Mama mkwe hataki niolewe na mwanaye kisa mimi ni Mchaga

Asante mpenzi
Dah miss chuga umeongea kwa hisia sana mamie yaani mpaka umenigusa ndani ndani kabisa ya moyo,i can feel you my dear,ninaumia pamoja na wewe,kwa kweli una wakati mgumu sana mpenzi,ushauri humu ni mwing sana umetolewa,la msingi mwombe Mungu akuongoze ufanye maamuzi sahihi ambayo hayatakuwa na madhara kwenu nyote lakini pia take your time usiharakishe kuchukua maamuzi nina amini muda unaweza kutoa majibu mujarabu,time tells mamie,kila la kheri my dear na upone upesi hayo maumivu yako ya kihisia .
 
Asante mpenzi
Dah miss chuga umeongea kwa hisia sana mamie yaani mpaka umenigusa ndani ndani kabisa ya moyo,i can feel you my dear,ninaumia pamoja na wewe,kwa kweli una wakati mgumu sana mpenzi,ushauri humu ni mwing sana umetolewa,la msingi mwombe Mungu akuongoze ufanye maamuzi sahihi ambayo hayatakuwa na madhara kwenu nyote lakini pia take your time usiharakishe kuchukua maamuzi nina amini muda unaweza kutoa majibu mujarabu,time tells mamie,kila la kheri my dear na upone upesi hayo maumivu yako ya kihisia .
 
Asante sana ntaufanyia kazi ushauri wako
Mkuu pole sana kwa hayo yote unayopitia kwa sasa kwani ni kipindi kigumu sana kimaisha na ni Mungu tu anaweza kukuvusha salama katika kipindi hiki hivyo nakushauri pamoja na ushauri mwingi ambao watu wameutoa humu Piga Magoti mlilie Mwenyezi Mungu hakika yeye hufanya njia pasipo na njia.

Pili nakushauri usijaribu kubeba mimba kama ulivyoeleza hapo kwenye uzi ili kushinikiza ndoa hii ni hatari sana kwa muskabali mzima wa maisha yako ya kesho, pia muombe Mungu akuondolee wazo la kutaka kujiua hii ni roho chafu naomba isipate nafasi.

Tatu ongea na huyo mume mtarajiwa umjue mtu mwenye maamuzi katika familia yao kwa sasa ni nani kutokana na kwamba baba yake hayupo, ukimpata huyo mwambie mtarajiwa amfuate aongee nae na pale inapowezekana wahusishwe viongozi wa dini ili huyo mtu aende akaongee na mama na kumueleza madhara atakayoyasababisha kwa uamuzi wake wa kutokutaka ndoa ifungwe na aelezwe haya yote yanayokuumiza ikiwa ni pamoja na yeye kukubali kuja kutoa mahari na kuvalishwa pete ili hali akijua kuwa hataki mwanae akuoe.

Ikiwa namba tatu hapo juu itafanikiwa basi nakutakia kila la kheri kwenye maisha mapya utakayoanza,ikiwa haitafanikiwa mim kwa nafasi yangu nakushauri usifunge ndoa bila wazazi wa mume kuwepo nina kesi nyingi za hivi maisha yenu yatakuwa magumu sana na hutayafurahia; kumbuka huyo ndio mtu ambaye mtaishi wote kwa kipindi chote cha maisha yako kilicho baki.

Mwisho kabisa ushauri wangu kwa wakuu wote hapa wachaga kama yalivyo makabila mengine wana mazuri yao na mapungufu yao ila kwenye kutoa maoni tuwe makini na kauli zetu tunaweza kulaani vizazi vyetu bila kujua. Mama na baba wakwe mliopo hapa na wale watarajiwa tujifunze jambo hapa sio vizuri kuumiza mtoto wa mwenzio kiasi hiki "what goes around comes around".
 
Mama mkwe yuko sawa, wanawake wa kichanga kwa asilimia 99 ni changamoto, kwao pesa na utajiri wameviweka mbele, hawaoni aibu hata kuutoa uhai wa mwanaume. Mwanzoni mnaonyesha mapenzi na upendo uliopita kifani ili kumulaghai mwanaume uolewe. Mimi mhanga wa hilo. Naungana na mama mkwe, mchumba wako asipoisikia sauti ya mamake atalia na kusaga meno
 
Habari zenu wapendwa?

