Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 178,198
- 1,077,331
Ushabiki wa siasa pembeni lakini huyu mama ana mvuto sana na tayari anaonekana kama first lady tayari. Hii ni leo akiwa Kahama na mumewe. Mimi ni Msukuma na nayajua madhila ya vikongwe hawa anaoongea nao.
Wengi wanahisi kuwa jamii imewatenga na wanaishi kwa hofu ya kuuawa kwa tuhuma za uchawi.
Japo najua kuwa pengine mumewe hatashinda na kuwa rais lakini kwa hili tu amenivutia sana.
Asante mama Lowassa kwa hili.
Umetonesha milizamu za macho yangu na Mungu Akubariki whether ukiwa first lady ama la!
Wengi wanahisi kuwa jamii imewatenga na wanaishi kwa hofu ya kuuawa kwa tuhuma za uchawi.
Japo najua kuwa pengine mumewe hatashinda na kuwa rais lakini kwa hili tu amenivutia sana.
Asante mama Lowassa kwa hili.
Umetonesha milizamu za macho yangu na Mungu Akubariki whether ukiwa first lady ama la!