Mama wa rafiki yangu ananitaka kimapenzi

Mama wa rafiki yangu ananitaka kimapenzi

Habari wana JF,

Kama kichwa cha Habari hapo juu kinavyosema. Nina rafiki yangu kiumri tunafanana japo sio rafiki kihivyo, pia tulikua majirani lakini kwa sasa nimehama kwa kero za Mama yake kunitaka kimapenzi. Huyo rafiki yangu ndio mwanawe wa kwanza, jumla huyo mama ana watoto wa 3.

Sikumoja aliniita nimuungie WhatsAapp, Facebook na Twitter. Baada ya hilo zoezi kumaliza akaomba na namba zangu kisha akaniuliza nikupigie saa ngapi? Nikamwambia muda wowote. Nikaondoka zangu, usiku akanituma sms kaniuliza
"Umelala?"
"Ndiyo"
"Na nani?"
"Peke yangu"

Akaguna "Mhhhhh siamini", nikajifanya simsikii kama mtandao unasumbua hivi nikakata simu nikalala. Akaendelea kunisumbua; kuna siku kanitumia SMS akaniambia leo naenda kuoga choo cha nje wewe njoo moja kwa moja sifungi mlango nauegesha tu. Sikwenda. Siku ya pili akaninunia baadaye akaniita akaniuliza, "Vipi message yangu?" nikamdanganya simu niliweka chaji sikuwa nayo, akasema sawa.

Nikaamua kuhama na namba ya simu nikabadili kumkwepa. Sasa kapata tena namba zangu ila hajui ninapokaa. Akinipigia ananiita mpenzi wangu na anataka aje kwangu, na keshamuaga mumewe anataka kwenda Mbagala kwa dada yake kumbe anataka aje kwangu alale siku tatu.

Nifanyeje nijinasue na huu mtego? But mwanawe anapajua kwangu.
Duuh
 
Habari wana JF,

Kama kichwa cha Habari hapo juu kinavyosema. Nina rafiki yangu kiumri tunafanana japo sio rafiki kihivyo, pia tulikua majirani lakini kwa sasa nimehama kwa kero za Mama yake kunitaka kimapenzi. Huyo rafiki yangu ndio mwanawe wa kwanza, jumla huyo mama ana watoto wa 3.

Sikumoja aliniita nimuungie WhatsAapp, Facebook na Twitter. Baada ya hilo zoezi kumaliza akaomba na namba zangu kisha akaniuliza nikupigie saa ngapi? Nikamwambia muda wowote. Nikaondoka zangu, usiku akanituma sms kaniuliza
"Umelala?"
"Ndiyo"
"Na nani?"
"Peke yangu"

Akaguna "Mhhhhh siamini", nikajifanya simsikii kama mtandao unasumbua hivi nikakata simu nikalala. Akaendelea kunisumbua; kuna siku kanitumia SMS akaniambia leo naenda kuoga choo cha nje wewe njoo moja kwa moja sifungi mlango nauegesha tu. Sikwenda. Siku ya pili akaninunia baadaye akaniita akaniuliza, "Vipi message yangu?" nikamdanganya simu niliweka chaji sikuwa nayo, akasema sawa.

Nikaamua kuhama na namba ya simu nikabadili kumkwepa. Sasa kapata tena namba zangu ila hajui ninapokaa. Akinipigia ananiita mpenzi wangu na anataka aje kwangu, na keshamuaga mumewe anataka kwenda Mbagala kwa dada yake kumbe anataka aje kwangu alale siku tatu.

Nifanyeje nijinasue na huu mtego? But mwanawe anapajua kwangu.
Mchape nao si kautaka mwenyewe wewe vipi dogo usiishi kizembe
 
Habari wana JF,

Kama kichwa cha Habari hapo juu kinavyosema. Nina rafiki yangu kiumri tunafanana japo sio rafiki kihivyo, pia tulikua majirani lakini kwa sasa nimehama kwa kero za Mama yake kunitaka kimapenzi. Huyo rafiki yangu ndio mwanawe wa kwanza, jumla huyo mama ana watoto wa 3.

