Madamboss
Member
- Sep 7, 2021
- 6
- 194
Anahitajika dereva mwenye leseni halali ya udereva na mwenye akaunti ya Bolt, pamoja na uzoefu wa kuendesha Bolt jijini Dar es Salaam.
Gari lililipo ni Toyota, IST linatumia mfumo wa mafuta (petrol). Malipo yatafanyika kwa mfumo wa hesabu ya siku na si kwa mkataba wa muda mrefu.
Dereva atahitajika kunipeleka kazini kila siku asubuhi kabla ya kuendelea na shughuli zake za Bolt. Hivyo, itapendeza zaidi awe anaishi maeneo ya Bombambili au maeneo ya jirani.
Aliye tayari na mwenye sifa tajwa, tafadhali anicheki DM kwa mawasiliano zaidi.
Gari lililipo ni Toyota, IST linatumia mfumo wa mafuta (petrol). Malipo yatafanyika kwa mfumo wa hesabu ya siku na si kwa mkataba wa muda mrefu.
Dereva atahitajika kunipeleka kazini kila siku asubuhi kabla ya kuendelea na shughuli zake za Bolt. Hivyo, itapendeza zaidi awe anaishi maeneo ya Bombambili au maeneo ya jirani.
Aliye tayari na mwenye sifa tajwa, tafadhali anicheki DM kwa mawasiliano zaidi.