Mwenzenu na matatizo sielewi nichukue uamuzi gani naombeni mnishauri wapendwa, nilianza mahusiano na mkaka wa kimakuwa toka 2016 kiukweli ananipenda sana na Mimi nampenda na Mungu ametujalia mwaka Jana mwezi wa 12 kapeleka mahari kwetu akanivalisha na Pete ya uchumba.

Baada ya hapo wakualiana na wazazi harusi iwe mwezi wa 4 mwaka huu Ila baada ya muda mama yake akamwambia naomba harusi mfanye mwezi wa 7 nataka nijipange sherehe iwe kubwa tukamkubalia kupeleka hadi wa 7 Ila Cha kushangaza juzi kipindi wamekaa kwenye kikao Cha kuandaa kamati ya harusi mama mtu akasema harusi isogezwe tena iwe mwezi wa 10

Baada ya mwanae kumbana mama yake kuwa kwanini kila cku unapeleka mbele akamwambia sitaki uowe mwanamke wa kichaga ndomana nafanya hivi, kiukweli mwanae alichukia sana kuskia hiyo kauli akanipa mrejesho kuwa mama yake hataki anioe kisa mimi mchaga Ila kwakuwa nakupenda tumeshirikiana mambo mengi siwezi kukuacha tutafunga ndoa mwezi wa 8 bila hata ndugu zake kuwepo atasimamia shoo mwenyewe bila msaada wa ndugu zake nikamwitikia sawa

Ila hapa nawaza usikute huu uamuzi ameuchukua sababu ya hasira nahisi Kama akitulia atanibadilikia asikilize ndugu zake aniache na kinachoniumiza zaidi ni kwamba nimetoka naye mbali kanipotezea muda na hivi kapeleka hadi mahari kwetu watu wanasubiri harusi.

Kama akinibadilikia sijui hii aibu tutaibebaje na familia yangu, nimechanganyikiwa mpaka nawaza sijui nimbebe tu mimba ili azidi kuwa na msimamo aogope kupoteza mke na mtoto!,

Ila nakosa jibu huyu mama simuelewi kwanini ananifanyia hivi Kama alikuwa hataki niolewe na mwanae kwanini hakumzuia kipindi anapeleka mahari wakamsapoti apeleke, kinachoniumiza ni aibu kwetu mahari imeenda alafu ikitokea tukiachana kisa mama yake aibu itakuwa kubwa Bora hata angekuwa hajapeleka mahari.

Ndugu zangu naombeni ushauri wenu nifanyaje kulishinda hili jaribu lililopo mbele yangu, Ndugu zangu Bado sijawambia Kama Kuna huu mgogoro maana hata sijui watalipokeaje nachanganyikiwa Mimi jamani
Wewe nenda kaolewe na kisharii,shida dada zangu mnapenda kulazmisha ndoa sana,hutakiwi na mkwe chapa lapa
 
Maamuzi anayo mumeo mtarajiwa(mchumba).

Ila angalia miaka 30 mbele, usipokubalika wewe ujue hata wanao, wajukuu wa mama mkwe wako hawatakubalika.

Kama amani hakuna usilazimishe, japo wanaume ni wachache ila bado wako wengi duniani.

Kama una roho ya kupambana ingia ulingoni olewa, ila usilazimishe sasa hivi halafu baada ya miaka 2 ukimbie ndoa kuwa mama mkwe sio... dalili umeziona mapemaaa.

Mapenzi yatakuumiza, ukiyapuuza uliyempenda sana pia unamsahau vilevile na anakuja mwingine anakava nafasi ya jamaa.

NB: Kiukweli nimesoma kichwa cha uzi tuu, uzi wenyewe sijausoma 😜😜

Miaka 30 mbele huyo mama mkwe hata kuwepo na hata watoto wasipokubalika haijalishi maana hao watoto ni wao wamakuwa na si wachaga.
 
Ni hivyo tyu sipendi kutrend huko miandaoni ningemchukua gara b piaaa... kwanini uutese moyo wako kisa kabilaaa...


