Malyenge
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 6,658
- 3,646
Wakuu hali zenu vipi.
Kuna breaking newz ingawa nimechelewa kuwaletea ni kwamba aliyekuwa katibu mkuu wizara ya afya Blandina Nyoni amefiwa na mama yake mzazi. Nawasilisha wakuu. Sijui kifo cha mama yake kimesababishwa na "pressure" ya mwanae kusimamishwa kazi au ni maradhi ya kawaida.
Kuna breaking newz ingawa nimechelewa kuwaletea ni kwamba aliyekuwa katibu mkuu wizara ya afya Blandina Nyoni amefiwa na mama yake mzazi. Nawasilisha wakuu. Sijui kifo cha mama yake kimesababishwa na "pressure" ya mwanae kusimamishwa kazi au ni maradhi ya kawaida.