Mama Regina Lowassa afanya kufuru Morogoro

Mama Regina Lowassa afanya kufuru Morogoro

Hivi yule mama mwingine wa Kijani toka ajitokeze Chato mpaka leo hajaonekana.
 
Magufuli akiona hii hali ndio anazidi changanyikiwa.... Kupigwa kotokote ni kubaya sio siri
 
Huyu ndio mgombea mwenza wa ukawa bila shaka...
 
Mmh huyu maza anapiga jaramba balaa. Sasa yule mama yetu wa mtaa wa pili vipi, yuko vacation?
 
Mkutano wa mke wa mgombea urais kupitia Chadema na anayeungwa mkono na umoja wa Ukawa Ndg. Edward Lowasaa.

Hii ndo kufuru?wakat mwenzenu anawaza hela zao zinaishia na umasikini unawasubiria,acheni utani bhana,ebu muone mama alivyo kwa kweli ImageUploadedByJamiiForums1444625545.473603.jpg
 
Back
Top Bottom