Raimundo
JF-Expert Member
- May 23, 2009
- 13,416
- 12,604
Nimesikia taarifa ya habari Clouds FM asubuhi ya kwamba Mama Salma Kikwete alisalimiwa na wanafunzi kwa ishara ya vidole viwili na wanafunzi wa primary.
Kwa mujibu wa taarifa hiyo, tukio lilifanyika wakati wa ufunguzi wa madarasa mawili na ugawaji wa madawati katika shule hiyo (Wilayani Bunda kama sijakosei).
Baada ya salamu hiyo 1st Lady alimgeukia mkuu wa wilaya na kumwabia hivi ndivyo mnavyowafundisha watoto hawa.
Hii imekaaje wadau, ina maana watoto nao ni Chadema damu au wamefundishwa na waalimu wao kufanya hivyo.
Kwa mujibu wa taarifa hiyo, tukio lilifanyika wakati wa ufunguzi wa madarasa mawili na ugawaji wa madawati katika shule hiyo (Wilayani Bunda kama sijakosei).
Baada ya salamu hiyo 1st Lady alimgeukia mkuu wa wilaya na kumwabia hivi ndivyo mnavyowafundisha watoto hawa.
Hii imekaaje wadau, ina maana watoto nao ni Chadema damu au wamefundishwa na waalimu wao kufanya hivyo.