RIP mama yetu. Pole wafiwa.Mama mzazi wa Mkuu wa wilaya Jerry Muro amefariki dunia ,mama Ankunda Muro ameriki usiku wa kuamkia leo 24.1.2021 katika hospitali ya Taifa Muhimbili..
Too much ndio nini Grahams!?Ni sawa kila mtu atakufa, lazima this is too much 😭😭😭
Huyu malaika Gabriel ndiyo ameamua kutuchukua Watanzania namna hii, kila siku Tanzia tu.
Rest in peace Mum😭
Kwani wametoa taarifa ya ugonjwa uliompeleka mama'etu?Mdudu yupo na anatenda miujiza
Poleni sana ndugu, jamaa na familia ya Jerry Muro kwa kipindi hiki kigumu na cha majonzi mnachopitia kutokana na msiba wa mama yenu mpendwa, Mola awe pamoja nanyi. Amina.Mama mzazi wa Mkuu wa wilaya Jerry Muro amefariki dunia ,mama Ankunda Muro ameriki usiku wa kuamkia leo 24.1.2021 katika hospitali ya Taifa Muhimbili
Poleni mkuu Jerry Muro kwa msiba mzito
Too much ndio nini Grahams!?
Au kufa kwa huyu mama wa Jerry ndio too much?
Kwani January ya mwaka 2020 na mwaka 2019 walikufa watu wangapi hadi hii january ya 2021iwe ni too much?
It's all about developed pneumonia, when comes and knocks in your door you'll figure it out.Too much ndio nini Grahams!?
Au kufa kwa huyu mama wa Jerry ndio too much?
Kwani January ya mwaka 2020 na mwaka 2019 walikufa watu wangapi hadi hii january ya 2021iwe ni too much?
Tusikufuru