fogoh2
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 5,023
- 5,000
ndio wapi hukoWewe mwendee kwa Yesu
ndio wapi hukoWewe mwendee kwa Yesu
Mtoto kwa Mzazi akui BossDogo tafuta pesa ili watoto wako uwalee,umeshakuwa mtu mzima kukofoleavya wazazi utakufa mapema ukiwa umesimama.
Baba yako angekodolea Mali za babu yako usingekuzaa wewe.
P1 MadamuPole sana
Mkuu Mimi Fighter sipo hivyo kama unavyofikiliaUvivu wako na kupenda raha ndo kunakutesa, mtoto wa kiume pambana tengeneza vyako usipokuwa makini utakuwa mwehu.
Ila mkuu moderetor ndiyo wameiweka Title hivyo Mimi sikuandika hivyo ila hayo maelezo waliyowka Mods niliweka ndani ya Uzi.mtoa mada inaonekana we ni mshirikina maana hata hujatounyesha huyo mama kaenda lini kwa waganga na ulimuona au vp ila umeconclude tu
Mkuu Hii Dunia huijui vzuri subiri ukue kidogoKuna anti mmoja hapa Mbezi, ana mtoto mmoja tu na Yuko vizuri kifedha. Huyu anti Ana roho mbaya na uchoyo wa kiwango. Kila mtoto wa dada yake au Kaka yake ambae amekaa kwake Sasa hivi ametoboa. Kwa anti tv inawashwa saa mbili usiku tu kwa taarifa ya habari na yeye akiwepo. Marufuku kukaa sitting room, marufuku kuangalia tv, marufuku kutia kitu mdomoni Kama sio asbuhi, mchana au jioni. Discipline kwa kwenda mbele. Waliobahatika kukaa kwake Sasa hivi wanalia kivulini.
Huyo mama iwe changamoto ya wewe kutafuta vyako. Hakukimbizi Ila anakusindikiza kwa usivyo na akili unahisi anakuroga.
Aache kumroga baba yako akuroge wewe usiyejitambua.
Nimefanya hivyo mkuu lakini huyu mam Kila nikienda pale vijembe haviishiNimelelewa pia na mama wa kambo, wengi wao wana roho mbaya.
Nilishawahi kufikia hatua ya kuacha kuongea na mzee wangu ila Mungu ni mwema hayo matatizo yaliisha na mzee akaanza kunikubali.
Nilikuwa nakaa home ila Mzee akanichana live, nijikatae si ubaya lakini....
So mkuu kama na wewe unaishi hapo ni bora uondoke tu, uende ukaishi na washikaji zako tu huko maghettoni kisha maisha yataanza mdogo mdogo kujipa.
Be a man, upunguze kulalama.
Kunywa Soda mkuu nakuja kulipa.dah mwana pole sana,na sisi wanaume tusiwapotezee watoto wa nje kisa mkeo huo ni ujinga
ndio wapi huko
ila aligoma kwenda au?Mleta mada anakujua...
ila aligoma kwenda au?
Hahahah usijali mwanangu Mungu akubarikiii kwenye hiyo mitihani ya maisha.Mkuu acha utani
Hastaili kulaumiwa mkuu huyu ndg anaumia sana,anahitaji faraja.Mbona umeandika kama unakimbia mkuu
Nihamie nchi gani mkuu wakati ni wahapahapa kwa NyerereAmini tu MUNGU,ipo siku atakuvusha,ikiwezekana hama nchi uone vitu vipya na ufute memory mbaya.
Pole sana.
Ahsante mkuu kwa hiki ulichokiandika, Nitakifanya kaziHii changamoto tupo wengi, ushauri muhimu ni kuzingatia na kutilia maanani masuala yanayohusu mustakabali WA maisha yako.
Jiweke mbali kabisa na mbaya wako/mnafiki wako hata aoneshe kukujali vipi.
Usinisumbue kuuliza kuuliza chochote kuhusu mabaya anayokutendea au kujaribu kitafuta suluhu na badala yake potezea na kujifanya kama hujali yanayoendelea.
Kamwe usikwazike na mabaya anayokutendea yeye hata familia yake na badala yake mabaya Yao yakupe hasira za kupambana zaidi na maisha.
Kitendo Cha wewe kufanya yote hata kutamfanya mbaya wako kuwa na sintofahamu ya ama amefanikiwa au ameshindwa kukuangamiza na hata kuhisi pengine maisha yako yamefanikiwa zaidi tofauti na ambavyo angetamani uanguke.
Hali hii itapelekea kukuogopa na pengine kuhisi kwamba wewe ni mchawi zaidi yake jambo ambalo litampa sintofahamu na Kimnyima usingizi daima.
Muhimu: Endapo unaishi karibu Nate ondoka kabisa na ukiendelea kua karibu Naye vita itakua kubwa zaidi kadiri siku zinavyosonga.