Analogia Malenga JF-Expert Member Feb 24, 2012 5,016 9,885 Oct 24, 2021 #1 Imepita muda sijamsikia mama wa kutesti mitambo, mkumbusheni arudi kwenye game, tusije tukamsahau aisee Wasalaam!
Imepita muda sijamsikia mama wa kutesti mitambo, mkumbusheni arudi kwenye game, tusije tukamsahau aisee Wasalaam!
Mwifwa JF-Expert Member Apr 3, 2017 46,945 122,215 Oct 24, 2021 #2 Nilisikia yupo ughaibuni, sijui kama kasharudi
M Mtoto wa Shule JF-Expert Member Nov 16, 2014 11,657 8,592 Oct 24, 2021 #3 Labda baadae mambo yalienda ndivyo sivyo!
Kennedy JF-Expert Member Dec 28, 2011 49,051 54,337 Oct 24, 2021 #4 Alikwenda Nje Ya Nchi Kumwakilisha Rais Ila Wameonywa Waache Mdomo
Analogia Malenga JF-Expert Member Feb 24, 2012 5,016 9,885 Oct 24, 2021 Thread starter #5 Kennedy said: Alikwenda Nje Ya Nchi Kumwakilisha Rais Ila Wameonywa Waache Mdomo Click to expand... Akiacha mdomo atashindwa kutrend aisee...sisi tushamzoea na mdomo wake
Kennedy said: Alikwenda Nje Ya Nchi Kumwakilisha Rais Ila Wameonywa Waache Mdomo Click to expand... Akiacha mdomo atashindwa kutrend aisee...sisi tushamzoea na mdomo wake
Kennedy JF-Expert Member Dec 28, 2011 49,051 54,337 Oct 24, 2021 #6 Analogia Malenga said: Akiacha mdomo atashindwa kutrend aisee...sisi tushamzoea na mdomo wake Click to expand... Haa Haa Anasema Mumewe Kachanja Johnson And Johnson Mpango Wa Covax Lakini Mtambo Upo Vizuri Haa Haa
Analogia Malenga said: Akiacha mdomo atashindwa kutrend aisee...sisi tushamzoea na mdomo wake Click to expand... Haa Haa Anasema Mumewe Kachanja Johnson And Johnson Mpango Wa Covax Lakini Mtambo Upo Vizuri Haa Haa
Sakasaka Mao JF-Expert Member Sep 29, 2016 10,159 12,201 Oct 25, 2021 #7 Analogia Malenga said: Imepita muda sijamsikia mama wa kutesti mitambo, mkumbusheni arudi kwenye game, tusije tukamsahau aisee Wasalaam! Click to expand... Mh! Mbona kaumri kama kamesonga sana? Hivi aliyefikia 'ukomo' anaweza akaingia maabara akatest mitambo na matokeo yakaswihi, au yalikuwa maneno tu kutuonesha kuwa tunajua hatujui!
Analogia Malenga said: Imepita muda sijamsikia mama wa kutesti mitambo, mkumbusheni arudi kwenye game, tusije tukamsahau aisee Wasalaam! Click to expand... Mh! Mbona kaumri kama kamesonga sana? Hivi aliyefikia 'ukomo' anaweza akaingia maabara akatest mitambo na matokeo yakaswihi, au yalikuwa maneno tu kutuonesha kuwa tunajua hatujui!
Jay One JF-Expert Member Nov 12, 2010 16,856 16,751 Oct 25, 2021 #8 Labda mitambo ilikataa/ilikata network tena, kaenda kufanya re-testing. Haya mambo magumu kweli, network zimekata, huu ukimya si wa kawaida, ila mm nampenda sana Gwaji lady, yuko in high beats kila wakati.. 😅😅
Labda mitambo ilikataa/ilikata network tena, kaenda kufanya re-testing. Haya mambo magumu kweli, network zimekata, huu ukimya si wa kawaida, ila mm nampenda sana Gwaji lady, yuko in high beats kila wakati.. 😅😅