Halafu tunajuaga kuwaka balaa. Kama si mchagga basi nyaki beibe

Kwaresma malizika tuunganishe familia.
Miss, bado hatujatrend? Nina hamuuuuu ya kuserebuka mnyaki
 
Habari zenu wapendwa?

Mwenzenu na matatizo sielewi nichukue uamuzi gani naombeni mnishauri wapendwa, nilianza mahusiano na mkaka wa kimakuwa toka 2016 kiukweli ananipenda sana na Mimi nampenda na Mungu ametujalia mwaka Jana mwezi wa 12 kapeleka mahari kwetu akanivalisha na Pete ya uchumba.

Baada ya hapo wakualiana na wazazi harusi iwe mwezi wa 4 mwaka huu Ila baada ya muda mama yake akamwambia naomba harusi mfanye mwezi wa 7 nataka nijipange sherehe iwe kubwa tukamkubalia kupeleka hadi wa 7 Ila Cha kushangaza juzi kipindi wamekaa kwenye kikao Cha kuandaa kamati ya harusi mama mtu akasema harusi isogezwe tena iwe mwezi wa 10

Baada ya mwanae kumbana mama yake kuwa kwanini kila cku unapeleka mbele akamwambia sitaki uowe mwanamke wa kichaga ndomana nafanya hivi, kiukweli mwanae alichukia sana kuskia hiyo kauli akanipa mrejesho kuwa mama yake hataki anioe kisa mimi mchaga Ila kwakuwa nakupenda tumeshirikiana mambo mengi siwezi kukuacha tutafunga ndoa mwezi wa 8 bila hata ndugu zake kuwepo atasimamia shoo mwenyewe bila msaada wa ndugu zake nikamwitikia sawa

Ila hapa nawaza usikute huu uamuzi ameuchukua sababu ya hasira nahisi Kama akitulia atanibadilikia asikilize ndugu zake aniache na kinachoniumiza zaidi ni kwamba nimetoka naye mbali kanipotezea muda na hivi kapeleka hadi mahari kwetu watu wanasubiri harusi.

Kama akinibadilikia sijui hii aibu tutaibebaje na familia yangu, nimechanganyikiwa mpaka nawaza sijui nimbebe tu mimba ili azidi kuwa na msimamo aogope kupoteza mke na mtoto!,

Ila nakosa jibu huyu mama simuelewi kwanini ananifanyia hivi Kama alikuwa hataki niolewe na mwanae kwanini hakumzuia kipindi anapeleka mahari wakamsapoti apeleke, kinachoniumiza ni aibu kwetu mahari imeenda alafu ikitokea tukiachana kisa mama yake aibu itakuwa kubwa Bora hata angekuwa hajapeleka mahari.

Ndugu zangu naombeni ushauri wenu nifanyaje kulishinda hili jaribu lililopo mbele yangu, Ndugu zangu Bado sijawambia Kama Kuna huu mgogoro maana hata sijui watalipokeaje nachanganyikiwa Mimi jamani
Wwe ninmtanzania halisi....
wtz wengi husomaga vichwa vya habari tu...
halafu huendelea na comments
 
Habari zenu wapendwa?

Mwenzenu na matatizo sielewi nichukue uamuzi gani naombeni mnishauri wapendwa, nilianza mahusiano na mkaka wa kimakuwa toka 2016 kiukweli ananipenda sana na Mimi nampenda na Mungu ametujalia mwaka Jana mwezi wa 12 kapeleka mahari kwetu akanivalisha na Pete ya uchumba.

Baada ya hapo wakualiana na wazazi harusi iwe mwezi wa 4 mwaka huu Ila baada ya muda mama yake akamwambia naomba harusi mfanye mwezi wa 7 nataka nijipange sherehe iwe kubwa tukamkubalia kupeleka hadi wa 7 Ila Cha kushangaza juzi kipindi wamekaa kwenye kikao Cha kuandaa kamati ya harusi mama mtu akasema harusi isogezwe tena iwe mwezi wa 10

Baada ya mwanae kumbana mama yake kuwa kwanini kila cku unapeleka mbele akamwambia sitaki uowe mwanamke wa kichaga ndomana nafanya hivi, kiukweli mwanae alichukia sana kuskia hiyo kauli akanipa mrejesho kuwa mama yake hataki anioe kisa mimi mchaga Ila kwakuwa nakupenda tumeshirikiana mambo mengi siwezi kukuacha tutafunga ndoa mwezi wa 8 bila hata ndugu zake kuwepo atasimamia shoo mwenyewe bila msaada wa ndugu zake nikamwitikia sawa

Ila hapa nawaza usikute huu uamuzi ameuchukua sababu ya hasira nahisi Kama akitulia atanibadilikia asikilize ndugu zake aniache na kinachoniumiza zaidi ni kwamba nimetoka naye mbali kanipotezea muda na hivi kapeleka hadi mahari kwetu watu wanasubiri harusi.

