Gani tena?kafara
Unaweza kuthibitisha post yako?kafara
mm nilijua ww ndo unahabari utujuze na je hao madaktari waliogoma hawana kinyongo nae kwani walidai madawa hayapo mahospitaliniAlipata stroke baada ya BP kupanda wiki iliyopita.
Alipelekwa Muhimbili kufanyiwa MRI na baadae kupelekwa ICU ya Aga Khan.
RIP.
RIP bibi ila mwanao blandina ansubiri kwenda keko kama akina mramba
mm nilijua ww ndo unahabari utujuze na je hao madaktari waliogoma hawana kinyongo nae kwani walidai madawa hayapo mahospitalini