siasa za bongo zimegeuka mchezo mchafu kweli kweli.
 
Hapa ndo ninapogundua ni upuuzi kushabikia chama maana kufanya hivyo kunamtoa mtu akili huru ya kufikilia mambo ki sawa sawa.Na ndio maana hata haya makundi ya dini yanaharibu sana amani kwa maana watu wamejisahau na wamebaki wakishabikia madhehebu badala ya kushabikia mema yatajwayo na kuhimizwa na dini.Mi ndo maana naangalia mwenye kunipendeza kimatendo ndiyo atapata kula yangu wala sio kwa sababu yupo chama fulani.
 
Hivi ninyi kueleza sera zenu mmeshindwa na mnaamua kwapromoti CHADEMA? Rejeeni kauli ya Baba wa Taifa kuhusu Mrema kubebwa, kbadilisha mtindo itafikia
Mahali hakuna atakaewaamini tena mahali
 
Nusu(50%) ya maafisa usalama wa Taifa Tanzania wanaripoti kwangu - Dr.Slaa 2010.
My take; kama wanaripoti kwa dr slaa na imeanza kugundulika TISS ni makuadi wa CCM the
 
Mama kama ni kweli pole sana ila kama napo ni move pole pia maana umejidhalilisha wewe na umemzalilisha mwanao maana kila ck anaimba rushwa huku wala rushwa anao nyumbani kwake! Magamba howeeee , peopleeeeeeez....
 
Hizi movie Mwaka huu,

Watu wadhani watanzania wote wajinga!
 
mama zto tena? haya mambo yanakaaje katika hili lazima zito na mbowe wafunguke vinginevyo hatuwaelewi kabisa hawa lazima wanachezeana.
 
una comment kigaidi kweli. wewe ni lazima utakuwa mtekeleza huu mpango ndio mana unataka kushawishi watu wamdharau mama zitto wakati ni mtendewa..acha ugaidi wako bana sio vizuri, hii nchi ni yetu sote

Zitto na Mama yake ni magaidi wa kisiasa content za kwenye gazeti zinathibitisha kuna mtu anasema kumbe huyo mama zitto ni tapeli lililokubuhu hata kwenye chama cha walemavu kumbe walemavu wenziwe waliandamana kudai fedha alizozitumia kwa manufaa yake mwenyewe ,hakika kwa hili amejidhariisha na kujidharaurisha mr bungeni aka zzzzzzzz
 
kinana anauza kucha na meno ya watu badala ya meno ya tembo siku hzi?
 
Hadi 2015 tutajua kila rangi ya hiki chama huu ni mwanzo tuu makubwa yanakuja
 
MKUU UNGANISHA HAYO YAKO NA YA MKUU BACELONA HAPA CHINI UONE, HIZO DOTS ZINAVYOENDANA.. YAANI SASA HIVI USALAMA WA TAIFA NI SISIEMU PURE (TENA WANAPOKEA MAELEKEZO YA NAPE, RAGE, MWIGURU NA WASIRA BILA KUMSAHAU NCHIMBI) By bacelona Kutokana na habari iliyoandikwa na gazeti la Mtanzania la leo kuhusumajambazi kumvamia Mama Shida Salum na maelezo yake ambayo ameyatoa ni kamaifuatavyo;i. Lengo kuu ni kuwa Polisi watamkamata Hemed Sabula, ambaye CHADEMA walimtumia kumrekodi Afisa usalama wa Taifa ambaye alikuwaanaanda ushahidi feki wa kumhusisha Lwakatare na ugaidi ……na tayari Polisiwameelekezwa kufanya hivyo kesho .ii. Usalama wa Taifa , wameamua kulipiza kisasi kwaCHADEMA baada ya kurekodiwa na wanataka kujua walirekodi nini na hichowalichorekodi kipo wapi, hivyo Sabula atateswa sana ili aseme aliwezajekuwarekodi iii. Zoka Jack , alifanya mawasiliano na ambaowalihusika katika kuandaa na kuandika habari hiyo na mwandishi alikuwaakielekezwa kila kitu, na ndio maana hajawahoji polisi kama suala hilo likokwenye uchungiuzi ama laa , na leo au kesho polisi watatoa tamko kuhusiana nasuala hilo na kuwa wanaendelea na uchunguzi na watamkamata Sabula, swaliatakaloulizwa ni kuwa mbona yeye aliuliza swali kama walivyofanya majambazi haowa kutungwa iv. Sabula mawasiliano yake ya simu yamefanyiwa kazina baahati mbaya ameonekana kuwa hakumuuliza mama Zitto swali hilo la kuwaanatoa wapi fedha za kuzunguka nchi nzima ,ila alimuuliza juu ya kamaanawafahamu watu hao ama kama alishawahi kuwaona naye akamwambia atarudi kwakebaadae na hakuna ushahidi wa kimawasiliano kama alirejea tena kwake na badalayake akaenda kuongea na vyobo vya habari.v. Kuhusu kwamba kijana mmoja ni mtu kutoka Tanga ,yupo kijana mmoja anaandaliwa anaitwa Khalid atakamatwa kwa hatua za baadae ,na huyu tayari ameshaandaliwa kimkakati.Nawashauri CHADEMA wafanye yafuatayo kwa hatua za sasa;a. Hakikisheni kuwa kuanzia leo mnaweka mawakili wenu kwaajili ya kuhakikisha kuwa Sabula haendi polisi peke yake ili asitesweb. Hakikishenikuwa mikanda mliyowarekodi watu wa usalama inawekwa mahali salama kwaniinatafutwa kwa gharama kubwa sana ili iweze kuandaliwa majibu.c. Wapo watuambao mpaka sasa wanaweza kupoteza kazi kutokana na sakata hili , jiandaenikuwatetea …..Naishia hapo kwa leo.

