ndugu yangu, jamaa yuko sahihi sana.acha jazba.zingine form 6 failure wanafundisha huko.cha msingi ufanyike ukaguzi why worry??Una mtoto anasoma hizo private schools ama unahadithiwa tu maana private schools zinaajiri waalimu waliobobea ktk taaluma zao na mzazi una uhuru wa kumuona mwalimu wa somo husika na wazazi kama wadau wana uwezo wa kumuwajibisha mwalimu hisika kwa board za shule husika.
Ni vema ukawa na uelewa wa kutosha kuhusu private schools unadhani mishahara yao inalipwa tu kama zikivyo shule za serikali? Jitaidi kuwa na upana wa mawazo mleta mada!!!
Mkuu ninachoongea nakijua na nimekiona.Una mtoto anasoma hizo private schools ama unahadithiwa tu maana private schools zinaajiri waalimu waliobobea ktk taaluma zao na mzazi una uhuru wa kumuona mwalimu wa somo husika na wazazi kama wadau wana uwezo wa kumuwajibisha mwalimu hisika kwa board za shule husika.
Ni vema ukawa na uelewa wa kutosha kuhusu private schools unadhani mishahara yao inalipwa tu kama zikivyo shule za serikali? Jitaidi kuwa na upana wa mawazo mleta mada!!!
Acha ubishi wewe shule zote za binafsi walimu wake ni hawana sifa kabisa. Na kufaulu kwa wanafunzi kunatokana na udanganyifu unaofanywa na wamiliki wa hizo shule na si ubora wa walimu.Una mtoto anasoma hizo private schools ama unahadithiwa tu maana private schools zinaajiri waalimu waliobobea ktk taaluma zao na mzazi una uhuru wa kumuona mwalimu wa somo husika na wazazi kama wadau wana uwezo wa kumuwajibisha mwalimu hisika kwa board za shule husika.
Ni vema ukawa na uelewa wa kutosha kuhusu private schools unadhani mishahara yao inalipwa tu kama zikivyo shule za serikali? Jitaidi kuwa na upana wa mawazo mleta mada!!!
Kumekuwa na ukaguzi wa wafanyakazi hewa na madudu mengine wizara ya elimu. Natoa wito kwa Mama Ndalichako kutuma wakaguzi kwenye shule binafsi kikagua aina ya walimu wanaofundisha huko. Hili litaipunguzia serikali mzigo wa kuajiri walimu wote.
Kwa utafiti mdogo niliofanya wanaofundisha hizi shule hawana sifa za ualimu kama taaluma.
Ubaya wa hili ni kwamba wanaendesha mambo kienyeji na hawana ujuzi juu ya vitu vingi vilivyo ndani ya ualimu. Hata kuandika lesson plan au scheme of work hawawezi.
Pia kwa upande mwingine wanabania ajira kwa walimu wa kweli kutoka vyuo vinavyotambulika.
Ni kama itokee mtu aliyesomea uhasibu akafanye kazi ya lawyer, hapa lazima kuwe na mapungufu katika utendaji.
Nawasilisha, najua hili litafika kwa wahusika.
mkuu nadhani wewe ni mgeni wa suala la elimu. binafsi nimesoma shule binafsi na walim wengi walikuwa wahitumbwa taaluma zingine na hata kidato xha sita.Una mtoto anasoma hizo private schools ama unahadithiwa tu maana private schools zinaajiri waalimu waliobobea ktk taaluma zao na mzazi una uhuru wa kumuona mwalimu wa somo husika na wazazi kama wadau wana uwezo wa kumuwajibisha mwalimu hisika kwa board za shule husika.
Ni vema ukawa na uelewa wa kutosha kuhusu private schools unadhani mishahara yao inalipwa tu kama zikivyo shule za serikali? Jitaidi kuwa na upana wa mawazo mleta mada!!!
Kama hawana sifa mbona ndio wanaongoza kufaulisha?Kumekuwa na ukaguzi wa wafanyakazi hewa na madudu mengine wizara ya elimu. Natoa wito kwa Mama Ndalichako kutuma wakaguzi kwenye shule binafsi kikagua aina ya walimu wanaofundisha huko. Hili litaipunguzia serikali mzigo wa kuajiri walimu wote.
Kwa utafiti mdogo niliofanya wanaofundisha hizi shule hawana sifa za ualimu kama taaluma.
Ubaya wa hili ni kwamba wanaendesha mambo kienyeji na hawana ujuzi juu ya vitu vingi vilivyo ndani ya ualimu. Hata kuandika lesson plan au scheme of work hawawezi.
Pia kwa upande mwingine wanabania ajira kwa walimu wa kweli kutoka vyuo vinavyotambulika.
Ni kama itokee mtu aliyesomea uhasibu akafanye kazi ya lawyer, hapa lazima kuwe na mapungufu katika utendaji.
Nawasilisha, najua hili litafika kwa wahusika.
Hahahahahah sasa wewe mzazi unajuaje kama mwalimu husika kabobea? Naona ni vizuri kwa kweli wangefanya pia check up huko mashuleni kujiridhisha kama walimu wote huko wana sifa itajulikana tu sioni kwa nini unaogopa.Una mtoto anasoma hizo private schools ama unahadithiwa tu maana private schools zinaajiri waalimu waliobobea ktk taaluma zao na mzazi una uhuru wa kumuona mwalimu wa somo husika na wazazi kama wadau wana uwezo wa kumuwajibisha mwalimu hisika kwa board za shule husika.
Ni vema ukawa na uelewa wa kutosha kuhusu private schools unadhani mishahara yao inalipwa tu kama zikivyo shule za serikali? Jitaidi kuwa na upana wa mawazo mleta mada!!!
Ni kweli, lakini pamoja na performance ni vema hao walimu tuakikishe wana sifa zingine zinazoitajika kama mwongozo wa elimu unavyotaka au tubadilishe mwongozo walimu wote nchini wasiajiliwe based on certifications tuwe tunatazama performance. Ni suala la kuamua tu au unaonaje mkuu!wenzio hawaajiri kwa kuangalia cheti alichonacho lakini uwezo aliokua nao juu ya ufundishaji wa somo husika na performance zao ni bora kuliko hata shule zetu hizi za kata kama ukiona umenyimwa kazi hata kama vyeti unavyo kuwa mpole tu
Kama hawana sifa mbona ndio wanaongoza
kufaulisha?
Kuna meng mkuuKama hawana sifa mbona ndio wanaongoza kufaulisha?
Acha ubishi wewe shule zote za binafsi walimu wake ni hawana sifa kabisa. Na kufaulu kwa wanafunzi kunatokana na udanganyifu unaofanywa na wamiliki wa hizo shule na si ubora wa walimu.