Kama akinibadilikia sijui hii aibu tutaibebaje na familia yangu, nimechanganyikiwa mpaka nawaza sijui nimbebe tu mimba ili azidi kuwa na msimamo aogope kupoteza mke na mtoto!,

Ila nakosa jibu huyu mama simuelewi kwanini ananifanyia hivi Kama alikuwa hataki niolewe na mwanae kwanini hakumzuia kipindi anapeleka mahari wakamsapoti apeleke, kinachoniumiza ni aibu kwetu mahari imeenda alafu ikitokea tukiachana kisa mama yake aibu itakuwa kubwa Bora hata angekuwa hajapeleka mahari.

Ndugu zangu naombeni ushauri wenu nifanyaje kulishinda hili jaribu lililopo mbele yangu, Ndugu zangu Bado sijawambia Kama Kuna huu mgogoro maana hata sijui watalipokeaje nachanganyikiwa Mimi jamani
Wewe ni mmachame? Tuanzie hapo kwanza
 
MTANISAMEHE NIMEZUNGUKWA NA MATUKIO YASIYOKUWA MAZURI KWA NDUGU WALIONIZUNGUKA NA WAKAOA HILI KABILA..

Kwanza nikili ubaya wa tabia za watu kadhaa kwenye jamii husika haimaanishi wote wako hivo hata wachaga naamini sio wote wako hivo na sifa mama ya wachaga ni kuwa ukimkuta ni muumini wa dini anakuwa ni muumini kiukweli kweli.
WAMAKUA ni kabila ambalo wengi wao wapo Masasi, Nachingwea, Ndanda n. k
ni watu ambao wanapenda sana kutembeleana na ikitokea umeoa kwao jipange na kupokeq ndugu wa mke kwa mara nyinyi wanaweza wakaja hata 6 kwa wakati mmoja iko hivo pia kwa kaka zao wakiishi mbali ikiwa wametoboa kimaisha kwa hiyo jitafakari kwalo na jipange kisaikolojia.

ANKO WANGU KAFIA UCHAGANI
Alienda miaka ya na 90 huko nyuma akafikia kuoa na akafanikisha kupata watoto wawili ila aliwahi kutembelea mara ndugu zake home mara 2 na hadi anapata umauti taarifa ilifika baada ya miezi kama mi2 kupita na kule kulikuwa na rafiki yake ambae alifahamiana nae kwa kuwa wanatokea mkoa mmoja na ndie alokatoa taarifa ya kifo chake ikumbukwe kipindi kile changamoto za kimawasiliano ililazimika familia kumpanga mdogo wa marehemu ambae ni anko mdogo akafika Chuga baada ya miezi mi4 mbele baada ya kupokea taarifa ile na kule akapokelewa na yule Rafiki yake na alivyofika kule aliambulia kuoneshwa tu nyumba kuwa ile ndo ilikuwa nyumba yake ila baada tu ya kufariki nyumba iliuzwa na Mwanamke kaolewa tena kwa ndoa ya kanisa na hata wale watoto alisindikizwa hadi wanakoishi kwa mama wa mke nako akaoneshwa tu kwa mbaaaali na akaambiwa mengi ambayo si mazuri kuyaeleza na ikapelekea yeye kuishia hapo hapo na hadi hivi leo hawajawahi kukanyaga ubabani kwao.
Pia kuna ndugu yetu wa mtaani kwetu huyu ni msoja na ni full manyota huko makambini kwao anafanya kazi Dar ila nae kaoa hawa ndugu zetu yeye alimtembelea mdogo wake kwake jamaa siku ya kwanza ya pili ya tatu akamtia kwenye gari akamuuliza wakiwa mbali na nyumbani akamuuliza aseme anahitaji kiasi gani ili akajichanganye mtaani maana pale home wife wake hapendelei uwepo wake jamaa akaamua tu amwambie ampe nauli arudi home ila b4 huyu jamaa hakuwa na tabia za kunyanyapaa nduguze ila alipofika mkoani akamfungulia ofisi ya uwakala Max malipo