Sikumoja aliniita nimuungie WhatsAapp, Facebook na Twitter. Baada ya hilo zoezi kumaliza akaomba na namba zangu kisha akaniuliza nikupigie saa ngapi? Nikamwambia muda wowote. Nikaondoka zangu, usiku akanituma sms kaniuliza
"Umelala?"
"Ndiyo"
"Na nani?"
"Peke yangu"

Akaguna "Mhhhhh siamini", nikajifanya simsikii kama mtandao unasumbua hivi nikakata simu nikalala. Akaendelea kunisumbua; kuna siku kanitumia SMS akaniambia leo naenda kuoga choo cha nje wewe njoo moja kwa moja sifungi mlango nauegesha tu. Sikwenda. Siku ya pili akaninunia baadaye akaniita akaniuliza, "Vipi message yangu?" nikamdanganya simu niliweka chaji sikuwa nayo, akasema sawa.

Nikaamua kuhama na namba ya simu nikabadili kumkwepa. Sasa kapata tena namba zangu ila hajui ninapokaa. Akinipigia ananiita mpenzi wangu na anataka aje kwangu, na keshamuaga mumewe anataka kwenda Mbagala kwa dada yake kumbe anataka aje kwangu alale siku tatu.

Nifanyeje nijinasue na huu mtego? But mwanawe anapajua kwangu.
Shetani mkubwa huyo mama. Mkimbie haraka sana huyo jangili maana anataka kukuharibia future yako
 
Habari wana JF,

Kama kichwa cha Habari hapo juu kinavyosema. Nina rafiki yangu kiumri tunafanana japo sio rafiki kihivyo, pia tulikua majirani lakini kwa sasa nimehama kwa kero za Mama yake kunitaka kimapenzi. Huyo rafiki yangu ndio mwanawe wa kwanza, jumla huyo mama ana watoto wa 3.

Sikumoja aliniita nimuungie WhatsAapp, Facebook na Twitter. Baada ya hilo zoezi kumaliza akaomba na namba zangu kisha akaniuliza nikupigie saa ngapi? Nikamwambia muda wowote. Nikaondoka zangu, usiku akanituma sms kaniuliza
"Umelala?"
"Ndiyo"
"Na nani?"
"Peke yangu"

Akaguna "Mhhhhh siamini", nikajifanya simsikii kama mtandao unasumbua hivi nikakata simu nikalala. Akaendelea kunisumbua; kuna siku kanitumia SMS akaniambia leo naenda kuoga choo cha nje wewe njoo moja kwa moja sifungi mlango nauegesha tu. Sikwenda. Siku ya pili akaninunia baadaye akaniita akaniuliza, "Vipi message yangu?" nikamdanganya simu niliweka chaji sikuwa nayo, akasema sawa.

Nikaamua kuhama na namba ya simu nikabadili kumkwepa. Sasa kapata tena namba zangu ila hajui ninapokaa. Akinipigia ananiita mpenzi wangu na anataka aje kwangu, na keshamuaga mumewe anataka kwenda Mbagala kwa dada yake kumbe anataka aje kwangu alale siku tatu.

Nifanyeje nijinasue na huu mtego? But mwanawe anapajua kwangu.
Alikutumia meseji ukajifanya humsikii ukakata sim!!!!!???? Ukiwa muongo uwe smart kichwani.
 
Nakumbuka nilipanga nyumba na dada mmoja akiishi kwao, mtumishi wa serikali, alinisimilia changamoto zake za mapenzi kwamba zaidi ya miezi 8 hajasex, kila akiwa na mtu wakijipanga tu siku hiyo jamaa anapotea. Alisema alilogwa na Shangazi yake kwa kuiba chupi na kukipeleka kwa mganga. Mie nilikaza tu. Sasa siku moja nimetoka usiku kukojoa nje chooni, dada naye akafungua mlango wake kuja kukojoa na kuniomba nimsubiri hadi naye akojoe, kituko yaani alipandisha nguo yote juu huku hajavaa chupi, loh! Nikasubiri atoke nikiwa mlangoji pangu, alivyokaribia kwangu nilifunga mlango pasta kumkwepa lkn kitu tayari kilienda winga, nilijinyima tu yaani. Hii ikawa mara nyingi hadi akasema wazi tuzimuane, nilikataa. Ila nilikuwa mwamba sana kuikwepa ile mitego ya yule dada. Kwa sasa zaidi ya miaka 25 imepita, twaheshimiana na yule mama kwa sasa.
 
