atajipanga!! mbeya walishamfanyiaga huu mchezo, tena ni akina mama wa rika lake!!hapo wa kuulizwa ni wazazi pia.
Kwanza huyo mama inaonekana naye ni kilaza tu, kwani hajui mazingira nisehemu ya darasa maishani kwanini amuulize mkuu wa wilaya? Yeye kama mwalimu mzoefu hakupaswa kuuliza hilo bali alitakiwa akifika ikulu ambane mzee wa kaya ili awe siriazi zaidi na maswala ya kitaifa badala ya kimataifa.
Nimesikia taarifa ya habari Clouds FM asubuhi ya kwamba Mama Salma Kikwete alisalimiwa na wanafunzi kwa ishara ya vidole viwili na wanafunzi wa primary.
Kwa mujibu wa taarifa hiyo, tukio lilifanyika wakati wa ufunguzi wa madarasa mawili na ugawaji wa madawati katika shule hiyo (Wilayani Bunda kama sijakosei).
Baada ya salamu hiyo 1st Lady alimgeukia mkuu wa wilaya na kumwabia hivi ndivyo mnavyowafundisha watoto hawa.
Hii imekaaje wadau, ina maana watoto nao ni Chadema damu au wamefundishwa na waalimu wao kufanya hivyo.
Baada ya salamu hiyo 1st Lady alimgeukia mkuu wa wilaya na kumwabia hivi ndivyo mnavyowafundisha watoto hawa.