Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,632
- 697,796
Wapi J.Mshumbushi..??
Anakula malimau na mbilimbi
Wapi J.Mshumbushi..??
Nakumbuka alivyotiririkwa machozi siku Mzee alivyoachia Uwaziri mkuu. Ilisikitisha sana. Lakini huu mapambano ni mzito zaidi kwake.
Bora hata huyu mama angekuwa mgombea wenu. Mpaka sasa ameongea kwa muda mrefu kuliko fisadi.
Mkutano wa mke wa mgombea urais kupitia Chadema na anayeungwa mkono na umoja wa Ukawa Ndg. Edward Lowasaa.
View attachment 297650View attachment 297652View attachment 297653View attachment 297654
ccm wakipona hili gonjwa hawatokufa tena
Hii couple ya Regina & Edward Lowassa tamu sana.
Kwanza wako smart,wanatupia ni hatareeee.
Sio wale wavaa malapulapu wa upande wa pili.
Nachelea kusema kuwa hii ni COUPLE YA USHINDI!