Nimefuatilia kwa umakini coment za BACHELONA na uandishi wake humu ndani na hata anavyoandika ukilinganisha na atamkapo wakati anaongea nimegundua "BACHELONA NI DQ WILBROAD SLAA" nakuombeni mfuatilie coment za slaa humu ndani unganisheni na Barca mtajua niko right au la.
 
Maandalizi ya vita baada ya 2015 yanaendelea vizuri san.

Waandaaji ni CCM na CHADEMA.

Jeshi langu la kidato cha Nne muliofeli kuanzia 2011 mpaka 2015 aeni mkao wa kula,ajira hipo hivi karibuni,2015 sio mbali vumilieni kidogo tu.

Padri Slaa tulahisishie mambo waambie wale jamaa zako watuingizie bunduki maana mwenzio Mr.Dhaifu Kikwete ameshaanza kutuwekea mambo sawa kwa kutupeleka JKT ili tujue namna ya kutumia silaha,baada ya 2015 kazi ni nyepesi ni kuwakabidhi vijana silaha maana watakuwa wameshahitimu JKT.

Yote haya kwa faida ya nani?
 
Mkuu Barcelona ni dr Slaa fuatilia uandishi wake humu ndani na anavyokoseakosea then tizama alivyoandika barcelona dar huyu mzee ni mmafia.[/QUOT

Angalia wakati hiyo msg inatumwa je Slaa alikuwa wapi? Zuri kila kitu kiko wazi ni macho na akili zako tu.
 
Maandalizi ya vita baada ya 2015 yanaendelea vizuri san.

Waandaaji ni CCM na CHADEMA.

Jeshi langu la kidato cha Nne muliofeli kuanzia 2011 mpaka 2015 aeni mkao wa kula,ajira hipo hivi karibuni,2015 sio mbali vumilieni kidogo tu.

Padri Slaa tulahisishie mambo waambie wale jamaa zako watuingizie bunduki maana mwenzio Mr.Dhaifu Kikwete ameshaanza kutuwekea mambo sawa kwa kutupeleka JKT ili tujue namna ya kutumia silaha,baada ya 2015 kazi ni nyepesi ni kuwakabidhi vijana silaha maana watakuwa wameshahitimu JKT.

Yote haya kwa faida ya nani?

Wengine wanajenga chama hatutaki matapeli wa kisiasa mama na mwana
931444_506065216107463_2051192640_n.jpg
 
Nimefuatilia kwa umakini coment za BACHELONA na uandishi wake humu ndani na hata anavyoandika ukilinganisha na atamkapo wakati anaongea nimegundua "BACHELONA NI DQ WILBROAD SLAA" nakuombeni mfuatilie coment za slaa humu ndani unganisheni na Barca mtajua niko right au la.

ukichukulia maungamo ya Sagula katika mambo ya Morogoro na Igunga ambayo Dr Slaa naye anahusika naelekea kukubaliana nawe katika hili... Wanatapatapa!
 
Mkuu Barcelona ni dr Slaa fuatilia uandishi wake humu ndani na anavyokoseakosea then tizama alivyoandika barcelona dar huyu mzee ni mmafia.[/QUOT

Angalia wakati hiyo msg inatumwa je Slaa alikuwa wapi? Zuri kila kitu kiko wazi ni macho na akili zako tu.

wee Slaa ameshinda humu akigonga likes za kutosha kwa Id yake halisi mkuu. Wacha kumtetea.
 
Back
Top Bottom