Nakumbuka nilipanga nyumba na dada mmoja akiishi kwao, mtumishi wa serikali, alinisimilia changamoto zake za mapenzi kwamba zaidi ya miezi 8 hajasex, kila akiwa na mtu wakijipanga tu siku hiyo jamaa anapotea. Alisema alilogwa na Shangazi yake kwa kuiba chupi na kukipeleka kwa mganga. Mie nilikaza tu. Sasa siku moja nimetoka usiku kukojoa nje chooni, dada naye akafungua mlango wake kuja kukojoa na kuniomba nimsubiri hadi naye akojoe, kituko yaani alipandisha nguo yote juu huku hajavaa chupi, loh! Nikasubiri atoke nikiwa mlangoji pangu, alivyokaribia kwangu nilifunga mlango pasta kumkwepa lkn kitu tayari kilienda winga, nilijinyima tu yaani. Hii ikawa mara nyingi hadi akasema wazi tuzimuane, nilikataa. Ila nilikuwa mwamba sana kuikwepa ile mitego ya yule dada. Kwa sasa zaidi ya miaka 25 imepita, twaheshimiana na yule mama kwa sasa.
Duuh miaka 25 bado tu mnaongea kitambo sana asee vipi aliolewa!
 
Sikumoja aliniita nimuungie WhatsAapp, Facebook na Twitter. Baada ya hilo zoezi kumaliza akaomba na namba zangu kisha akaniuliza nikupigie saa ngapi? Nikamwambia muda wowote. Nikaondoka zangu, usiku akanituma sms kaniuliza
"Umelala?"
"Ndiyo"
"Na nani?"
"Peke yangu"

"Akaguna "Mhhhhh siamini", nikajifanya simsikii kama mtandao unasumbua hivi nikakata simu nikalala."

MKUU SIKU HIZI SMS ZINAWEZA KUMFANYA MTU ASISIKIE NA KUKATA SIMU,,,!
 
Habari wana JF,

Kama kichwa cha Habari hapo juu kinavyosema. Nina rafiki yangu kiumri tunafanana japo sio rafiki kihivyo, pia tulikua majirani lakini kwa sasa nimehama kwa kero za Mama yake kunitaka kimapenzi. Huyo rafiki yangu ndio mwanawe wa kwanza, jumla huyo mama ana watoto wa 3.

Sikumoja aliniita nimuungie WhatsAapp, Facebook na Twitter. Baada ya hilo zoezi kumaliza akaomba na namba zangu kisha akaniuliza nikupigie saa ngapi? Nikamwambia muda wowote. Nikaondoka zangu, usiku akanituma sms kaniuliza
"Umelala?"
"Ndiyo"
"Na nani?"
"Peke yangu"

Akaguna "Mhhhhh siamini", nikajifanya simsikii kama mtandao unasumbua hivi nikakata simu nikalala. Akaendelea kunisumbua; kuna siku kanitumia SMS akaniambia leo naenda kuoga choo cha nje wewe njoo moja kwa moja sifungi mlango nauegesha tu. Sikwenda. Siku ya pili akaninunia baadaye akaniita akaniuliza, "Vipi message yangu?" nikamdanganya simu niliweka chaji sikuwa nayo, akasema sawa.

Nikaamua kuhama na namba ya simu nikabadili kumkwepa. Sasa kapata tena namba zangu ila hajui ninapokaa. Akinipigia ananiita mpenzi wangu na anataka aje kwangu, na keshamuaga mumewe anataka kwenda Mbagala kwa dada yake kumbe anataka aje kwangu alale siku tatu.

Nifanyeje nijinasue na huu mtego? But mwanawe anapajua kwangu.
Muepuke
 
Back
Top Bottom