miss chuga
JF-Expert Member
- Dec 25, 2019
- 303
- 651
- Thread starter
- #341
Asante mpenzi
Dah miss chuga umeongea kwa hisia sana mamie yaani mpaka umenigusa ndani ndani kabisa ya moyo,i can feel you my dear,ninaumia pamoja na wewe,kwa kweli una wakati mgumu sana mpenzi,ushauri humu ni mwing sana umetolewa,la msingi mwombe Mungu akuongoze ufanye maamuzi sahihi ambayo hayatakuwa na madhara kwenu nyote lakini pia take your time usiharakishe kuchukua maamuzi nina amini muda unaweza kutoa majibu mujarabu,time tells mamie,kila la kheri my dear na upone upesi hayo maumivu yako ya kihisia .