Elungata
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 40,205
- 33,226
Hapa wamejaa wapuuzi wengi, mashabiki mandazi wasiozidi buku(1000) kwenye nchi yenye watu milion 45 na ukiwaendekeza wayaongeayo unaweza kudhani ndio ukweli na hali halisi nchini kote. Kumbe ni wapuuzi watupu wasiokuwa na shughuli za kueleweka na zaidizaidi ni watu waliojawa na stress za kuchapika na maisha.
Nawasoma(ga) jinsi wanavyofarijiana na ku-share ujinga wao mwishowe naishia kucheka tu.
hao hao wapuuzi ndo wanafanya damage kubwa sana kuliko unavyodhani,wanapokua hapa wanaweka threads after threads after threads hatimae wana achieve malengo yao,kwani ni watanzania wachache sana wanaothink clitically na daima wataamini kila linalosemwa na hata hao wapuuzi kama hamna counterpart