Mama Regina Lowassa afanya kufuru Morogoro

Mama Regina Lowassa afanya kufuru Morogoro

Mkutano wa mke wa mgombea urais kupitia Chadema na anayeungwa mkono na umoja wa Ukawa Ndg. Edward Lowasaa.

Ocampo Four!

Mbona kila kitu cha CHADEMA ni kizuri?? Ukiangalia T-shirts ziko poa sana, kofia usipime, kombati lahaulah, mikutano yao ni maajabu matupu!

Kumbe ndio maana FisiCCM wana ile kamati ya kuiga kila kilicho buniwa na kuratibiwa na UKAWA. Ndio maana mtaalam wa Galanos kawekwa pale.
 
hureeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!kimbiza gamba pande zote
 
I'm in love with her.
She knows what she is doing.
 
Tuseme ukweli huyu mama ananyota km ya mumewe. Ni mfano wa kuigwa na familia zingine.
 
Back
Top Bottom