Fursakibao
JF-Expert Member
- Dec 12, 2017
- 6,676
- 11,110
Habari za mda huu wadau.
Kutokana na report ya CAG wakati ndege zingine zikitengeneza faida Dreamliner zetu zimeliingizia hasara ya Billion 23.6 shirika la ATCL.
Sote tunajua ni kwanini hizi ndege mbili zimiingiza hasara hivyo Kichele usitudanganye sema tu ukweli kuwa ni safari za Chief H zisizo na kichwa wala miguu.
Toka awamu ya 6 uingie madarakani site tumeona hizi ndege zikitumika ovyo.
Wana mapambio karibuni kupinga hili
Source: The Citizen
Kutokana na report ya CAG wakati ndege zingine zikitengeneza faida Dreamliner zetu zimeliingizia hasara ya Billion 23.6 shirika la ATCL.
Sote tunajua ni kwanini hizi ndege mbili zimiingiza hasara hivyo Kichele usitudanganye sema tu ukweli kuwa ni safari za Chief H zisizo na kichwa wala miguu.
Toka awamu ya 6 uingie madarakani site tumeona hizi ndege zikitumika ovyo.
Wana mapambio karibuni kupinga hili
Source: The Citizen