David Thomas M
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 546
- 137
Mama Regina ni mama wa kuigwa. Ni mama mbunifu na hana makuu
Mkuu Vipi bado unaamini lowassa ndo rais mtarajiwa?Swala la lowassa kushindwa ondoa kbs kwenye akili yako kbs. Halipo na halitakuwepo. Lowassa ndio rais mtarajiwa
Natamani angeendelea na hii huduma bila kujali ni raia wa kawaida sio first lady.Ushabiki wa siasa pembeni lakini huyu mama ana mvuto sana na tayari anaonekana kama first lady tayari. Hii ni leo akiwa Kahama na mumewe. Mimi ni Msukuma na nayajua madhila ya vikongwe hawa anaoongea nao.
Wengi wanahisi kuwa jamii imewatenga na wanaishi kwa hofu ya kuuawa kwa tuhuma za uchawi.
Japo najua kuwa pengine mumewe hatashinda na kuwa rais lakini kwa hili tu amenivutia sana.
Asante mama Lowassa kwa hili.
Umetonesha milizamu za macho yangu na Mungu Akubariki whether ukiwa first lady ama la!
You said it all!Yeye na mumewe walikutana chuoni wakati wanasoma usanii; lazima walikuwa wanafunzi wazuri pia maana hizi perfomances zao nimezivulia kofia.
Mama ajawahi kuchangia ata senti ya msaada na utajiri wao wote mara tu anajali matatizo ya akina mama.
Kwa Sasa anajitolea wapi au hapendi camera?21 December 2013
Mke wa Waziri Mkuu Mstaafu,Mama Regina Lowassa akishiriki kuhudumia chakula watoto wenye ulemavu--katika Kituo cha Huduma ya Walemavu kinachomilikiwa na Jimbo Kuu Katoliki jijini Arusha kilichopo Monduli wakati alipokwenda kushiriki nao Ibada ya X-Mass pamoja na kuzungumza na kula nao chakula cha mchana
AiseeUna chuki binafsi. Hutaki au unataka Regina Lowassa ndio next first lady.
Naomba hivyo vitabu majina yakevitabu kibao vya kardinal lugambwa vinamzungumzia, kanisa katoliki linuheshmu huyu mama tangu enzi. katunga vitabu vingi, kardinal wamevizindua maaskafu wengi wamealikwa