Mama Tibaijuka, Flora Mbasha &Co.-Mtashinda tu!

Mama Tibaijuka, Flora Mbasha &Co.-Mtashinda tu!

Pamoja na ukweli kwamba wanaotajwa kuhusika na haya mambo ya Escrow ni wengi ktk Serikali ya raisi Kikwete, lkn ni mmoja tu ndio amekuwa akishambuliwa kila siku kwa kejeli na saa saa nyingine mpaka matusi naye ni Mama Tibaijuka, na ukiangalia sana utaona ya kwamba hakuna sababu nyingine yoyote ya maana zaidi ya ubaguzi dhidi ya Wanawake - Mfumo Dume!

Kama ilivyokuwa kwa Mwanamuziki Flora Mbasha ambapo watu walimshambulia bila hata kujua ukweli, Jamii nzima ikageuka kuwa hakimu na kumhukumu mama Mbasha na kumkingia kifua Mumewe, walimlaumu mama Mbasha kwa kila baya lililoikumba ndoa yao!

Sijasikia Jaji Werema, Chenge,waziri Muhongo au hata Raisi Kikwete mwenyewe wakishambuliwa kwa kiasi ambacho mama Tibaijuka amekuwa akishambuliwa! Hii ndiyo sababu inayonifanya niamini anashambuliwa kwa kuwa ni Mwanamke!
Hakuna jamii Dunia Hii inayodharau Mwanamke kama hii yetu, na iko kila mahali nchini mwetu!

Najua Mama Tibaijuka analijua hili na ametoka mbali, amepitia na kuyashinda mengi hata hili nalo pia atalishinda!

Acha kufikir kwa kutumia tezi dume.yaan aibe hela tumhurumie kisa ni dem?shame on you.yule prif tiba ni jambazi
 
Pamoja na ukweli kwamba wanaotajwa kuhusika na haya mambo ya Escrow ni wengi ktk Serikali ya raisi Kikwete, lkn ni mmoja tu ndio amekuwa akishambuliwa kila siku kwa kejeli na saa saa nyingine mpaka matusi naye ni Mama Tibaijuka, na ukiangalia sana utaona ya kwamba hakuna sababu nyingine yoyote ya maana zaidi ya ubaguzi dhidi ya Wanawake - Mfumo Dume!

Kama ilivyokuwa kwa Mwanamuziki Flora Mbasha ambapo watu walimshambulia bila hata kujua ukweli, Jamii nzima ikageuka kuwa hakimu na kumhukumu mama Mbasha na kumkingia kifua Mumewe, walimlaumu mama Mbasha kwa kila baya lililoikumba ndoa yao!

Sijasikia Jaji Werema, Chenge,waziri Muhongo au hata Raisi Kikwete mwenyewe wakishambuliwa kwa kiasi ambacho mama Tibaijuka amekuwa akishambuliwa! Hii ndiyo sababu inayonifanya niamini anashambuliwa kwa kuwa ni Mwanamke!
Hakuna jamii Dunia Hii inayodharau Mwanamke kama hii yetu, na iko kila mahali nchini mwetu!

Najua Mama Tibaijuka analijua hili na ametoka mbali, amepitia na kuyashinda mengi hata hili nalo pia atalishinda!

Mtetea mwizi ujue na yeye ana miiko ya wizi,,,I.6 bil Tsh zawadi ya shule,wakati watanzania walio wengi wanakufa njaa,umeme tunakatiwa kila dakika,kama yeye ni mtu mzuri na mtakatifu kwanini asimwambie huyo aliempa hili hongo kuwa atoe hizo psa kwa jamii. 1.6 bil tsh ni hongo ni rushwa hichi kibibi kijizi mwache ajiuzulu apelekwe mahakami
 
Sijawahi kuona mwanamke mwizi kama huyo mama unayemtete. Angalizo: Ni ujinga kukumbatia mwizi.
 
Hili jambo ni money laundry parse hiyo pesa ni chafu toka mwanzo alichofanya ni kushiriki kuzitakatisha tu kuanzia boss wake yumo ndo maana majamaa yamekoma kutoa pesa ya bajeti
 
Pamoja na ukweli kwamba wanaotajwa kuhusika na haya mambo ya Escrow ni wengi ktk Serikali ya raisi Kikwete, lkn ni mmoja tu ndio amekuwa akishambuliwa kila siku kwa kejeli na saa saa nyingine mpaka matusi naye ni Mama Tibaijuka, na ukiangalia sana utaona ya kwamba hakuna sababu nyingine yoyote ya maana zaidi ya ubaguzi dhidi ya Wanawake - Mfumo Dume!

Kama ilivyokuwa kwa Mwanamuziki Flora Mbasha ambapo watu walimshambulia bila hata kujua ukweli, Jamii nzima ikageuka kuwa hakimu na kumhukumu mama Mbasha na kumkingia kifua Mumewe, walimlaumu mama Mbasha kwa kila baya lililoikumba ndoa yao!

Sijasikia Jaji Werema, Chenge,waziri Muhongo au hata Raisi Kikwete mwenyewe wakishambuliwa kwa kiasi ambacho mama Tibaijuka amekuwa akishambuliwa! Hii ndiyo sababu inayonifanya niamini anashambuliwa kwa kuwa ni Mwanamke!
Hakuna jamii Dunia Hii inayodharau Mwanamke kama hii yetu, na iko kila mahali nchini mwetu!

