Mama mwenye utulivu wake anahitajika.

Mama mwenye utulivu wake anahitajika.

Galileo

Member
Joined
Jan 31, 2015
Posts
39
Reaction score
5
Ndugu Nahitaji Mama Mwenye Utulivu Wake, Anayehitaji Kijana Makini Msomi. Ani Pm
 
Hehee ngoja jishoga lijifanye mmama!
 
Wanaojileta ni rahisi pia kuondoka, kama vipi kamtafute maeneo ya ATM ukiona mwenye vigezo vya kukunyegesha habari ya pesa ATM itakuwa isha kupa jibu.
 
Halafu hii mivulana inatuaibisha kweli wanaume humu.....Unataka mama kwani wewe ni yatima???? Na kama ndio katika ndugu zako hamna mama wa kufikia???? Hivi kwa staili ii mtaacha kuolewa????
 
Lazima waolewe tamatheo kwa sababu kazi ngumu hawataki wanataka kutumwa sokoni na magari
 
Back
Top Bottom