Bora akiishia kwenye ARV kuliko akapoteza nyeti kama yule mkenya...hapo ndipo atajua " Dunia hadaa ulimwengu ni shujaa"Bure ni ghali sana, unaweza kufikiria tatizo la kodi litakwisha lakini unajua anayoyabeba kwenye mwili wake? Usije ukaishia kwenye kitengo na ARV kwa maisha yako yote yaliyobaki.
Kwani anabiga kavu?Bure ni ghali sana, unaweza kufikiria tatizo la kodi litakwisha lakini unajua anayoyabeba kwenye mwili wake? Usije ukaishia kwenye kitengo na ARV kwa maisha yako yote yaliyobaki.
Kula lazima aliwe.Pia usisahau kutuletea taarifa ukitumbuliwa bila KY mkuu.
Ni kweli mkuu nitajitahidi ila mambo magumu hayaBure ni ghali sana, unaweza kufikiria tatizo la kodi litakwisha lakini unajua anayoyabeba kwenye mwili wake? Usije ukaishia kwenye kitengo na ARV kwa maisha yako yote yaliyobaki.
Hapana mkuu bado sijamnyonyoaKutokana na Ile tabia yako ya awali huyo ulishamnyonyoa ile kuwa makini cha mtu huliwa na mtu na malipo ni hanohano duniani.
Ulitaka kusema nini mkuuTunaishi mara moja
Yeye ndio ananitaka!We babu usitufanye sisi watoto huyo mtu wewe unamtaka pia na inawezekana umeshakula umekuja kutupa habari tu.
Party ya kimya kimya hiiAsante kwa taarifa mkuu...usisahau kumwarifu na mkeo
Nikiwatarifu hao unahisi kitatokea nini?Hiyo taarifa ingekuwa better kama ungempa mume wa huyo mama na mkeo
Kutupa taarifa watu tusiokufahamu hainogi mixer sio fair
Mke wangu mtulivu sana!Wakati uyo mama anakuonyesha dalili za kukutaka na mkeo nae anamuonyesha baba mwenye nyumba dalili za kumuitaji kwa iyo bila bila,tombeaneni tu.
Hii haiwezi kunikamatisha!Je mke na mmewe una uhakika hawaingii ndani ya hii nyumba ya jf?
Na kama wanaingia ndani ya hii nyumba na wakaikuta hii taarifa yako watakufanyaje?
Wakiwa wanaingia ndani ya hii nyumba lzm wajue ya kuwa unawasema wao kwani 1wapo ya indicator ni kiwango cha mchango wa umeme mnaochanga kwa mwezi. Na kwamba mkusanyaji ni mama.
Ushauri mzuri huuInaonyesha huheshimu ndoa yako na wala haumuheshimu mkeo kabisa, kuna mahali umesema kuwa tatizo ni mumewe tu tena kwa sababu mnaheshimiana. Hii ina maana ya kuwa wewe huna kikwazo, haujafungwa na kitu chochote, ndio kusema kama angekua sio mke wa mtu hata huu UZi usingeandika, ungetafuna tu maana mkeo si kikwazo katika hilo.
Kitu kingine nimegundua kaka unapenda sana mteremko ( kitonga) maana suala la mama kukusamehe pesa ya umeme umeliandika ukiwa unatabasamu.
Kumbuka ya kuwa unachojaribu kufanya kwa mke wa mwenzako na wako anaweza kufanyiwa hivyo hivyo. Pia katika suala kama hilo kabla ya kuangalia huyo mwanamke ameolewa au hajaolewa kwanza angalia wewe mwenyewe umeoa au haujaoa. Jifunze kuheshimu ndoa yako kwanza.
Nakusihi achana na huo mpango, tabia ya kuchepuka tu sio nzr lakini mbaya zaidi wewe unataka kuchepuka na mke wa mtu na kama haitoshi huyo mwanamke unakaa nae nyumba moja.
Uanaume una dhana pana kaka, sio tu kufungua fungua zipu kwa kila mwanamke.
Fikiria kuhusu mkeo, fikiria kuhusu heshima yako, fikiria kuhusu heshima ya ndoa yenu na zaidi fikiria kuhusu heshima iliyopo kati yako na baba mwenye nyumba.
Ukiona maji yamefika shingoni hama nyimba.
Hapo utakua umefanya maamuzi ya kiume.
aisee, isije ikawa ndiye wewe kijana mpangaji wangu hapa kwangu. ngoja nianze kuwafuatilia. nakushauri uhame haraka kijana maana nikikukamata....Wakuu
Hapa nilipopanga naona nimepata jaribu kubwa
Siku za hivi karibuni mama mwenye nyumba hapa amekuwa akinionesha dalili za wazi kabisa za kuhitaji huduma yangu licha ya yeye kuwa na muwe wake nami pia nina mke wangu
baadhi ya viashiria nilivyovibaini mpaka sasa, kwanza ananitumia meseji zenye mitego sana yaani ata haziendani na umri wake
tunapokuwa nyumbani hapa unakuta tunapishana ananikonyeza
Zaidi hapa ndio nimeamini kabisa huyu mama ananitaka kwa namna yoyote ile leo hii, alikua anakusanya pesa Tsh 15000 kwaajili ya umeme lakini kaniambia kwa awamu hii ananilipia yeye, nami nikasema sawa na ninashukuru sana
wakuu hii dhambi naiona kabsa ila hofu ni huyo mme wake maana tunaheshimiana saaaana!
akijua sijui itakuaje, hapa naona uzalendo unakaribia kunishinda
hapa nahisi kapotea maana mi kwa tabia zangu za kitambo siwaachagi hawa, naona ananifuatilia saaana, soon mtaona manyoya wakuu
nimeonelea tu niwape taarifa!
Nawasilisha
AhahahahVassiline na K-Y ni vitu muhimu sana kwenye maisha yako kuanzia sasa maana mumewe akikumata muombe tu atumie ivyo vitendea kazi ili asikuache na michubuko.
Ivi kabisa unadiriki kupanga kumzini mke wa mtu aiseeeee.
Ng'ombe hazeeki maini!Kikongwe huyo itakuwa mashavu yake yamelegea sana!Achana na vikongwe ambavyo ladha imekwisha
Unataka upeperushe ndege kwenye mtego!Nitumie namba yake nimkanye..