Mama mkwe mshikaji

Mama mkwe mshikaji

Habari zenu wana janvi?
Nimekuwa ni mtu wa kujichanganya na jamii sana, hali iliyonifanya kuwa na marafiki wengi sana wa namna tofauti tofauti ila nashukuru sijawahi kukosana na mtu katika mitaa hii! japo najua si kila mtu ananipenda!
Sasa kuna bidada mmoja wa makamo ana watoto wawili wa kike ni best yangu mkubwa sana mara nyingi nimekuwa nikipiga naye sitori na kutaja hata papuchi kwa jina lake sahihi mbele yake! sasa juzi kati yeye na rafiki zake wengine walinishawishi kuoana na binti yake nami nilipofanya jaribio la kuongea na mtoto wake leo alionekana kama kasetiwa hana hapana kwa kila nalo sema! ilinifanya niogope japo mtoto ana sifa za kuitwa mke wa mtu (20 yrs ni umri wake), sasa nami nilimtaka tuanze mahusiano, theni uchumba baadae kama ni mapenzi yake mola ndio ndoa!
ila hakuna alicho pinga jamani emu nifungueni macho hapa nisije ambulia kulia! au kama niko sawa niwekeni wazi!

Kapime nae Ngoma, then subiri miezi mitatu, then kapimeni tena. Kama kitu kipo clean, jilipue mwana. Beba Mzigo. Maana Hazitofoutiani sana ni Mapishi. Na huyo Mama Mkwe, ...............................................................! Maana Ng'ombe hazeeki maini. Nadhani umenielewa.
 
Habari zenu wana janvi?
Nimekuwa ni mtu wa kujichanganya na jamii sana, hali iliyonifanya kuwa na marafiki wengi sana wa namna tofauti tofauti ila nashukuru sijawahi kukosana na mtu katika mitaa hii! japo najua si kila mtu ananipenda!
Sasa kuna bidada mmoja wa makamo ana watoto wawili wa kike ni best yangu mkubwa sana mara nyingi nimekuwa nikipiga naye sitori na kutaja hata papuchi kwa jina lake sahihi mbele yake! sasa juzi kati yeye na rafiki zake wengine walinishawishi kuoana na binti yake nami nilipofanya jaribio la kuongea na mtoto wake leo alionekana kama kasetiwa hana hapana kwa kila nalo sema! ilinifanya niogope japo mtoto ana sifa za kuitwa mke wa mtu (20 yrs ni umri wake), sasa nami nilimtaka tuanze mahusiano, theni uchumba baadae kama ni mapenzi yake mola ndio ndoa!
ila hakuna alicho pinga jamani emu nifungueni macho hapa nisije ambulia kulia! au kama niko sawa niwekeni wazi!

bold: akija kuwa mkweo, utaacha kupiga nae stori kama hizo? huyo mama huenda akawa 50 yrs na bado anaweza kuongea na kijana wa kumwoa binti yke wa miaka 20 maneno kama hayo, mkwe majanga.

hata uliposema unaomba kumgegeda?
nyekundu: kwa nini wakushawishi? :A S-confused1:watakushawishi mangapi? kama wamemset, watamset mangapi? wakimset akucheat? usimdharau mbayuwayu......
 
Habari zenu wana janvi?
Nimekuwa ni mtu wa kujichanganya na jamii sana, hali iliyonifanya kuwa na marafiki wengi sana wa namna tofauti tofauti ila nashukuru sijawahi kukosana na mtu katika mitaa hii! japo najua si kila mtu ananipenda!
Sasa kuna bidada mmoja wa makamo ana watoto wawili wa kike ni best yangu mkubwa sana mara nyingi nimekuwa nikipiga naye sitori na kutaja hata papuchi kwa jina lake sahihi mbele yake! sasa juzi kati yeye na rafiki zake wengine walinishawishi kuoana na binti yake nami nilipofanya jaribio la kuongea na mtoto wake leo alionekana kama kasetiwa hana hapana kwa kila nalo sema! ilinifanya niogope japo mtoto ana sifa za kuitwa mke wa mtu (20 yrs ni umri wake), sasa nami nilimtaka tuanze mahusiano, theni uchumba baadae kama ni mapenzi yake mola ndio ndoa!
ila hakuna alicho pinga jamani emu nifungueni macho hapa nisije ambulia kulia! au kama niko sawa niwekeni wazi!
Ndiyo huo ni mtego ambao wao tayari wanafahamu matokeo yake ambayo yana maslahi binafsi kwao ndo maana wakakushawishi. Pia angalia mahusiano yako na mkweo mtarajiwa siku za usoni yasije kuleta matatizo kwenye ndoa iwapo utkubali.
  • Mkweo ambaye unadiriki kumtamkia neno papuchi kwa jina lake sahihi,naye akaona kawaida, je kutakuwepo na kuheshimiana huko mbeleni? Na kwa nini wewe umtamkie papuchi, ulikuwa na lengo gani?
  • Kama mmefikia hatua hiyo kwa nini akupe mke?
  • Mitego itakoma baada ya kuoa au itaendelea?
  • Wewe mwenyewe bila kushauriwa na mtu una mtazamo upi? Umempenda huyo binti? Kwa lipi? Kwa kuwa na wewe una mtazamo na malengo yako ktk maisha, je mtaendana? Si kila kitu lazima uamuliwe na wengine, heshimu mawazo na hisia zako,vinginevyo jiandae kuwa mtumwa wa wenye maamuzi yao juu ya maisha yako.
  • Unaweza kumwuliza kwa nini ameamua kukupa mke ili uweze kung'amua lengo lake ni lipi?
Pia angalia usije baada ya kuoa, ukawa fundi wa kujenga boma wakati huohuo unaezeka paa.
 