ila tulikuwa nae bro mmoja Vvawa huyu ukiishi nae utakataa kuwa hawa ndugu wanasingiziwa ubahiri ni mtu peace anasaidiwa watu kipesa hadi kuwasomesha ila kwa wale wakuolewa nimebahatika kuyaona mabaya zaidi ya mazuri...

NENO LANGU SI SHERIA
 
Hapo umelewa penzi tu la mashine ya kimakuwa, hii ishu hainaga noma kubali tu hilo pepo acha lipite ukilazimishe jiandae kupandwa na majini mahaba nyege haziishi utakuwa choko balaa, kimbia hilo pepo haraka sana
 
Habari zenu wapendwa?

Mwenzenu na matatizo sielewi nichukue uamuzi gani naombeni mnishauri wapendwa, nilianza mahusiano na mkaka wa kimakuwa toka 2016 kiukweli ananipenda sana na Mimi nampenda na Mungu ametujalia mwaka Jana mwezi wa 12 kapeleka mahari kwetu akanivalisha na Pete ya uchumba.

Baada ya hapo wakualiana na wazazi harusi iwe mwezi wa 4 mwaka huu Ila baada ya muda mama yake akamwambia naomba harusi mfanye mwezi wa 7 nataka nijipange sherehe iwe kubwa tukamkubalia kupeleka hadi wa 7 Ila Cha kushangaza juzi kipindi wamekaa kwenye kikao Cha kuandaa kamati ya harusi mama mtu akasema harusi isogezwe tena iwe mwezi wa 10

Baada ya mwanae kumbana mama yake kuwa kwanini kila cku unapeleka mbele akamwambia sitaki uowe mwanamke wa kichaga ndomana nafanya hivi, kiukweli mwanae alichukia sana kuskia hiyo kauli akanipa mrejesho kuwa mama yake hataki anioe kisa mimi mchaga Ila kwakuwa nakupenda tumeshirikiana mambo mengi siwezi kukuacha tutafunga ndoa mwezi wa 8 bila hata ndugu zake kuwepo atasimamia shoo mwenyewe bila msaada wa ndugu zake nikamwitikia sawa

Ila hapa nawaza usikute huu uamuzi ameuchukua sababu ya hasira nahisi Kama akitulia atanibadilikia asikilize ndugu zake aniache na kinachoniumiza zaidi ni kwamba nimetoka naye mbali kanipotezea muda na hivi kapeleka hadi mahari kwetu watu wanasubiri harusi.

Kama akinibadilikia sijui hii aibu tutaibebaje na familia yangu, nimechanganyikiwa mpaka nawaza sijui nimbebe tu mimba ili azidi kuwa na msimamo aogope kupoteza mke na mtoto!,

Ila nakosa jibu huyu mama simuelewi kwanini ananifanyia hivi Kama alikuwa hataki niolewe na mwanae kwanini hakumzuia kipindi anapeleka mahari wakamsapoti apeleke, kinachoniumiza ni aibu kwetu mahari imeenda alafu ikitokea tukiachana kisa mama yake aibu itakuwa kubwa Bora hata angekuwa hajapeleka mahari.

Ndugu zangu naombeni ushauri wenu nifanyaje kulishinda hili jaribu lililopo mbele yangu, Ndugu zangu Bado sijawambia Kama Kuna huu mgogoro maana hata sijui watalipokeaje nachanganyikiwa Mimi jamani
Woii! Hilo ni jambo dogo sana, ni hivi funga siku 3 usile wala kunywa. Na na ukiomba KRISTO azikeme hizo falme za wakuu wa Giza wanaomtumia huyo mama mkwe ndoa isifungwe, zingatia wakuu wa anga, bahari na nchi kavu wasizuie. Ndoa ni kitu chema lkn ibilisi anataka kuinua bega ashindwe.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom