Mama wa mtoto Zahara aliyeasiliwa na Angelina Jolie aomba kukutana na mwanae

Kurzweil

JF-Expert Member
May 25, 2011
6,622
8,397
Zahara alikuwa dhaifu, mwenye utapiamlo na aliyezungukwa na umaskini wa hali ya juu katika familia yake.

02EA64AB0000044D-4124360-image-a-55_1484572754179.jpg

Akiwa na miezi 6 tu, Angelina Jolie aliingiwa imani na kuamua kumchukua na kumuasili, kumfanya kama mwanae wa kumzaa.

3C2D53C400000578-4124360-image-a-59_1484576136947.jpg

Angelina Jolie aliwahi kudai kuwa aliambiwa mama yake Zahara alifariki kwa ugonjwa wa Ukimwi 2005 alipomchukua. Ukweli ni kuwa mama yake alikuwa hai

Sasa Zahara amekua na ana miaka 12 huku akiishi maisha ambayo kila mtu anayaota akiwa na mzazi wa kumlea tajiri.

3C2D03F300000578-4124360-image-a-60_1484576163141.jpg

Licha ya kuwa Mentewab anakiri kwamba Angelina amefanya kazi kubwa kumlea mwanae, anaomba tu japo nafasi ya kumuona kidogo.

3C2C9C6100000578-4124360-image-a-31_1484569736782.jpg


“Nataka tu ajue kuwa mimi ni mzima na nina hamu kubwa ya kuongea naye. Sihitaji kumchukua mwanangu, lakini ni walau tu kuwa naye karibu, kumuita na kuongea naye,” aliiambia Mail Online.

3C2C9CC900000578-4124360-image-a-30_1484569730743.jpg


3C2C9C6100000578-4124360-image-a-31_1484569736782.jpg

Chanzo: Bongo5
 
“Nataka tu ajue kuwa mimi ni mzima na nina hamu kubwa ya kuongea naye. Sihitaji kumchukua mwanangu, lakini ni walau tu kuwa naye karibu, kumuita na kuongea naye,” aliiambia Mail Online.


Nitegemea angekuwa na maneno kama haya "Nataka ni onane naye ni muombe radhi kwa kumtelekeza na kudai eti nilikuwa nimefariki"

Umaskini unamtelekeza mwanao kisa pesa ?
Nani amepata kuzikwa na hizi mali dunia? Nani kazikuta hizi mali huko ahera?
 
Zahara alikuwa dhaifu, mwenye utapiamlo na aliyezungukwa na umaskini wa hali ya juu katika familia yake.


Akiwa na miezi 6 tu, Angelina Jolie aliingiwa imani na kuamua kumchukua na kumuasili, kumfanya kama mwanae wa kumzaa.


Angelina Jolie aliwahi kudai kuwa aliambiwa mama yake Zahara alifariki kwa ugonjwa wa Ukimwi 2005 alipomchukua. Ukweli ni kuwa mama yake alikuwa hai

Sasa Zahara amekua na ana miaka 12 huku akiishi maisha ambayo kila mtu anayaota akiwa na mzazi wa kumlea tajiri.


Licha ya kuwa Mentewab anakiri kwamba Angelina amefanya kazi kubwa kumlea mwanae, anaomba tu japo nafasi ya kumuona kidogo.

View attachment 461557

“Nataka tu ajue kuwa mimi ni mzima na nina hamu kubwa ya kuongea naye. Sihitaji kumchukua mwanangu, lakini ni walau tu kuwa naye karibu, kumuita na kuongea naye,” aliiambia Mail Online.

View attachment 461558


Chanzo: Bongo5
huyu mama mbona kama yupo tandale kwa mtogolee
 
Zahara alikuwa dhaifu, mwenye utapiamlo na aliyezungukwa na umaskini wa hali ya juu katika familia yake.


Akiwa na miezi 6 tu, Angelina Jolie aliingiwa imani na kuamua kumchukua na kumuasili, kumfanya kama mwanae wa kumzaa.


Angelina Jolie aliwahi kudai kuwa aliambiwa mama yake Zahara alifariki kwa ugonjwa wa Ukimwi 2005 alipomchukua. Ukweli ni kuwa mama yake alikuwa hai

Sasa Zahara amekua na ana miaka 12 huku akiishi maisha ambayo kila mtu anayaota akiwa na mzazi wa kumlea tajiri.


Licha ya kuwa Mentewab anakiri kwamba Angelina amefanya kazi kubwa kumlea mwanae, anaomba tu japo nafasi ya kumuona kidogo.

View attachment 461557

“Nataka tu ajue kuwa mimi ni mzima na nina hamu kubwa ya kuongea naye. Sihitaji kumchukua mwanangu, lakini ni walau tu kuwa naye karibu, kumuita na kuongea naye,” aliiambia Mail Online.

View attachment 461558


Chanzo: Bongo5
Jamani na mimi huku nilishakufa tangu mwaka 2011... nisaidieni jinsi ya kupata wazungu wa kuasili wanangu watano nimeshindwa kuwalea..
 
Huyu mwanamke ni mpuuzi kuliko hata vichaa wa milembe!
Nitegemea angekuwa na maneno kama haya "Nataka ni onane naye ni muombe radhi kwa kumtelekeza na kudai eti nilikuwa nimefariki"

Umaskini unamtelekeza mwanao kisa pesa ?
Nani amepata kuzikwa na hizi mali dunia? Nani kazikuta hizi mali huko ahera?
Hata miminiliwaza hivyo lakini after I read more nilimhurumia mama wa mtoto na nikatamani apewe nafasi ya kuongea au hata kumuona mwanae.
Inasemekana alibakwa akiwa 18 yo. Na baada ya kujifungua alinyang'anywa mtoto (kwa vyovyote kwa sheria za mila zao au dini kutokana na kwamba alikua hajaolewa na alikua mdogo)
Baadae mtoto alipelekwa orphanage ambapo Angelina ali my adopt baada ya kudanganywa kua mama was mtoto alifariki kwa ukimwi.
Labda ni kiss chenye ukweli ndani yake- Ukweli anao yeye.
 
Hata miminiliwaza hivyo lakini after I read more nilimhurumia mama wa mtoto na nikatamani apewe nafasi ya kuongea au hata kumuona mwanae.
Inasemekana alibakwa akiwa 18 yo. Na baada ya kujifungua alinyang'anywa mtoto (kwa vyovyote kwa sheria za mila zao au dini kutokana na kwamba alikua hajaolewa na alikua mdogo)
Baadae mtoto alipelekwa orphanage ambapo Angelina ali my adopt baada ya kudanganywa kua mama was mtoto alifariki kwa ukimwi.
Labda ni kiss chenye ukweli ndani yake- Ukweli anao yeye.


Kama mazingira yako hivyo-anahitaji nafasi ya kumweleza mwanae! Lakini muda wote mbona hakupaza sauti?
 
Back
Top Bottom