Ha ha ha ha Mkuu umetisha. Wachungaji kama hawa kina Rwakatare ni janga la kitaifa.viti maalum isipofutwa kwenye katiba mpya najivua uraia,naenda kujiunga na BOKO HARAM
Ha ha ha ha Mkuu umetisha. Wachungaji kama hawa kina Rwakatare ni janga la kitaifa.viti maalum isipofutwa kwenye katiba mpya najivua uraia,naenda kujiunga na BOKO HARAM
JF imekuwa mwiba kwa watu wengi ambao wanafanya madudu yasiyosemeka, hongera JF members na uongozi wote kwa kazi nzuri. Labda nimkumbushe huyu mwishi wa pesa za masikini.
Hii sio karne ya kubanana, sasa hivi kule twitter kuna kitu kinaendelea ambacho nina uhakika vijana watakiunga mkono, kwahiyo fungeni mitandao yote ndio mtakuwa salama.
Mwizi Getrude lazima ujue kuwa member wa JF wengi wapo serikalini na ni watu wenye heshima zao, hawa ndio wanajua jinsi unavyokwenda kwa waganga Nigeria kupata dawa za kupumbaza watu masikini na kuendelea kuwaibia kupitia sadaka. Watakuandika hapa ukiwachokoza
Lakini vile vile lazima ujue kila Mtanzania ana uhuru wa kutoa mawazo yako leo na kutuita waongo na wahuni, hapa ni bungeni kwetu tuna kanuni zetu ambazo najua umeshazisoma kwani ukiingia mara ya kwanza unaambiwa kusoma hizo kanuni.
Kama tunavyokuvumilia ukisema pumba bungeni kwako au ukilala tuvumilie na sisi maana hapa bungeni kwetu pia tofauti ni kwamba hatutumii kodi za wananchi kuwakandamiza wenyewe
Mwisho nakutakia mchana mwema na itue JF ili upate amani kwani JF ina kila professional ambao wanaweza kukubeba ww na vishule vyako unavyoiba mitihani
Mimi nahisi kama yeye ndo Faiza Foxy vile.Hata mimi nimeshangaa kumbe huyu mchungaji naye anaijua JF! siajabu ana fake ID na kuchangia labda anachangia humu
kwa taarifa yenu huyu mama ni muuzaji mzuri wa madawa ya kulevya...anashirikana na wakubwa wenu serikalini....anatumia mwamvuli wa dini kuficha maovu yake.....huyu mama hana tofauti na huyo mnayemwita mkuu wa kaya wenu nae mwizi anasafirisha pembe za ndovu sana....ninyi watu amkeni kataeni huuu ujinga..waondoen hawa watu madarakani...... taifa halina mwelekeo
Wana JF kutokana na mtandao huu wa kijamii kuibua na kueneza siri za Serikali Wabunge wa CCM wameridhia Mtandao huo ufungwe kama ilivyokuwa Ze Utamu na Mtoa Hoja ni Mchungaji Getrude Lwakatale, Leo pia kapeleka swali lake Bungeni.
Waziri kaitetea JF na kuwashauri wabunge kuwa ni chombo cha habari cha kijamii.
UPDATE: