Nebuchadinezzer
JF-Expert Member
- Oct 1, 2018
- 1,403
- 2,550
Hii ni kauli ya aliyekuwa Rais wa Tz Mzee wa Ruksa a.k.a. baba Hussein. Alipokuwa akitoa neno la faraja msibani Chato.
Ushauri: Oeni wanawake wenye umri mdogo (mnaowazidi miaka) ili mpate wa kuwakumbusha.
Kina-Zari samahanini kwa hili.
Uzi tayari!
Ushauri: Oeni wanawake wenye umri mdogo (mnaowazidi miaka) ili mpate wa kuwakumbusha.
Kina-Zari samahanini kwa hili.
Uzi tayari!