Kibo255
JF-Expert Member
- Aug 11, 2013
- 4,408
- 3,938
Huyo mama siyo mwanamke mpenda sifa na siyo mtu wa media kama kiria au mengi kila anachofanya kionekane jua kuwa mwanaume awezi kusaidia watu bila kuwa na mke mwenye moyo wa huruma na msaada watu wanao hudumia watu wenye shida katika jamii wanajua thamani yake huyo hata viongozi wa dini wanajua kitu anachokifanya unadhani ni rais tu kutoa michango makanisani na kwenye harambee mbalimbali mpaka viongozi wa dini kuona ni mtoaji na kumpa kipaumbele yeye na familia yake kwenye mialiko mbali mbali ambayo ameaminika yeye ni mtoaji kuliko ata viongozi wa nchi wengine acha chuki na mwanamke mwenzakoYeye na mumewe walikutana chuoni wakati wanasoma usanii; lazima walikuwa wanafunzi wazuri pia maana hizi perfomances zao nimezivulia kofia.
Mama ajawahi kuchangia ata senti ya msaada na utajiri wao wote mara tu anajali matatizo ya akina mama.