julius mahinya
Unamtaka nani kati yao kwani:
Umesema mama mkwe mnatajiana hata majina ya vitu vya ndani;
Binti naye anataka uchumba ;
 
Last edited by a moderator:
siku zote ulipokuwa unapiga story na mama mkwe ulikuwa huna mwanamke je ?uyo best ma mkwe hakuwahi kumuona mwanamke wako.kama anamjua au ulishawahi kumuhadithia kuwa una uhusiano na mwanamke mwengine kuwa macho zaidii
 
Habari zenu wana janvi?
Nimekuwa ni mtu wa kujichanganya na jamii sana, hali iliyonifanya kuwa na marafiki wengi sana wa namna tofauti tofauti ila nashukuru sijawahi kukosana na mtu katika mitaa hii! japo najua si kila mtu ananipenda!
Sasa kuna bidada mmoja wa makamo ana watoto wawili wa kike ni best yangu mkubwa sana mara nyingi nimekuwa nikipiga naye sitori na kutaja hata papuchi kwa jina lake sahihi mbele yake! sasa juzi kati yeye na rafiki zake wengine walinishawishi kuoana na binti yake nami nilipofanya jaribio la kuongea na mtoto wake leo alionekana kama kasetiwa hana hapana kwa kila nalo sema! ilinifanya niogope japo mtoto ana sifa za kuitwa mke wa mtu (20 yrs ni umri wake), sasa nami nilimtaka tuanze mahusiano, theni uchumba baadae kama ni mapenzi yake mola ndio ndoa!
ila hakuna alicho pinga jamani emu nifungueni macho hapa nisije ambulia kulia! au kama niko sawa niwekeni wazi!
Hakuna mke hapo atakuwa na akili za kushikiwa wewe piga tuuuuu halafu anza zako mbele
 
Kikawaida, huwa tunapaswa kuheshimu mama wakwe zetu kama mama zetu waliotuzaaa/waliotulea. Najifotolesha picha kuwa mie ndio huyo mke halafu mume wangu na mama yangu ni ma-bestee ile kinoma...wa-kutaniana hadi kutaja sehemu nyeti kwa uwazi. Halafu mama akija kwetu unaweza kuta yuko busy na mume wangu aka besti-ake kuliko mie mwanae?? :thinking:Chagua moja kijana - You can't have it all. Just out of curiosity - Huyo mama ana mume?
 
dogooo...kula mzigo huo..marafiki zako hao "maanti" wamesubiri uwaombe papuchi wanaona unachelewa sasa kukujaribu kama jogoo wako anawika wamekutupia mtoo wao kama chambo...na ukimla tuu anawasimulia jinsi jogoo wako anavyopiga kokoriko na wao wanaanza kutaka uwatafune...

unapimwa urijali dogo gutukaaaa..kula mzigo huo na tena piga section zote A NA B...ili akiwasimulia mama zake ambao ndio "mashoga zako"...watarajie kupata dozi kama uliyompa-chambo wao.
 
Kapime nae Ngoma, then subiri miezi mitatu, then kapimeni tena. Kama kitu kipo clean, jilipue mwana. Beba Mzigo. Maana Hazitofoutiani sana ni Mapishi. Na huyo Mama Mkwe, ...............................................................! Maana Ng'ombe hazeeki maini. Nadhani umenielewa.

haya mkuu nimekuelewa!
 
bold: akija kuwa mkweo, utaacha kupiga nae stori kama hizo? huyo mama huenda akawa 50 yrs na bado anaweza kuongea na kijana wa kumwoa binti yke wa miaka 20 maneno kama hayo, mkwe majanga.

hata uliposema unaomba kumgegeda?
nyekundu: kwa nini wakushawishi? :A S-confused1:watakushawishi mangapi? kama wamemset, watamset mangapi? wakimset akucheat? usimdharau mbayuwayu......

Mkuu nimekuelewa sana!
 
Back
Top Bottom