Kifurukutu
JF-Expert Member
- Aug 29, 2013
- 4,666
- 6,742
- Thread starter
- #101
Moto gani tena huoMoto haugegedwi ndugu yangu! Angalia ile methali isemayo " Majuto mjukuu" isitimie kwako!!
Moto gani tena huoMoto haugegedwi ndugu yangu! Angalia ile methali isemayo " Majuto mjukuu" isitimie kwako!!
Situmiag hiyoIle laini yake ya 0713 si bado anayo? Muombe uitumie kuwasiliana !!
Hanohano kwi ntaraKutokana na Ile tabia yako ya awali huyo ulishamnyonyoa ile kuwa makini cha mtu huliwa na mtu na malipo ni hanohano duniani.
KY ni nini mkuuSiku hizi Wanashauri utembee na KY wewe mwenyewe
Wakuu
Hapa nilipopanga naona nimepata jaribu kubwa
Siku za hivi karibuni mama mwenye nyumba hapa amekuwa akinionesha dalili za wazi kabisa za kuhitaji huduma yangu licha ya yeye kuwa na muwe wake nami pia nina mke wangu
Baadhi ya viashiria nilivyovibaini mpaka sasa, kwanza ananitumia meseji zenye mitego sana yaani ata haziendani na umri wake...tunapokuwa nyumbani hapa unakuta tunapishana ananikonyeza
Zaidi hapa ndio nimeamini kabisa huyu mama ananitaka kwa namna yoyote ile leo hii, alikua anakusanya pesa Tsh 15000 kwaajili ya umeme lakini kaniambia kwa awamu hii ananilipia yeye, nami nikasema sawa na ninashukuru sana
wakuu hii dhambi naiona kabsa ila hofu ni huyo mme wake maana tunaheshimiana saaaana! Akijua sijui itakuaje, hapa naona uzalendo unakaribia kunishinda
hapa nahisi kapotea maana mi kwa tabia zangu za kitambo siwaachagi hawa, naona ananifuatilia saaana, soon mtaona manyoya wakuu
Nimeona tu niwape taarifa!
Nawasilisha




Uyo kwenye picha niwewHiyo taarifa ingekuwa better kama ungempa mume wa huyo mama na mkeo
Kutupa taarifa watu tusiokufahamu hainogi mixer sio fair
Utafumuliwa marinda mkuu, mpotezee huyo mwanamke, kuwa bize na mambo yako, mapenzi hayana siri, jamaa akija kugundua unamtafuna mke wake huo moto utaweza kuuzima?Wakuu
Hapa nilipopanga naona nimepata jaribu kubwa
Siku za hivi karibuni mama mwenye nyumba hapa amekuwa akinionesha dalili za wazi kabisa za kuhitaji huduma yangu licha ya yeye kuwa na muwe wake nami pia nina mke wangu
Baadhi ya viashiria nilivyovibaini mpaka sasa, kwanza ananitumia meseji zenye mitego sana yaani ata haziendani na umri wake...tunapokuwa nyumbani hapa unakuta tunapishana ananikonyeza
Zaidi hapa ndio nimeamini kabisa huyu mama ananitaka kwa namna yoyote ile leo hii, alikua anakusanya pesa Tsh 15000 kwaajili ya umeme lakini kaniambia kwa awamu hii ananilipia yeye, nami nikasema sawa na ninashukuru sana
wakuu hii dhambi naiona kabsa ila hofu ni huyo mme wake maana tunaheshimiana saaaana! Akijua sijui itakuaje, hapa naona uzalendo unakaribia kunishinda
hapa nahisi kapotea maana mi kwa tabia zangu za kitambo siwaachagi hawa, naona ananifuatilia saaana, soon mtaona manyoya wakuu
Nimeona tu niwape taarifa!
Nawasilisha
HakikaUkimla Bila mume wake kujua tambua ya kwamba baba mwenye nyumba wako. Atamla mkeo hivyo hivyo na wewe hutajua
Umaliziaji wako unaashiria wewe mzinifu mtaalam hivyo nipe namba za my wife wako nimuandae acje shangaa akikufumaniaWakuu
Hapa nilipopanga naona nimepata jaribu kubwa
Siku za hivi karibuni mama mwenye nyumba hapa amekuwa akinionesha dalili za wazi kabisa za kuhitaji huduma yangu licha ya yeye kuwa na muwe wake nami pia nina mke wangu
Baadhi ya viashiria nilivyovibaini mpaka sasa, kwanza ananitumia meseji zenye mitego sana yaani ata haziendani na umri wake...tunapokuwa nyumbani hapa unakuta tunapishana ananikonyeza
Zaidi hapa ndio nimeamini kabisa huyu mama ananitaka kwa namna yoyote ile leo hii, alikua anakusanya pesa Tsh 15000 kwaajili ya umeme lakini kaniambia kwa awamu hii ananilipia yeye, nami nikasema sawa na ninashukuru sana
wakuu hii dhambi naiona kabsa ila hofu ni huyo mme wake maana tunaheshimiana saaaana! Akijua sijui itakuaje, hapa naona uzalendo unakaribia kunishinda
hapa nahisi kapotea maana mi kwa tabia zangu za kitambo siwaachagi hawa, naona ananifuatilia saaana, soon mtaona manyoya wakuu
Nimeona tu niwape taarifa!
Nawasilisha
Unahitaji maombiIle laini yake ya 0713 si bado anayo? Muombe uitumie kuwasiliana !!