Kifurukutu
JF-Expert Member
- Aug 29, 2013
- 4,666
- 6,742
- Thread starter
- #61
Alimalizana vp na boss wakeUmenikumbusha stori ya yusufu na yule mke wa bosi wake.
Kimbia dhambi hiyo
![]()
![]()
![]()
![]()
Alimalizana vp na boss wakeUmenikumbusha stori ya yusufu na yule mke wa bosi wake.
Kimbia dhambi hiyo
![]()
![]()
![]()
![]()
Maneno ya kiume na yenye heshima kubwa yanafaa kuandikwa kwenye kuta ya dhahabu halfu uweke nyumban kwako wewe mwiz....Inaonyesha huheshimu ndoa yako na wala haumuheshimu mkeo kabisa, kuna mahali umesema kuwa tatizo ni mumewe tu tena kwa sababu mnaheshimiana. Hii ina maana ya kuwa wewe huna kikwazo, haujafungwa na kitu chochote, ndio kusema kama angekua sio mke wa mtu hata huu UZi usingeandika, ungetafuna tu maana mkeo si kikwazo katika hilo.
Kitu kingine nimegundua kaka unapenda sana mteremko ( kitonga) maana suala la mama kukusamehe pesa ya umeme umeliandika ukiwa unatabasamu.
Kumbuka ya kuwa unachojaribu kufanya kwa mke wa mwenzako na wako anaweza kufanyiwa hivyo hivyo. Pia katika suala kama hilo kabla ya kuangalia huyo mwanamke ameolewa au hajaolewa kwanza angalia wewe mwenyewe umeoa au haujaoa. Jifunze kuheshimu ndoa yako kwanza.
Nakusihi achana na huo mpango, tabia ya kuchepuka tu sio nzr lakini mbaya zaidi wewe unataka kuchepuka na mke wa mtu na kama haitoshi huyo mwanamke unakaa nae nyumba moja.
Uanaume una dhana pana kaka, sio tu kufungua fungua zipu kwa kila mwanamke.
Fikiria kuhusu mkeo, fikiria kuhusu heshima yako, fikiria kuhusu heshima ya ndoa yenu na zaidi fikiria kuhusu heshima iliyopo kati yako na baba mwenye nyumba.
Ukiona maji yamefika shingoni hama nyimba.
Hapo utakua umefanya maamuzi ya kiume.
Nakula na haliwi mtu!Kula lazima aliwe.
Wewe mwambie anunue KY tu kabisa ili kumuepushia michubuko. Na awe anatembea nayo
Ahahahaisee, isije ikawa ndiye wewe kijana mpangaji wangu hapa kwangu. ngoja nianze kuwafuatilia. nakushauri uhame haraka kijana maana nikikukamata....
nahisi ni wewe...kaa mbali kama unajipenda kijana!Ahahah
mkuu unaishi sehemu gani?
Kelele za chura...nahisi ni wewe...kaa mbali kama unajipenda kijana!
nami pia nina mke wangu
wakuu hii dhambi naiona kabsa ila hofu ni huyo mme wake maana tunaheshimiana saaaana!
akijua sijui itakuaje, !
Mkuu siri ya ndani, anaweza kukatiwa viuno mpaka akaona condom ni kiwingu.Kwani anabiga kavu?
Naomba unipe hayo mauno tuone kama ntasahauMkuu siri ya ndani, anaweza kukatiwa viuno mpaka akaona condom ni kiwingu.
Hivi mimi ninavisoma kwenye vitabu tu mkuu.Naomba unipe hayo mauno tuone kama ntasahau
tutaona manyoya baada ya wewe kuliwa na mumewe.Wakuu
Hapa nilipopanga naona nimepata jaribu kubwa
Siku za hivi karibuni mama mwenye nyumba hapa amekuwa akinionesha dalili za wazi kabisa za kuhitaji huduma yangu licha ya yeye kuwa na muwe wake nami pia nina mke wangu
Baadhi ya viashiria nilivyovibaini mpaka sasa, kwanza ananitumia meseji zenye mitego sana yaani ata haziendani na umri wake...tunapokuwa nyumbani hapa unakuta tunapishana ananikonyeza
Zaidi hapa ndio nimeamini kabisa huyu mama ananitaka kwa namna yoyote ile leo hii, alikua anakusanya pesa Tsh 15000 kwaajili ya umeme lakini kaniambia kwa awamu hii ananilipia yeye, nami nikasema sawa na ninashukuru sana
wakuu hii dhambi naiona kabsa ila hofu ni huyo mme wake maana tunaheshimiana saaaana! Akijua sijui itakuaje, hapa naona uzalendo unakaribia kunishinda
hapa nahisi kapotea maana mi kwa tabia zangu za kitambo siwaachagi hawa, naona ananifuatilia saaana, soon mtaona manyoya wakuu
Nimeona tu niwape taarifa!
Nawasilisha