mafoleni
JF-Expert Member
- Nov 18, 2016
- 220
- 371
Mara kadhaa nimekuwa nikileta mada ya kuhusu mama watoto wangu ambae ni Islamic na wazazi wake wamekataa mtoto wao asibadili dini ili tuweza kuwa mume na mke mbele ya MUNGU kwa sababu Mimi ni Christian.
Ukweli ni kwamba tumetoka mbali sana kimaisha toka tulipokuwa tumepanga mpaka kujenga na Maendeleo mengine ya kibiashara.
Nimejaribu kuvumilia sana nikijua huenda atabadili mawazo na kuamua kwenda kinyume na wazazi ili kunifata Mimi ili tuweze kuoana lakini mwenzangu anasikiliza maamuzi ya wazazi.
Kiukweli sasa imefikia stage naona kama tunapotezeana muda tu. Nikajiuliza maswali mengi sana mpaka nikaamua sasa kutafuta mkristo mwenzangu ili niweze fanya mipango ya ndoa. Ila kwa kuwa tayari nimezaa nae nikaona sio mbaya nimuache kwenye nyumba tuliyojenga akae na watoto kisha mi nikapambana kujenga nyingine ambayo nitaishi na huyo nitakae muoa.
Kikubwa kilichofanya niombe mawazo ya ndugu Zangu humu tatizo ni hili hapa:
1..YUPO KWAO NA HATAKI KURUDI KWAKE
2..ANATAKA NIMUHUDUMIA AKIWA HUKO HUKO
3..HATAKI KUONA HUYU ANAEHITAJI NDOA NAMSHIRIKISHA KATIKA BIASHARA YOYOTE ILE AU KUKAA KATIKA OFIC ZANGU
Naombeni ushauri ndugu Zangu Nyumba nimemuachia akae na hataki, nalipa kodi niliko panga huku Nyumba YANGU ipo na haikaliwi na mtu. NIFANYEJE?
Ukweli ni kwamba tumetoka mbali sana kimaisha toka tulipokuwa tumepanga mpaka kujenga na Maendeleo mengine ya kibiashara.
Nimejaribu kuvumilia sana nikijua huenda atabadili mawazo na kuamua kwenda kinyume na wazazi ili kunifata Mimi ili tuweze kuoana lakini mwenzangu anasikiliza maamuzi ya wazazi.
Kiukweli sasa imefikia stage naona kama tunapotezeana muda tu. Nikajiuliza maswali mengi sana mpaka nikaamua sasa kutafuta mkristo mwenzangu ili niweze fanya mipango ya ndoa. Ila kwa kuwa tayari nimezaa nae nikaona sio mbaya nimuache kwenye nyumba tuliyojenga akae na watoto kisha mi nikapambana kujenga nyingine ambayo nitaishi na huyo nitakae muoa.
Kikubwa kilichofanya niombe mawazo ya ndugu Zangu humu tatizo ni hili hapa:
1..YUPO KWAO NA HATAKI KURUDI KWAKE
2..ANATAKA NIMUHUDUMIA AKIWA HUKO HUKO
3..HATAKI KUONA HUYU ANAEHITAJI NDOA NAMSHIRIKISHA KATIKA BIASHARA YOYOTE ILE AU KUKAA KATIKA OFIC ZANGU
Naombeni ushauri ndugu Zangu Nyumba nimemuachia akae na hataki, nalipa kodi niliko panga huku Nyumba YANGU ipo na haikaliwi na mtu. NIFANYEJE?