Najua Mama Tibaijuka analijua hili na ametoka mbali, amepitia na kuyashinda mengi hata hili nalo pia atalishinda!

kabla ya kukimbilia kwenye vyombo vya habari mbona alikuwa sawa na wenzake tu? tatizo ni kauli zake alizobwabwaja utadhani hakuwa mwajiriwa wa watanzania!
 
Pamoja na ukweli kwamba wanaotajwa kuhusika na haya mambo ya Escrow ni wengi ktk Serikali ya raisi Kikwete, lkn ni mmoja tu ndio amekuwa akishambuliwa kila siku kwa kejeli na saa saa nyingine mpaka matusi naye ni Mama Tibaijuka, na ukiangalia sana utaona ya kwamba hakuna sababu nyingine yoyote ya maana zaidi ya ubaguzi dhidi ya Wanawake - Mfumo Dume!

Kama ilivyokuwa kwa Mwanamuziki Flora Mbasha ambapo watu walimshambulia bila hata kujua ukweli, Jamii nzima ikageuka kuwa hakimu na kumhukumu mama Mbasha na kumkingia kifua Mumewe, walimlaumu mama Mbasha kwa kila baya lililoikumba ndoa yao!

Sijasikia Jaji Werema, Chenge,waziri Muhongo au hata Raisi Kikwete mwenyewe wakishambuliwa kwa kiasi ambacho mama Tibaijuka amekuwa akishambuliwa! Hii ndiyo sababu inayonifanya niamini anashambuliwa kwa kuwa ni Mwanamke!
Hakuna jamii Dunia Hii inayodharau Mwanamke kama hii yetu, na iko kila mahali nchini mwetu!

Najua Mama Tibaijuka analijua hili na ametoka mbali, amepitia na kuyashinda mengi hata hili nalo pia atalishinda!
nina wasi wasi na uwezo wako wakufikiri... hakuna mfumo jike wala dume linapokuja suala la wizi...ESCROW ni kashfa na kawaida kashfa haipingwi kosa alilofanya mama ni kujaribu kuipinga kashfa WATU LAZIMA WAONGEE NA WATAENDELEA KUONGEA
 
nasikia tabaijuka ndo aliwamilikisha ardhi ile waliposimika mitambo hao iptl

We taahira kabisa. Iptl inikuja nchini mwishoni mwa miaka ya 90 na Tiba kawa waziri 2010. Kuna uhusiano gani? Mmiliki wa ile ardhi ya Tegeta ni Rugemalira aliyekua mbia wa iptl... msipende kuandika kwa mihemko bila data.
 
nina wasi wasi na uwezo wako wakufikiri... hakuna mfumo jike wala dume linapokuja suala la wizi...ESCROW ni kashfa na kawaida kashfa haipingwi kosa alilofanya mama ni kujaribu kuipinga kashfa WATU LAZIMA WAONGEE NA WATAENDELEA KUONGEA

so kosa la tibaijuka ni kuipinga kshifa ya escrow?,mbona kama haingii akilini,
 
We taahira kabisa. Iptl inikuja nchini mwishoni mwa miaka ya 90 na Tiba kawa waziri 2010. Kuna uhusiano gani? Mmiliki wa ile ardhi ya Tegeta ni Rugemalira aliyekua mbia wa iptl... msipende kuandika kwa mihemko bila data.

ha ha ha,mkuu hujuagi hata mchomekeo?.
 
We taahira kabisa. Iptl inikuja nchini mwishoni mwa miaka ya 90 na Tiba kawa waziri 2010. Kuna uhusiano gani? Mmiliki wa ile ardhi ya Tegeta ni Rugemalira aliyekua mbia wa iptl... msipende kuandika kwa mihemko bila data.

sasa kumbe tibaijuka anahusikaje?ama ndo ameidhinisha pesa itoke?
 
sasa kumbe tibaijuka anahusikaje?ama ndo ameidhinisha pesa itoke?

Hapa wamejaa wapuuzi wengi, mashabiki mandazi wasiozidi buku(1000) kwenye nchi yenye watu milion 45 na ukiwaendekeza wayaongeayo unaweza kudhani ndio ukweli na hali halisi nchini kote. Kumbe ni wapuuzi watupu wasiokuwa na shughuli za kueleweka na zaidizaidi ni watu waliojawa na stress za kuchapika na maisha.

Nawasoma(ga) jinsi wanavyofarijiana na ku-share ujinga wao mwishowe naishia kucheka tu.
 
kumbe hata wewe unafuata mkumbo?mi nilijua uko bright sana kufuatana na ulivojiita

bright maana yake nini? maana wewe ndiyo umekazana kumtetea! mtumishi wa wa umma anapewa tshs 1.6b/- na mfanyabiashara zisizo na maelezo yanayoeleweka halafu mnasema anasakamwa kwa vile ni mwanamke! how silly? na bado anitisha press conference na kusema hatajiuzulu kwa sababu rais kikwete ana imani naye!! really? wewe unajua maana ya kutakatisha pesa chafu au upo upo tu kama dodoki?
 
sasa kumbe tibaijuka anahusikaje?ama ndo ameidhinisha pesa itoke?

wewe ni mbabaishaji tu! hujui kuwa ili pesa ya deal kwenye a/c ya serikali haiwezi kutoka bila mlolongo wa wahusika? na unajua mlolongo wa deal hiyo jinsi lilivyochezwa? au una tetea tu kwa sababu umeshiba makombo?
 
so kosa la tibaijuka ni kuipinga kshifa ya escrow?,mbona kama haingii akilini,
yeah aliwapa watu mwanya wa kumjadili zaidi mbana Ngeleja kakaa kimya anasubiri hatima yake kuna mtu kampigia makelele humu?
 
Back
Top Bottom