Kiresua
JF-Expert Member
- May 13, 2009
- 1,183
- 261
JF ni tatizo kubwa.... hahaha watajiju, waziri amesema haijasajiliwa TZ hivyo hawawezi kuwafuatilia... waziri anawashauri wabunge wajiandae vya kutosha wanapoleta madai kuhusu taarifa za mitandao, kwani siku hizi unweza kupata taarifa popote na wakati wowote, aamue ni ipi ataisoma... safi sana WAZIRI