Mama Salma Kikwete asalimiwa kwa ishara ya Chadema na Wanafunzi wa Shule

atajipanga!! mbeya walishamfanyiaga huu mchezo, tena ni akina mama wa rika lake!!hapo wa kuulizwa ni wazazi pia.

wazazi wanaingiaje hapo?

hao watoto ni chipikizi wa chadema. kwani ccm ndiyo yenye hati miliki ya ku-recruit chipukizi mashuleni peke yake?
 
Kwanza huyo mama inaonekana naye ni kilaza tu, kwani hajui mazingira nisehemu ya darasa maishani kwanini amuulize mkuu wa wilaya? Yeye kama mwalimu mzoefu hakupaswa kuuliza hilo bali alitakiwa akifika ikulu ambane mzee wa kaya ili awe siriazi zaidi na maswala ya kitaifa badala ya kimataifa.

Sidhani kama anakumbuka kuwa aliishawahi kuwa mwalimu katika maisha yake.
 
tukisema peopoooooozzzz powere,hata wototo wanaruhusiwa kujbu,so sion tatizo hapo,ina maana wao maisha magumu yanawapita pembeni?
 
Kama kuna msemakweli basi ni watoto mwenzao zamani aliweza kumuumbua mfalme mbele ya watawaliwa mbumbumbu pale alipomwambia mamake kwa sauti kuwa mfalme yuko uchi! wakati mijitu mizima ilikuwa ikimshangilia eti mfalme kavaa suti maridhawa.
 
Ukombozi wa kweli umewafikia hata watoto wadogo,hiyo ni salamu kuwa hata watoto wameichoka ccm.Kweli Peoples power ni noma,Chadema kwa sasa inakubalika kila kona ya nchi.
 
Nimesikia taarifa ya habari Clouds FM asubuhi ya kwamba Mama Salma Kikwete alisalimiwa na wanafunzi kwa ishara ya vidole viwili na wanafunzi wa primary.

Kwa mujibu wa taarifa hiyo, tukio lilifanyika wakati wa ufunguzi wa madarasa mawili na ugawaji wa madawati katika shule hiyo (Wilayani Bunda kama sijakosei).

Baada ya salamu hiyo 1st Lady alimgeukia mkuu wa wilaya na kumwabia hivi ndivyo mnavyowafundisha watoto hawa.

Hii imekaaje wadau, ina maana watoto nao ni Chadema damu au wamefundishwa na waalimu wao kufanya hivyo.

kawaida tu, inamaana mtu wa Ulaya akionyesha hivyo hata kutoka kwao ni wana chadema? Acheni kucreate mambo.
 
hili ni kosa la DC?

Sio kosa la DC, lakini kama ujuavyo maswala ya kiprotokali yule ndiye highest rank after her as a guest of honour, so DC will then go down to the next rank until the last person is reached.
 
Akiviona anwaza kuwa uchanguzi haujafanyika,mawazo yake kuwa akiondoka ikulu hivi karibuni
 
Yeye kama mwalimu angeanza kutoa somo hapohapo awafundishe namna ya kuonyesha alama ya jembe na nyundo....Najua baada ya hapo madent wangemzomea halaf Nape angetumwa na mzee awapelekee madent ice cream watulie.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom