ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 15,774
- 35,994
Huyu mama ashakuwa First lady na Sasa ni First Mstaafu wa Rais awamu ya nne
First lady anaambatana na mmewe kukagua gwaride la heshima ndani na nje ya nchi
Anapigiwa mizinga
First lady ameishi Ikulu Kwa miaka 10, tena pale Magogoni akibarizi na upepo wa bahari
First lady Bi Salma alikuwa na foundation yake na ilifanya vyema
First lady anagharamikiwa na Serikali Kwa lolote hadi hapo kifo kitakapomchukua
Ni nini anatafuta huyu mama kwenye ubunge, mbona hatuoni wake wa wastaafu wengine wakihangaika na ubunge.
Huyu mama Huwa anamshauri nini Mzee wetu Mstaafu, kama Kwa yeye aliyeishi Ikulu kama kwake anahangaika na ubunge
Huyu mama hata bungeni Huwa hajengi hoja ya kueleweka.
Waliopo karibu nae na wanaompenda wamshauri aachane na hivi vyeo vya ubunge
Ona Leo familia inajadiliwa na wananchi kisa yeye
Mbona Mama Janeth Magufuli, Anna Mkapa, Sitti Mwinyi, Maria Nyerere wametulia na wala hakuna anayewajadili
Mama Salma aache uchu wa madaraka aache Watanzania wengine ambao hata hawatafika nafasi aliyoifikia wapate hizo nafasi
Kwani alisahau nini? Mbona hatosheki?
First lady anaambatana na mmewe kukagua gwaride la heshima ndani na nje ya nchi
Anapigiwa mizinga
First lady ameishi Ikulu Kwa miaka 10, tena pale Magogoni akibarizi na upepo wa bahari
First lady Bi Salma alikuwa na foundation yake na ilifanya vyema
First lady anagharamikiwa na Serikali Kwa lolote hadi hapo kifo kitakapomchukua
Ni nini anatafuta huyu mama kwenye ubunge, mbona hatuoni wake wa wastaafu wengine wakihangaika na ubunge.
Huyu mama Huwa anamshauri nini Mzee wetu Mstaafu, kama Kwa yeye aliyeishi Ikulu kama kwake anahangaika na ubunge
Huyu mama hata bungeni Huwa hajengi hoja ya kueleweka.
Waliopo karibu nae na wanaompenda wamshauri aachane na hivi vyeo vya ubunge
Ona Leo familia inajadiliwa na wananchi kisa yeye
Mbona Mama Janeth Magufuli, Anna Mkapa, Sitti Mwinyi, Maria Nyerere wametulia na wala hakuna anayewajadili
Mama Salma aache uchu wa madaraka aache Watanzania wengine ambao hata hawatafika nafasi aliyoifikia wapate hizo nafasi
Kwani alisahau nini? Mbona hatosheki?