Mama mkwe ananipiga mizinga balaa

Mama mkwe ananipiga mizinga balaa

Hatari ya kupiga sana mizinga, ukiwa na shida genuine watu wanakupotezea.
 
Mwambie wewe uwa unaprogram zako na zaidi ya kumi zishafail kwa ajili yake so muombe akuache kwa muda ujipange upya maana mwambie amekurudisha kama miaka miwili nyuma kimaendeleo... Ataona aibu mwenyewe.. akizidi mwambie utashindwa kutengeneza familia bora... pia mkumbushe kuwa mla huliwa
 
Wandugu natumai mko poa,

Huyu mama mkwe wangu jama ananinyima raha hasahasa pale simu yake itapoita imekuwa kama fomula akinipigia ni mizinga ya hela tu, hana shida kivile anajiweza lakini anataka kula vyangu tu, nimemchoka.Nailea familia ya mke wangu kuliko yangu.

Nipeni ushauri nifanye nini ili mizinga ipungue?
Kaka kwanza pole sana. Pili hakuna kitu kibaya kama kutoa kitu kwa Shingo upande....so kuwa mwanaume acha kudekeza ujinga. Utapatwa na msongo wa mawazo na vidonda vya tumbo pia.
Mwambie mkweo hali ngumu.
 
Wakwe mmesha chokwa mtasusiwa watoto wenu kwa vibomu vyenu..lol
 
asikukere simple tu sina hali ngumu mama yaani iwe wimbo wako hadi shida ya myhimu we mwambie hali ngumu hadi atakapojirekebisha kuomva hela kwa shida maalumu
mkeo akileta mdomo mwambie kwakuwa hela ni rahisi kuwa nayo mpe wewe jikaushe
 
Mnyime tu, ukimnyima mara 4 mfululizo atajiongeza. Mahali wanataka nyingi alafu bado mizinga. Mwambie hiyo ambayo ungempa uliitoa kwa mkupuo kama mahali
 
Wandugu natumai mko poa,

Huyu mama mkwe wangu jama ananinyima raha hasahasa pale simu yake itapoita imekuwa kama fomula akinipigia ni mizinga ya hela tu, hana shida kivile anajiweza lakini anataka kula vyangu tu, nimemchoka.Nailea familia ya mke wangu kuliko yangu.

Nipeni ushauri nifanye nini ili mizinga ipungue?

UNGEWEKA PICHA HAPA
KILA KITU KINGETATULIWA!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom