Mkuu bungeni unajitahidi sana kutuaminisha yale unayotaka tuamini...wajanja tumeshakujua mpango huu wote kwani ni muendelezo wa zile movie....
Bacelona amesema si mwanachadema sasa kawezaje kupata fulsa ya kujua mawsiliano ya mama zito na sabula,pia amesema mawasiliano ya simu ya sabula yamefanyiwa kazi kajuaje na yeye si mwanachadema? Pimeni wanajf.
Kwa kifupi tu mama Zitto hana passion ana CDM kwa sababu anataka mwanaye awe Mwenyekiti na ikiwezekana agombee Urais!! Huu ni mpango wa kupanga, hana mapenzi na CDM!!! Ila anapoteza steps!! Pole mama!! Umelipwa ngapi mama Zitto!! Movies are going on!! Mpaka movie za kufikirika tutaziona pindi 2015.!!!!
Mkuu mbona bungeni anahoja wasiwasi tu.mkuu kuliko kumshambulia ni bora upinge kwa hoja mana naona kama amenukuu maelezo ya zitto, akachukua maelezo ya gazeti na akaweka maelezo ya mama yake zitto, sidhani kama kushambuliana personality ina tija katika mjadala huu.
ingekuwa mama yako amefanyiwa haya ungeandika huu ujinga wako hapa???? tuwe na huruma ya kibinadamu hata kama tuna uroho wa madaraka kama mbwa mwenye njaa
Mama Zitto mweleka kaanguka chini puu nimdharau sana huyu mama unajua kama ulikuwa na heshima na mtu alafu akageuka kiroboto unababua tuu
haiwezekani tukio kubwa kama hilo kuwasilishwa kiudaku udaku hivyo. Mi nashauri CDM wawe makini kupita kiasi kwenye intelijensi yao, wanaungaunga tu maneno kiasi cha mtu makini kum-wia vigumu kuamini tukio zima..bla bla kibao. Time will tell watahaha sana na mbinu zao chafu
Mkuu mbona bungeni anahoja wasiwasi tu.
This?..has gone too far..
mkuu, nakushauri ufuatilie hii thred taratibu utaweza kuelewa...page ya kwanza ina kila kitu. kama kweli wewe umejiunga katika jukwaa hili kwa lengo la kujenga taifa na ukajisajili kwa fake id, hutatumia muda wako kubomoa nchi yako.
ukisoma vizuri maelezo ya mama hapo ni wazi hana uhakika kama ni makada wa chadema ila kwa sababu walijitambulisha hivyo! ni wazi ni muendelezo wa siasa za matope ili chadema kichafuke. hivi kweli mwalifu ajitambulishe ili iwaje? lengo ? hii movie nayo imebuma!
Kaka nchi hii tuna Gaidi kigagula mmoja tuu Jakaya Kikwete na mwanawe Ridhiwani unajua Dola bilioni moja na nusu za wachina zimeshatoka, mama yako atafufuka kuja kuzilipa