Habari zenu wana janvi?
Nimekuwa ni mtu wa kujichanganya na jamii sana, hali iliyonifanya kuwa na marafiki wengi sana wa namna tofauti tofauti ila nashukuru sijawahi kukosana na mtu katika mitaa hii! japo najua si kila mtu ananipenda!
Sasa kuna bidada mmoja wa makamo ana watoto wawili wa kike ni best yangu mkubwa sana mara nyingi nimekuwa nikipiga naye sitori na kutaja hata papuchi kwa jina lake sahihi mbele yake! sasa juzi kati yeye na rafiki zake wengine walinishawishi kuoana na binti yake nami nilipofanya jaribio la kuongea na mtoto wake leo alionekana kama kasetiwa hana hapana kwa kila nalo sema! ilinifanya niogope japo mtoto ana sifa za kuitwa mke wa mtu (20 yrs ni umri wake), sasa nami nilimtaka tuanze mahusiano, theni uchumba baadae kama ni mapenzi yake mola ndio ndoa!
ila hakuna alicho pinga jamani emu nifungueni macho hapa nisije ambulia kulia! au kama niko sawa niwekeni wazi!
hayo maandishi niliyokoleza yananifanya niwe na wasiwasi hapo kuna kamtego na ukithubutu kumgusa atakuganda mpaka utamuoa!!
kumbuka BORA UKOSEE KUJENGA NYUMBA KULIKO KUKOSEA KUOA!!!
Habari zenu wana janvi?
Nimekuwa ni mtu wa kujichanganya na jamii sana, hali iliyonifanya kuwa na marafiki wengi sana wa namna tofauti tofauti ila nashukuru sijawahi kukosana na mtu katika mitaa hii! japo najua si kila mtu ananipenda!
Sasa kuna bidada mmoja wa makamo ana watoto wawili wa kike ni best yangu mkubwa sana mara nyingi nimekuwa nikipiga naye sitori na kutaja hata papuchi kwa jina lake sahihi mbele yake! sasa juzi kati yeye na rafiki zake wengine walinishawishi kuoana na binti yake nami nilipofanya jaribio la kuongea na mtoto wake leo alionekana kama kasetiwa hana hapana kwa kila nalo sema! ilinifanya niogope japo mtoto ana sifa za kuitwa mke wa mtu (20 yrs ni umri wake), sasa nami nilimtaka tuanze mahusiano, theni uchumba baadae kama ni mapenzi yake mola ndio ndoa!
ila hakuna alicho pinga jamani emu nifungueni macho hapa nisije ambulia kulia! au kama niko sawa niwekeni wazi!
unamaanisha Giti na sista au?
Ndiyo huo ni mtego ambao wao tayari wanafahamu matokeo yake ambayo yana maslahi binafsi kwao ndo maana wakakushawishi. Pia angalia mahusiano yako na mkweo mtarajiwa siku za usoni yasije kuleta matatizo kwenye ndoa iwapo utkubali.Habari zenu wana janvi?
Nimekuwa ni mtu wa kujichanganya na jamii sana, hali iliyonifanya kuwa na marafiki wengi sana wa namna tofauti tofauti ila nashukuru sijawahi kukosana na mtu katika mitaa hii! japo najua si kila mtu ananipenda!
Sasa kuna bidada mmoja wa makamo ana watoto wawili wa kike ni best yangu mkubwa sana mara nyingi nimekuwa nikipiga naye sitori na kutaja hata papuchi kwa jina lake sahihi mbele yake! sasa juzi kati yeye na rafiki zake wengine walinishawishi kuoana na binti yake nami nilipofanya jaribio la kuongea na mtoto wake leo alionekana kama kasetiwa hana hapana kwa kila nalo sema! ilinifanya niogope japo mtoto ana sifa za kuitwa mke wa mtu (20 yrs ni umri wake), sasa nami nilimtaka tuanze mahusiano, theni uchumba baadae kama ni mapenzi yake mola ndio ndoa!
ila hakuna alicho pinga jamani emu nifungueni macho hapa nisije ambulia kulia! au kama niko sawa niwekeni wazi!
Yani bora tena kama ungekua umetafutiwa, "UMESHAWISHIWA UMUOWE"nimesema nimetafutiwa au nimeshawishiwa?
Hakuna mke hapo atakuwa na akili za kushikiwa wewe piga tuuuuu halafu anza zako mbeleHabari zenu wana janvi?
Nimekuwa ni mtu wa kujichanganya na jamii sana, hali iliyonifanya kuwa na marafiki wengi sana wa namna tofauti tofauti ila nashukuru sijawahi kukosana na mtu katika mitaa hii! japo najua si kila mtu ananipenda!
Sasa kuna bidada mmoja wa makamo ana watoto wawili wa kike ni best yangu mkubwa sana mara nyingi nimekuwa nikipiga naye sitori na kutaja hata papuchi kwa jina lake sahihi mbele yake! sasa juzi kati yeye na rafiki zake wengine walinishawishi kuoana na binti yake nami nilipofanya jaribio la kuongea na mtoto wake leo alionekana kama kasetiwa hana hapana kwa kila nalo sema! ilinifanya niogope japo mtoto ana sifa za kuitwa mke wa mtu (20 yrs ni umri wake), sasa nami nilimtaka tuanze mahusiano, theni uchumba baadae kama ni mapenzi yake mola ndio ndoa!
ila hakuna alicho pinga jamani emu nifungueni macho hapa nisije ambulia kulia! au kama niko sawa niwekeni wazi!
Kapime nae Ngoma, then subiri miezi mitatu, then kapimeni tena. Kama kitu kipo clean, jilipue mwana. Beba Mzigo. Maana Hazitofoutiani sana ni Mapishi. Na huyo Mama Mkwe, ...............................................................! Maana Ng'ombe hazeeki maini. Nadhani umenielewa.
weka ndani haraka.....ila kupima ngoma(ukimwi)ni muhimu sana.....
halafu wamemshawishi, ila sijui kama yeye binafsi anampenda.
bold: akija kuwa mkweo, utaacha kupiga nae stori kama hizo? huyo mama huenda akawa 50 yrs na bado anaweza kuongea na kijana wa kumwoa binti yke wa miaka 20 maneno kama hayo, mkwe majanga.
hata uliposema unaomba kumgegeda?
nyekundu: kwa nini wakushawishi? :A S-confused1:watakushawishi mangapi? kama wamemset, watamset mangapi? wakimset akucheat? usimdharau mbayuwayu......