Mama mkwe mshikaji

Mama mkwe mshikaji

Ndiyo huo ni mtego ambao wao tayari wanafahamu matokeo yake ambayo yana maslahi binafsi kwao ndo maana wakakushawishi. Pia angalia mahusiano yako na mkweo mtarajiwa siku za usoni yasije kuleta matatizo kwenye ndoa iwapo utkubali.
  • Mkweo ambaye unadiriki kumtamkia neno papuchi kwa jina lake sahihi,naye akaona kawaida, je kutakuwepo na kuheshimiana huko mbeleni? Na kwa nini wewe umtamkie papuchi, ulikuwa na lengo gani?
  • Kama mmefikia hatua hiyo kwa nini akupe mke?
  • Mitego itakoma baada ya kuoa au itaendelea?
  • Wewe mwenyewe bila kushauriwa na mtu una mtazamo upi? Umempenda huyo binti? Kwa lipi? Kwa kuwa na wewe una mtazamo na malengo yako ktk maisha, je mtaendana? Si kila kitu lazima uamuliwe na wengine, heshimu mawazo na hisia zako,vinginevyo jiandae kuwa mtumwa wa wenye maamuzi yao juu ya maisha yako.
  • Unaweza kumwuliza kwa nini ameamua kukupa mke ili uweze kung'amua lengo lake ni lipi?
Pia angalia usije baada ya kuoa, ukawa fundi wa kujenga boma wakati huohuo unaezeka paa.

Ahsante kwamaelezo yako yenye maswali lakini ya kujenga! hili swala sitanii ni kweli lakini nahisi wenye michango ya kiujenzi mmenifumbua macho! thank you again!
 
julius mahinya
Unamtaka nani kati yao kwani:
Umesema mama mkwe mnatajiana hata majina ya vitu vya ndani;
Binti naye anataka uchumba ;

mamndenyi;heshima yako kwanza!
unajua wa mama wa kimjini mjini wako kimasihala sana hasa wanapo kutana na mtu charming kama mimi! lakini hutumia mwanya huo kutimiza malengo yao! mwanzoni sikujua kama angefikia hatua hiyo na kwa kuwa ni rafiki kama ulivyo wewe tulitumia muda huo kujadili mambo kama tunavyo fanya mimi na wewe hapa but kesho unaweza nipm nimuoe binti yako nami nikashawishika!
 
siku zote ulipokuwa unapiga story na mama mkwe ulikuwa huna mwanamke je ?uyo best ma mkwe hakuwahi kumuona mwanamke wako.kama anamjua au ulishawahi kumuhadithia kuwa una uhusiano na mwanamke mwengine kuwa macho zaidii

sikuwa na mke! nafikiri mpaka sasa sina mke japo kuna mtoto sasa nimezungumza naye ili tuanze safari ambaye ndio huyu tunampigia stori!
 
Kikawaida, huwa tunapaswa kuheshimu mama wakwe zetu kama mama zetu waliotuzaaa/waliotulea. Najifotolesha picha kuwa mie ndio huyo mke halafu mume wangu na mama yangu ni ma-bestee ile kinoma...wa-kutaniana hadi kutaja sehemu nyeti kwa uwazi. Halafu mama akija kwetu unaweza kuta yuko busy na mume wangu aka besti-ake kuliko mie mwanae?? :thinking:Chagua moja kijana - You can't have it all. Just out of curiosity - Huyo mama ana mume?

kuna mambo umesema ni ya msingi sana! aisee ana meme ila mama ni too talkative!
 
dogooo...kula mzigo huo..marafiki zako hao "maanti" wamesubiri uwaombe papuchi wanaona unachelewa sasa kukujaribu kama jogoo wako anawika wamekutupia mtoo wao kama chambo...na ukimla tuu anawasimulia jinsi jogoo wako anavyopiga kokoriko na wao wanaanza kutaka uwatafune...

unapimwa urijali dogo gutukaaaa..kula mzigo huo na tena piga section zote A NA B...ili akiwasimulia mama zake ambao ndio "mashoga zako"...watarajie kupata dozi kama uliyompa-chambo wao.

aiseeeeeeeeeeeee! haaaaa aaaahaaaaaaaaaaaaaaaaa! kweli kuna watu na viatu!
 
Kikawaida, huwa tunapaswa kuheshimu mama wakwe zetu kama mama zetu waliotuzaaa/waliotulea. Najifotolesha picha kuwa mie ndio huyo mke halafu mume wangu na mama yangu ni ma-bestee ile kinoma...wa-kutaniana hadi kutaja sehemu nyeti kwa uwazi. Halafu mama akija kwetu unaweza kuta yuko busy na mume wangu aka besti-ake kuliko mie mwanae?? :thinking:Chagua moja kijana - You can't have it all. Just out of curiosity - Huyo mama ana mume?

hilo nalo neno!
 
Habari zenu wana janvi?
Nimekuwa ni mtu wa kujichanganya na jamii sana, hali iliyonifanya kuwa na marafiki wengi sana wa namna tofauti tofauti ila nashukuru sijawahi kukosana na mtu katika mitaa hii! japo najua si kila mtu ananipenda!
Sasa kuna bidada mmoja wa makamo ana watoto wawili wa kike ni best yangu mkubwa sana mara nyingi nimekuwa nikipiga naye sitori na kutaja hata papuchi kwa jina lake sahihi mbele yake! sasa juzi kati yeye na rafiki zake wengine walinishawishi kuoana na binti yake nami nilipofanya jaribio la kuongea na mtoto wake leo alionekana kama kasetiwa hana hapana kwa kila nalo sema! ilinifanya niogope japo mtoto ana sifa za kuitwa mke wa mtu (20 yrs ni umri wake), sasa nami nilimtaka tuanze mahusiano, theni uchumba baadae kama ni mapenzi yake mola ndio ndoa!
ila hakuna alicho pinga jamani emu nifungueni macho hapa nisije ambulia kulia! au kama niko sawa niwekeni wazi!

dah, ila mapenzi ya kibongo bwana hadi raha!

mnasetiana tu mambo yanaenda poa!!!

leo hii kasetiwa, mmeoana! kesho atasetiwa, mtaachana!!

hivyo, nakushauri utafute mwanamke ambaye mnaendana!! sie mwendane kwa kusetiana!!

au sio?
 
Kukubali kwake kila kitu siyo ishu wee chukua mtoto huyo, lakini jaribu kumchunguza hasa familia yake kama hamna tatizo chumbia then oa, pengine ni njia mojawapo ya Mungu kukukutanisha na mkeo
 
Binti ana miaka 20, wewe je? Ukinijibu nitarudi...waiting...
 
julius mahinya, wewe umesema upo karibu na mama wa binti, na huyo mama na wenzake wamekushawishi uoe binti yake, kuna la kujiuliza hapo ?????

Sema tu na Moyo wako kisha chukua hatua
 
Last edited by a moderator:
Ufoo type kila kitu! Chezea mashami.
Kutiri stautiii?? Mama kashakusoma sasa hapo unawekewa msalaba(target)
 
maongezi yangu yenye i love u umeyasikia wapi mkuu! au ndio kuwa much know? haya karibu unishauri umri wangu 27, una jipya?
naomba nikuulize wewe na helpless hopeless ni ndugu?
...............just be careful,usipoangalia utakula kuku na kifaranga pamoja,kwanza kwanini ushawishiwe uwe rafiki na huyo binti,huyo binti ameshindwa kujitafutia boy friend/mchumba for that matter? there is something fishy,halafu wewe unawezaje kuwa na mama mkwe ambaye alikuwa rafiki yako wa karibu hivyooo?.....utaliwa usipoangalia fungua machooo...
 
Back
Top Bottom